Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mahitaji ya makundi maalumu kwa wagombea

Wakati kampeni za uchaguzi mkuu zikiwa zinaanza leo, makundi mbalimbali maalumu, yameeleza mambo ambayo wangetaka Serikali ijayo ingeyashughulikia ili kuwapunguzia ugumu wa maisha.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Wanawake wahimizwa kusaidia makundi yenye mahitaji maalumu

DSC05830

Mwanyekiti wa Umoja wa Wanawake watumishi kanisa la Pentekoste (UWW) mjini Singida, Lessi Jared (kushoto) akimkabidhi vifaa tiba Kaimu mganga mfawidhi hospital ya mkoa ya mjini Singida, Dk.Daniel Tarimo.Vifaa tiba  hivyo vingi vikiwa kwa matumizi ya chumba cha upasuaji imedaiwa kuwa gharama yake ni mamilioni ya shilingi, vimetolewa na shirika lisilo la kiserikali la waumini wanawake kanisa Pentekoste nchini Denmark-Heart to Heart.

DSC05834

Mganga Kaimu mganga mfawidhi hospitali ya mkoa mjini...

 

11 years ago

Mwananchi

Safari ndefu kwa watoto wenye mahitaji maalumu

>Wengi hujikuta wakipigwa, wakitukanwa, wakinyanyaswa au wakipewa adhabu kali na walimu wao kutokana na hali zao wakiwa darasani.

 

10 years ago

Habarileo

Rais atoa mkono wa Iddi kwa wenye mahitaji maalumu

RAIS Jakaya Kikwete ametoa mkono wa Sikukuu ya Iddi kwa watu wa makundi mbalimbali wenye mahitaji maalum ikiwa ni pamoja na vituo vya watoto yatima, walemavu na wazee zawadi zenye thamani ya zaidi ya Sh 7, 420,000.

 

11 years ago

Mwananchi

Sitta aahidi nafasi zaidi kwa makundi maalumu

Mwenyekiti wa Bunge la Katiba, Samuel Sitta ameahidi kuwapa nafasi zaidi wajumbe wa Bunge hilo wanaotoka katika makundi maalumu.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Hongera RFE kusaidia makundi yenye mahitaji

CHANGAMOTO kubwa inayoikabili  jamii  yetu ni suala zima la maambukizi ya virusi vya ukimwi (VVU) na ukimwi. Zaidi ya watu milioni 38.6 duniani wanaishi na VVU, kati ya idadi hiyo,...

 

5 years ago

Michuzi

DHANA YA UWEZESHAJI WANANCHI IMEGUSA MAHITAJI YA MAKUNDI MAALUM

 Na Ismail Ngayonga,MAELEZO DAR ES SALAAM
SERIKALI ikishirikiana na wadau mbalimbali kutoka Sekta Binafsi imekuwa ikitekeleza majukumu mbalimbali ya kuwawezesha Wananchi Kiuchumi ili  kumuwezesha Mtanzania kushiriki kikamilifu katika shughuli za kiuchumi na kumiliki rasilimali.
Ili kuweka msisitizo zaidi katika kuwawezesha wananchi kiuchumi, Serikali ilitunga Sera ya Taifa ya Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi ya mwaka 2004 yenye lengo la kutoa mwongozo wa kuhakikisha kwamba wananchi wanapata...

 

10 years ago

Vijimambo

WLAC YAENDESHA KONGAMANO LA UHAMASISHAJI KUPIGA KURA KWA WANAWAKE WALIO KATIKA MAKUNDI MAALUMU

 Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Msaada wa Sheria kwa Wanawake na Watoto (WLAC), Theodosia Muhulo Nshala, akizungumza na wanahabari katika kongamano hilo. Mwanaharakati wa masuala ya haki za binadamu, Gema Akilimali, akitoa mada kwenye kongamano la uhamashaji upigaji kura lililofanyika Dar es Salaam leo asubuhi. Kongamano hilo liloandaliwa mahususi kwa watu wa kundi maalumu liliandaliwa na Kituo cha Msaada wa Sheria kwa Wanawake (WLAC)
 Mmoja wa washiriki wa kongamano hilo, Kuruthum Dindili...

 

10 years ago

Michuzi

CBA yasaidia wenye mahitaji maalumu kupitia mashindano ya mbuzi

Afisa mwandamizi wa Masoko wa Benki ya CBA, Solomon Kawiche akikabidhi mfano wa hundi ya sh laki sita kwa Sue Hurford ambaye mbuzi wao aliibuka kidedea wa shindano lililopewa jina la CBA ‘Sparkers’ lililodhaminiwa na benki hiyo wakati wa mashindano ya mwaka huu ya mbio za mbuzi jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Fedha hiyo itapewa Hospitali ya CCBRT. Mbuzi wakitimua mbio ili kumpata mshindi wa shindano katika mbio za mbuzi​lililopewa jina la 'CBA Sparkers’ lililodhaminiwa na benki ya...

 

10 years ago

Michuzi

Wafanyakazi wa Airtel wadhamini ujenzi wa darasa la shule ya watoto wa mahitaji maalumu Pongwe Tanga

Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel imesaidia ujenzi wa darasa kwa ajili ya watoto wenye ulemavu katika shule ya msingi Pongwe iliyopo nje kidogo ya Jiji la Tanga.Darasa hilo limejengwa ikiwa ni jitihada za kampuni hiyo kusaidia maendeleo ya elimu nchini kupitia mpango wa “ Tunakujali” unaohusisha wafanyakazi wake kuchangia katika shughuli za kijamiiMkurugenzi wa Huduma za jamii wa kampuni ya Airtel Bi Adriana Lyamba amefanya ukaguzi wa ujenzi huo na kuahidi kuendelea kusaidia mpango wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani