Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watafukuzwa mawaziri wote bila kupata tiba

Katika kampeni za Uchaguzi Mkuu, tangu mwaka 2000 na 2010, nilipata bahati ya kuhudhuria baadhi ya mikutano ya kampeni za wagombea wa urais karibu wa vyama vyote.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Raia Mwema

Mawaziri hawa watafukuzwa mapema

KWA kuangalia kasi na uongozi wa Rais Dk.

Lula wa Ndali Mwananzela

 

10 years ago

BBCSwahili

Ufisadi: Mawaziri wote kujiuzulu Chile

Rais wa Chile Michelle Bachelet amelitaka baraza lake lote la mawaziri kujiuzulu.

 

5 years ago

CCM Blog

SERIKALI ITASHUGHULIKIA CHANGAMOTO ZA WATANZANIA WOTE BILA YA UBAGUZI-MAJALIWA

PMO_3740Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimkabidhi gari la kubeba wagonjwa, Mkuu wa wilaya ya Ruangwa, Hashim Mgandilwa kwa ajili ya Kituo cha Afya cha Luchelegwa  wilayani humo, Juni 24, 2020. Mheshimiwa Majaliwa alikuwa katika ziara ya kikazi wilayani humo. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
PMO_3593Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akimpa pole, Ramadhani Hamadi mkazi wa Dar es Salaam aliyelazwa katika Zahanati ya Nandagala wilayani Ruangwa  wakati alipotembelea Zahanati hiyo, Juni 24, 2020. (Picha na Ofisi ya...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Juhudi za kupata tiba zimefikia wapi?

Kampuni ya Teknolojia ya China , Alibaba imetangaza kifaa chenye uwezo wa kubaini ugonjwa huo ndani ya sekunde 20, ambacho usahihi wake ni asilimia 96.

 

9 years ago

Mwananchi

Mawaziri waapa bila shamrashamra

Halikuwa jambo la kawaida wakati hafla ya kuapishwa kwa mawaziri 30 Ikulu Dar es Salaam jana ilipofanyika kwa dakika 60, bila ya kuwapo kwa shamrashamra za aina yoyote.

 

10 years ago

Mtanzania

Maya: Nami nazeeka bila kupata mtoto

NA RHOBI CHACHA
BAADA ya mwigizaji Wema Sepetu kuweka wazi juu ya masikitiko yake ya kutopata mtoto licha ya kumtafuta kwa muda mrefu, mwigizaji mwingine wa Bongo Movie, Mayasa Mrisho ‘Maya’ naye ameibuka na kudai kwamba anazeeka bila kupata mtoto.
Maya alisema wasanii wenzake wana watoto na wengine wajawazito, lakini yeye bado hajabarikiwa kupata mtoto, jambo linalompa hofu ya kuzeeka bila mtoto.
“Nazeeka bila mtoto wa kumzaa, hapa namuomba Mungu aniwezeshe na kunifungulia uzazi niweze...

 

10 years ago

Mwananchi

Utafiti: Kulala bila nguo kunapunguza uwezekeno wa kupata kisukari

Utafiti mpya uliotolewa nchini Marekani, umebainisha kuwa watu wanaopenda kulala bila nguo wanapata faida nyingi ikiwamo ya kuwa na uwezekano mdogo wa kupata ugonjwa wa kisukari.

 

5 years ago

Michuzi

DC Msafiri,haipiti siku moja Njombe bila kupata matukio 6-12 ya ukatili

Na Amiri Kilagalila, Njombe
Mkuu wa wilaya ya Njombe mkoani humo Ruth Msafiri amesema  haiwezi kupita siku moja mkoani Njombe bila kupata matukio ya ukatili yanayojumuisha ukatili wa kingono yasiyopungua 6-12  hali inayoweza kusababisha mkoa huo kuwa na matukio mengi ya ukatili kwa mwaka.

Ruth Msafiri ameyasema hayo mjini Makambako mkoani Njombe wakati wa msafara wa kutokomeza unyanyasaji wa kijinsia unaopita karibu mikoa yote nchini  kutoa elimu kwa wananchi kwa lengo la kuleta usawa wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani