Tusherehekee Pasaka kwa amani
JESHI la Polisi nchini limetoa tahadhari kwa wananchi katika kipindi hiki cha Sikukuu ya Pasaka kulinda maisha na mali zao dhidi ya wahalifu wanaotumia nafasi hiyo kufanikisha vitendo hivyo. Msemaji...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima20 Apr
Pasaka tusherehekee, tutafakari na kumegeana mkate
MASHITAKA yaliyomfikisha Yesu wa Nazareti Msalabani, yanachanganya. Kufuatana na masimulizi, inaonyesha hata na wale waliotekeleza mashitaka hayo walikuwa hawafahamu vizuri ni kwa nini mtu huyo, afikishwe mbele ya baraza na...
10 years ago
Mtanzania24 Feb
Kinana:Tamasha la Pasaka liombee amani Tanzania
NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
KATIBU Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana ametoa wito kwa waandaaji wa Tamasha la Pasaka, Kampuni ya Msama Promotions kuongeza ufanisi kwa kuongeza chachu kwa waimbaji kuiombea amani Tanzania hasa katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi Mkuu unaotarajia kufanyika Oktoba mwaka huu.
Kwa mujibu wa Kinana sambamba na hilo kwa pamoja tuiombee nchi yetu umoja, amani, mshikamano ambako tamasha hilo litumike kumuomba Mungu kufanikisha umoja kwa...
11 years ago
Tanzania Daima19 Apr
Polisi Kagera watoa tahadhari uvunjifu wa amani Pasaka
JESHI la Polisi Kagera kwa kushirikiana na vyombo vya usalama, limejipanga kuhakikisha hakuna vitendo vya uhalifu vitakavyojitokeza katika Sikukuu ya Pasaka. Hayo yalibainishwa na Mkuu wa Jeshi la Polisi Kagera,...
10 years ago
Mwananchi10 Jun
Tumwache Mwalimu apumzike kwa amani amani
10 years ago
GPLMTOKO WA PASAKA WA GWT ULIVYOFANA SIKUKUU YA PASAKA
11 years ago
Michuzi16 Apr
KAPOTIVE STAR SINGERS-BUKOBA KUFANYA TAMASHA LA PASAKA LINA'S CLUB, PASAKA PILI NI KATIKA MJI WA BIHARAMULO

Mratibu wa Tamasha hilo Bw. Andrew Kagya amesema kuwa Mwimbaji mgeni (Guest singer) atakuwa Flora Mbasha na kundi lake zima kutoka jijini Dar es Salaam na pia Kutakuwepo kwaya mbalimbali za RC, KKKT na...
10 years ago
Raia Mwema07 Oct
Tufanye yote, wimbo wetu uwe amani, amani, amani
Wiki hii Raia Mwema lilifanya mahojiano na mwanasheria mkuu wa serikali mstaafu, Jaji Mark Bomani
Mwandishi Wetu
10 years ago
Michuzi
MSAMA PROMOTIONS YAMWAGA MISAADA KWA VITUO SABA VYA WATOTO YATIMA JIJINI DAR KWA AJILI YA PASAKA

Tamasha la Pasaka linatimiza miaka 15 toka lianzishwe hapa nchini,ambapo...
11 years ago
Michuzi
FUN CITY YAJIPANGA KUTOA BURUDANI YA KIPEKEE KWA WATANZANIA PASAKA: YAFUNGA MITAMBO YA KISASA KWA AJILI YA MICHEZO YA KWENYE MAJI


