DC awaasa waumini kujali makundi maalumu Singida
Mkuu wa wilaya ya Singida, Queen Mlozi, akizungumza kwenye hafla ya kukabidhi msaaada wa Mchele, Sukari, mafuta ya mboga na Sabuni uliotolewa na kanisa la AGT la mjini Singida kwa chuo cha wasioona na viziwi. Kushoto ni mkuu wa chuo cha wasioona na viziwi, Fatuma Malenga na kulia ni Afisa Ustawi mkoa wa Singida, Zuhura Kyaria.
Na Nathaniel Limu
Serikali ya wilaya ya Singida, imewataka wakazi wake kuimarisha utamaduni wa kuyasaidia kwa hali na mali, makundi yenye mahitaji maalum wakiwemo...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziMAJALIWA: ATAKAYETHIBITIKA NA CORONA APELEKWE ENEO MAALUMU BILA KUJALI CHEO
Amewataka Watanzania wazingatie masharti ya afya kwa kufuata ushauri unaotolewa na Serikali kwa sababu hivi sasa nchi yetu na dunia kwa ujumla inapitia katika kipindi kigumu pia,waendelee kupuuza taarifa za uzushi zinazosambazwa katika mitandao ya kijamii.
Waziri Mkuu...
9 years ago
Dewji Blog20 Aug
Hillary Shoo wa Jambo Leo Singida, anyakua cheti maalumu kwa uandishi bora wa habari za Usalama Barabarani mkoa wa Singida
Mwandishi wa habari wa Gazeti la Jamboleo Mkoa wa Singida, Hillary Shoo,akipokea cheti maalumu kutoka kwa Katibu Tawala Msaidizi wa Mkoa wa Singida, Aziza Mumba ikiwa ni mchango wake mkubwa katika kuandika habari za kuelimisha jamii juu ya wiki ya nenda kwa usalama barabara Mkoa wa Singida, halfa hiyo ilifanyika jana kwenye viwanja vya kituo cha mabasi yaendeyo mikoani, kulia ni Kamanda wa polisi Mkoani humo Thobias Sedoyeka.( PICHA NA MPIGA HISANI YA MO BLOG).
11 years ago
Tanzania Daima30 Mar
JK apigania haki za makundi maalumu
RAIS Jakaya Kikwete ametoa wito kuhakikisha haki na ustawi wa Tanzania na hasa kwa makundi maalumu zinadumishwa na kuendelezwa nchini. Rais Kikwete alisema hayo juzi katika hotuba yake iliyosomwa kwa...
10 years ago
Habarileo09 Aug
Vigogo CCM waanguka makundi maalumu
VIGOGO wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wakiwemo wabunge wanaomaliza muda wao, wameanguka vibaya huku sura mpya zikiibuka katika kura ya maoni ya ndani ya chama hicho, kupata wabunge wa Viti Maalumu kutoka makundi maalumu uliofanyika juzi.
9 years ago
Mwananchi22 Aug
Mahitaji ya makundi maalumu kwa wagombea
11 years ago
Tanzania Daima14 Feb
Bravo Msama kuyafariji makundi haya maalumu
WARATIBU wa matukio ya muziki wa Injili kupitia matamasha ya Pasaka na Krismasi, Kampuni ya Msama Promotions ya jijini Dar es Salaam, wiki iliyopita walikabidhi misaada ya kibinadamu kwa vituo...
11 years ago
Mwananchi17 Mar
Sitta aahidi nafasi zaidi kwa makundi maalumu
10 years ago
Dewji Blog19 May
Wanawake wahimizwa kusaidia makundi yenye mahitaji maalumu
Mwanyekiti wa Umoja wa Wanawake watumishi kanisa la Pentekoste (UWW) mjini Singida, Lessi Jared (kushoto) akimkabidhi vifaa tiba Kaimu mganga mfawidhi hospital ya mkoa ya mjini Singida, Dk.Daniel Tarimo.Vifaa tiba hivyo vingi vikiwa kwa matumizi ya chumba cha upasuaji imedaiwa kuwa gharama yake ni mamilioni ya shilingi, vimetolewa na shirika lisilo la kiserikali la waumini wanawake kanisa Pentekoste nchini Denmark-Heart to Heart.
Mganga Kaimu mganga mfawidhi hospitali ya mkoa mjini...
11 years ago
Mwananchi29 Dec
Serikali yataja rasmi makundi ya kuunda Bunge Maalumu la Katiba