MAJALIWA: ATAKAYETHIBITIKA NA CORONA APELEKWE ENEO MAALUMU BILA KUJALI CHEO
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesisitiza kuwa mtu yeyote akithibitika kuwa na ugonjwa wa homa kali ya mapafu unaosababishwa na virusi vya corona (COVID-19) apelekwe eneo maalum bila kujali cheo chake na atalala palipoandaliwa.
Amewataka Watanzania wazingatie masharti ya afya kwa kufuata ushauri unaotolewa na Serikali kwa sababu hivi sasa nchi yetu na dunia kwa ujumla inapitia katika kipindi kigumu pia,waendelee kupuuza taarifa za uzushi zinazosambazwa katika mitandao ya kijamii.
Waziri Mkuu...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog29 Jul
DC awaasa waumini kujali makundi maalumu Singida
Mkuu wa wilaya ya Singida, Queen Mlozi, akizungumza kwenye hafla ya kukabidhi msaaada wa Mchele, Sukari, mafuta ya mboga na Sabuni uliotolewa na kanisa la AGT la mjini Singida kwa chuo cha wasioona na viziwi. Kushoto ni mkuu wa chuo cha wasioona na viziwi, Fatuma Malenga na kulia ni Afisa Ustawi mkoa wa Singida, Zuhura Kyaria.
Na Nathaniel Limu
Serikali ya wilaya ya Singida, imewataka wakazi wake kuimarisha utamaduni wa kuyasaidia kwa hali na mali, makundi yenye mahitaji maalum wakiwemo...
11 years ago
Dewji Blog13 Apr
Kinana ahutubia bila kujali Mvua Kigoma
-Asisitiza Umoja na Mshikamano Kigoma
-Asema ahadi zote zitatekelezwa
-Awataka Viongozi wa CCM kufanya mikutano mingi na wanachama na wananchi kwa jumla
-Nape afundisha Umma Demokrasia ya kweli, aonyesha namna gani vyama vingi vya upinzani ni wababaishaji atolea mifano namba alivyotelekezwa mgombea wa Chalinze
-Zaidi ya wanachama 350 wajiunga na CCM
![](http://2.bp.blogspot.com/-KcJp3rygzb8/U0mNIuVkoYI/AAAAAAAANGk/KD_xdJ0QzJ0/s1600/6.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakazi wa wilaya ya Kigoma mjini bila kujali mvua,ambapo alisisitiza kuwa CCM...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LzTY94yzCcJLxegAs*00gE6EfMvOIKMVSc1e2iUX3QXQW-UsyfoHaBGbcHMmTYQL4H4hwFnVMIAXx7tFph3R93Yw8osE3Q9V/ndoakatiba.jpg?width=650)
KATIBA IZUIE NDOA ZA UTOTONI BILA KUJALI DINI
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Lz_Tjquh0xo/VSoLArexyiI/AAAAAAAHQck/XJ8ZEp2YgcQ/s72-c/unnamed%2B(49).jpg)
ZIITO ATIKISA NJOMBE NA MAKAMBAKO BILA KUJALI MVUA
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-6qThBqLSmxY/VLCqm62OwxI/AAAAAAADVIg/ZruchJxBxh4/s72-c/10906308_10152680537202659_5784232182740264257_n.jpg)
TUWAPENDE WATOTO WETU BILA KUJALI WAMEZALIWA NA KASORO GANI
![](http://3.bp.blogspot.com/-6qThBqLSmxY/VLCqm62OwxI/AAAAAAADVIg/ZruchJxBxh4/s1600/10906308_10152680537202659_5784232182740264257_n.jpg)
11 years ago
GPLKATIBA MPYA IZUIE NDOA ZA UTOTONI BILA KUJALI IMANI ZA KIDINI
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-A3jNPpz_K1k/VkSOScwNq2I/AAAAAAADCJ4/ZnT98pE_3wk/s72-c/NY%2B1.jpg)
Benki ya Exim yatangaza fursa sawa ya ajira kwa watanzania bila kujali mipaka
![](http://2.bp.blogspot.com/-A3jNPpz_K1k/VkSOScwNq2I/AAAAAAADCJ4/ZnT98pE_3wk/s640/NY%2B1.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-osg-FvSoJuo/U7xYOqaUa2I/AAAAAAAFzCo/bzEQInVQiy0/s72-c/sum4.jpg)
TEAM IDDI "TEAM TANZANIA" INAOMBA KURA ZENU: KUWAKUTANISHA WATANZANIA KAMA WANA DMV BILA KUJALI MENGINEYO
Katika Historia ya DMV kwa Miaka miwili mfululizo ya Uongozi wangu tumeweza kuwajumuisha watanzania kwenye mambo mbali mbali. Tumeweza kufanya SUMMER PICNIC kwa watanzania wote wa DMV . Tuliweza kujipanga na Kuhakikisha watoto, vijana na Wazee wanajumuishwa pamoja na kufurahia, Watanzania bila Kujali Vyama na mengineyo tuliweza kujumuika kwa pamoja na kufurahi. Lengo DMV MOJA.
Kwa Kuendeleza kuonyesha ni jinsi Gani umoja Ndio Lengo la Jumuiya na Sio Kupata Mamilioni ya Fedha...