Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DC awaasa waumini kujali makundi maalumu Singida

DSC00258

Mkuu wa wilaya ya Singida, Queen Mlozi, akizungumza kwenye hafla ya kukabidhi msaaada wa Mchele, Sukari, mafuta ya mboga na Sabuni uliotolewa na kanisa la AGT la mjini Singida kwa chuo cha wasioona na viziwi. Kushoto ni mkuu wa chuo cha wasioona na viziwi, Fatuma Malenga na kulia ni Afisa Ustawi mkoa wa Singida, Zuhura Kyaria.

Na Nathaniel Limu

Serikali ya wilaya ya Singida, imewataka wakazi wake kuimarisha utamaduni wa kuyasaidia kwa hali na mali, makundi yenye mahitaji maalum wakiwemo...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

MAJALIWA: ATAKAYETHIBITIKA NA CORONA APELEKWE ENEO MAALUMU BILA KUJALI CHEO

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesisitiza kuwa mtu yeyote akithibitika kuwa na ugonjwa wa homa kali ya mapafu unaosababishwa na virusi vya corona (COVID-19) apelekwe eneo maalum bila kujali cheo chake na atalala palipoandaliwa.

Amewataka Watanzania wazingatie masharti ya afya kwa kufuata ushauri unaotolewa na Serikali kwa sababu hivi sasa nchi yetu na dunia kwa ujumla inapitia katika kipindi kigumu pia,waendelee kupuuza taarifa za uzushi zinazosambazwa katika mitandao ya kijamii.

Waziri Mkuu...

 

9 years ago

Dewji Blog

Hillary Shoo wa Jambo Leo Singida, anyakua cheti maalumu kwa uandishi bora wa habari za Usalama Barabarani mkoa wa Singida

SHOO..1

Mwandishi wa habari wa Gazeti la Jamboleo Mkoa wa Singida, Hillary Shoo,akipokea cheti maalumu kutoka kwa Katibu Tawala Msaidizi wa Mkoa wa Singida, Aziza Mumba ikiwa ni mchango wake mkubwa katika kuandika habari za kuelimisha jamii juu ya wiki ya nenda kwa usalama barabara Mkoa wa Singida, halfa hiyo ilifanyika jana kwenye viwanja vya kituo cha mabasi yaendeyo mikoani, kulia ni Kamanda wa polisi Mkoani humo Thobias Sedoyeka.( PICHA NA MPIGA HISANI YA MO BLOG).

 

11 years ago

Tanzania Daima

JK apigania haki za makundi maalumu

RAIS Jakaya Kikwete ametoa wito kuhakikisha haki na ustawi wa Tanzania na hasa kwa makundi maalumu zinadumishwa na kuendelezwa nchini. Rais Kikwete alisema hayo juzi katika hotuba yake iliyosomwa kwa...

 

10 years ago

Habarileo

Vigogo CCM waanguka makundi maalumu

VIGOGO wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wakiwemo wabunge wanaomaliza muda wao, wameanguka vibaya huku sura mpya zikiibuka katika kura ya maoni ya ndani ya chama hicho, kupata wabunge wa Viti Maalumu kutoka makundi maalumu uliofanyika juzi.

 

9 years ago

Mwananchi

Mahitaji ya makundi maalumu kwa wagombea

Wakati kampeni za uchaguzi mkuu zikiwa zinaanza leo, makundi mbalimbali maalumu, yameeleza mambo ambayo wangetaka Serikali ijayo ingeyashughulikia ili kuwapunguzia ugumu wa maisha.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bravo Msama kuyafariji makundi haya maalumu

WARATIBU wa matukio ya muziki wa Injili kupitia matamasha ya Pasaka na Krismasi, Kampuni ya Msama Promotions ya jijini Dar es Salaam, wiki iliyopita walikabidhi misaada ya kibinadamu kwa vituo...

 

11 years ago

Mwananchi

Sitta aahidi nafasi zaidi kwa makundi maalumu

Mwenyekiti wa Bunge la Katiba, Samuel Sitta ameahidi kuwapa nafasi zaidi wajumbe wa Bunge hilo wanaotoka katika makundi maalumu.

 

10 years ago

Dewji Blog

Wanawake wahimizwa kusaidia makundi yenye mahitaji maalumu

DSC05830

Mwanyekiti wa Umoja wa Wanawake watumishi kanisa la Pentekoste (UWW) mjini Singida, Lessi Jared (kushoto) akimkabidhi vifaa tiba Kaimu mganga mfawidhi hospital ya mkoa ya mjini Singida, Dk.Daniel Tarimo.Vifaa tiba  hivyo vingi vikiwa kwa matumizi ya chumba cha upasuaji imedaiwa kuwa gharama yake ni mamilioni ya shilingi, vimetolewa na shirika lisilo la kiserikali la waumini wanawake kanisa Pentekoste nchini Denmark-Heart to Heart.

DSC05834

Mganga Kaimu mganga mfawidhi hospitali ya mkoa mjini...

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali yataja rasmi makundi ya kuunda Bunge Maalumu la Katiba

>Serikali imeyataka makundi mbalimbali ya watu yanayopenda majina yao kuteuliwa kuwa Wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, kufanya hivyo kabla ya Januari 2, 2014 saa tisa alasiri.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani