Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Pasaka tusherehekee, tutafakari na kumegeana mkate

MASHITAKA yaliyomfikisha Yesu wa Nazareti Msalabani, yanachanganya. Kufuatana na masimulizi, inaonyesha hata na wale waliotekeleza mashitaka hayo walikuwa hawafahamu vizuri ni kwa nini mtu huyo, afikishwe mbele ya baraza na...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Tusherehekee Pasaka kwa amani

JESHI la Polisi nchini limetoa tahadhari kwa wananchi katika kipindi hiki cha Sikukuu ya Pasaka kulinda maisha na mali zao dhidi ya wahalifu wanaotumia nafasi hiyo kufanikisha vitendo hivyo. Msemaji...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tutafakari sababu za kuanzishwa makanisa mengi nchini

HIVI karibuni rafiki yangu Mwislamu, ambaye hakutaka jina lake litajwe hapa, lakini  kesho na keshokutwa nitalitaja, aliniuliza swali: “Una maoni gani juu ya makanisa haya yanayochipuka kila kukicha hapa nchini?”...

 

9 years ago

Mwananchi

TAFAKURI YA ABDU IDD :Tutafakari nguvu na udhaifu wa Dk Magufuli

Wadau wa tafakuri leo nataka tutafakari juu kuhusu uwezekano wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kushinda ama kushindwa katika kinyang’anyiro cha urais mwaka huu.

 

9 years ago

Mwananchi

Baada ya kuapishwa Rais, sasa tutafakari juu ya hekalu la Taifa letu la Tanzania

Baada ya kuapishwa Rais mpya wa awamu ya tano, Dk John Magufuli, kazi iliyobaki ni kulijenga taifa letu. Wengi wanategemea Dk Magufuli, kufanya miujiza. Hawezi kufanya chochote bila msaada wetu, bila ushiriki wa kila Mtanzania, awe wa CCM, upinzani au asiyekuwa na chama.

 

9 years ago

Mwananchi

Wafyatua risasi na kuiba mkate

Watu watatu wanaodaiwa kuwa ni majambazi wameiba mkate wa Sh2,500 baada ya kufyatua risasi mbili hewani kwa bastola.

 

10 years ago

GPL

MTOKO WA PASAKA WA GWT ULIVYOFANA SIKUKUU YA PASAKA

Waimbaji wa Glorious Worship Team (GWT) wakiwa stejini wakati wa kumsifu Mungu na kumwabudu. Glorious Worship Team wakizidi kumwabudu Mungu katika Ukumbi wa Victoria Petrol Station. Mpiga gitaa la sauti nzito (base) wa GWT, Emmanuel Materu akicharaza gitaa hilo. Pembeni yake ni…

 

9 years ago

Habarileo

TBS kukagua viwanda vya mkate

SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limetangaza kuanza msako dhidi ya viwanda vya mikate ambavyo havipasishwa na shirika hilo.

 

11 years ago

Michuzi

KAPOTIVE STAR SINGERS-BUKOBA KUFANYA TAMASHA LA PASAKA LINA'S CLUB, PASAKA PILI NI KATIKA MJI WA BIHARAMULO

Kikundi mahiri cha KAPOTIVE Star Singers- Bukoba,Wanayo furaha kuwatangazia kuwa kwa mapenzi ya Mungu, Tar. 20/04/2014 sikukuu ya Pasaka watakuwa na tamasha la Pasaka LINA’S CLUB -Bukoba, kuanzia saa 9 mchana hadi 2 usiku na kesho yake tar. 21/04/2014 Watakuwa katika mji wa Biharamulo. 
 Mratibu wa Tamasha hilo Bw. Andrew Kagya amesema kuwa Mwimbaji mgeni (Guest singer) atakuwa Flora Mbasha na kundi lake zima kutoka jijini Dar es Salaam na pia Kutakuwepo kwaya mbalimbali za RC, KKKT na...

 

10 years ago

Mwananchi

Chidiebele: Muuaji wa Simba aliyeishi kwa mkate

“Maisha ni safari ndefu yenye milima na mabonde, lakini Mwenyezi Mungu akikufungulia njia unafika unakokwenda,” ndivyo anaanza kusimulia mshambuliaji wa Stand United, Abasirim Chidiebele raia wa Nigeria.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani