DC Msafiri,haipiti siku moja Njombe bila kupata matukio 6-12 ya ukatili
![](https://1.bp.blogspot.com/-N3X5FNORbxw/Xl0atQl77hI/AAAAAAALgac/JgtHe0fvUVwgLA6Q0--gq2gJ-b1RnBxSgCLcBGAsYHQ/s72-c/0.png)
Na Amiri Kilagalila, Njombe
Mkuu wa wilaya ya Njombe mkoani humo Ruth Msafiri amesema haiwezi kupita siku moja mkoani Njombe bila kupata matukio ya ukatili yanayojumuisha ukatili wa kingono yasiyopungua 6-12 hali inayoweza kusababisha mkoa huo kuwa na matukio mengi ya ukatili kwa mwaka.
Ruth Msafiri ameyasema hayo mjini Makambako mkoani Njombe wakati wa msafara wa kutokomeza unyanyasaji wa kijinsia unaopita karibu mikoa yote nchini kutoa elimu kwa wananchi kwa lengo la kuleta usawa wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-B5b8Q5936kg/VmnKw5b2jeI/AAAAAAAAegA/wohLRrztC6o/s72-c/IMG_3819.png)
MATUKIO MBALIMBALI YA MAADHIMISHO YA SIKU 16 ZA KUPINGA UKATILI WA KIJINSIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-B5b8Q5936kg/VmnKw5b2jeI/AAAAAAAAegA/wohLRrztC6o/s640/IMG_3819.png)
![](http://4.bp.blogspot.com/-OC_rg90ajC4/VmnKzxJeyRI/AAAAAAAAegc/1asFcI5zojs/s640/IMG_3858.png)
![](http://4.bp.blogspot.com/-2H_drDJn1Uw/VmnK0LVehiI/AAAAAAAAegY/mKVKiaN9QWA/s640/IMG_9584.jpg)
9 years ago
StarTV26 Nov
 Ukatili Wa Kijinsia Matukio 6,590 yaripotiwa katika mikoa ya Kaskazini
Mfumo dume katika baadhi ya Jamii unaochangiwa na mila na desturi potofu ni miogoni mwa vitendo vya kikatili vinavyotajwa kuendelea kuwanyima fursa ya kupata elimu baadhi ya watoto wa kike katika mikoa ya Kanda ya Kaskazini.
Wanaharakati wa haki za binadamu Katika mikoa ya Kanda ya Kaskazini katika utafiti wao wamebaini kuwepo kwa ongezeko kubwa la matukio ya uakatili wa kijinsia ambapo katika kipindi cha kuanzia mwenzi january hadi oktoba mwaka huu jumla ya matukio 6,590 yakiwemo...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-M5eIeogaRC4/UwUAtE-2exI/AAAAAAAFOGw/QloBugfai44/s72-c/IMG_1366.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Lz_Tjquh0xo/VSoLArexyiI/AAAAAAAHQck/XJ8ZEp2YgcQ/s72-c/unnamed%2B(49).jpg)
ZIITO ATIKISA NJOMBE NA MAKAMBAKO BILA KUJALI MVUA
11 years ago
GPLMATUKIO KATIKA PICHA WAKATI WA MAADHIMISHO YA WIKI YA ELIMU MKOA WA NJOMBE
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-AzEu-j8X3X0/XrmGd0rN-eI/AAAAAAALp0Y/8i97AJl7_WcCM9CwzXZHqfq4YFDomswZACLcBGAsYHQ/s72-c/B.png)
Mwingine aibuka Njombe adai kupata dawa ya kutibu Corona
Ikiwa Siku chache zimepita tangu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt,John Pombe Magufuli kufungua milango kwa watafiti wakiwemo wataalamu wa tiba asilia kufanya uchunguzi ili kubaini dawa ya kutibu ugonjwa wa homa kali ya mapafu unaosababishwa na virusi vya Corona (COVID-19),hatimae huko mkoani Njombe mtu mmoja ambaye ni mtaalamu wa tiba asilia na tiba mbadala anaefahamika kwa jina la Ally Mhagama maarufu Dr Sagasaga amekiri kufanya utafiti na...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-mYc8IhliDFA/XsYFGLCYEZI/AAAAAAALrC0/lzZDesIV-pwsed_3BH_OO19UcIPnLdk4QCLcBGAsYHQ/s72-c/A.png)
MAAFISA TARAFA NJOMBE WAFURAHIA KUPATA PIKIPIKI KUTOKA KWA JPM
Na Amiri kilagalila,Njombe
Changamoto ya usafiri ili kuwafikia wananchi katika vijiji mbalimbali kwa maofisa tarafa mkoani Njombe sasa imepatiwa ufumbuzi baada ya serikali kugawa Pikipiki kwa kila ofisa hatua itakayochochea uhamasishaji shughuli za maendeleo.
Wakizungumza mara baada ya kukabidhiwa pikipiki na katibu tawala mkoa wa Njombe kwa niaba ya mkuu wa mkoa baadhi ya maofisa tarafa akiwemo Lilian Nyemele na Damas Kavindi wanasema tatizo la usafiri kwao limekuwa gumu ili kuwafikia...
9 years ago
Dewji Blog29 Sep
MISA-TAN:Yasherekea Siku ya Kimataifa ya Haki ya kupata taarifa na kuzindua utafiti wa kupata taarifa Ofisi za Umma
Afisa Utafiti na Maelezo wa Misa-Tanzania-Media Institute of Southern Africa (Taasisi ya vyombo vya habari Kusini mwa Afrika) Bwana Sengiyumva Gasirigwa (wa kwanza kushoto) akitoa ufafanuzi alipokuwa anafungua mkutano huo kwa waandishi wa habari na wageni waalikwa kutoka kwenye taasisi mbalimbali za Serikali kwenye siku ya kimataifa ya haki ya kupata taarifa ambayo uadhimishwa Septemba 28 kwa kila mwaka.
Mwenyekiti msaidi wa Taasisi ya vyombo vya habari Kusini mwa Afrika (MISA-TAN), Bwana...
10 years ago
Michuzi10 Jun