Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Chidiebele: Muuaji wa Simba aliyeishi kwa mkate

“Maisha ni safari ndefu yenye milima na mabonde, lakini Mwenyezi Mungu akikufungulia njia unafika unakokwenda,” ndivyo anaanza kusimulia mshambuliaji wa Stand United, Abasirim Chidiebele raia wa Nigeria.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

CHEF ISSA ATOA SOMO LA KUBANIKA MKATE KWA KUTUMIA KUNI KWA VIJANA WA SCOUT UGHAIBUNI

Mkate uliotayari kwa kuliwa ooohhh asikwambie mtu saafi sana! Chef Issa anashukuru Allah kupata  bahati ya kualikwa na chama cha scout kwenda kuwafundisha vijana mbinu za mapishi wakiwa porini. Dah! waliipenda na kufagilia sana walitengeneza mkate wa kubanika kwa kutumia mti na moto wa kuni.Kundi la vijana wa scout na uongozi wao hapa ni baada ya kuwasha moto tukisubiri upungue na kuni zote zishike moto tuanze kubanika mkate.Chef Issa (kulia) akiwa na vijana wa scoutHuu ndio mkate wenyewe...

 

10 years ago

Habarileo

Wauza pande la ardhi kwa ‘silesi ya mkate’

VIONGOZI wa kijiji cha Meka wamebainika kuuza hekta 2,000 za ardhi kwa Tanga Forest kwa kupewa tangi la maji lenye ujazo wa lita 2,000.

 

5 years ago

BBCSwahili

Asteria Mabirika, mama aliyeishi na aibu ya Fistula kwa miaka 20

Asteria Mabirika ni mama aliyeishi na aibu ya Fistula kwa zaidi ya miaka 20, jambo lililomfanya aolewe na mganga na wanaume wengine tofauti ambao walimtaliki kuokana na kunuka.

 

5 years ago

BBCSwahili

Christina Koch: Mwanamke aliyeishi kwenye anga za mbali kwa muda mrefu

Christina Koch: Mwana anga mwanamke aliyeishi kwenye anga za mbali kwa muda mrefu

 

10 years ago

Michuzi

Mnigeria wa Stand United Abasarim Chidiebele atua Coastal Union

MSHAMBULIAJI wa timu ya Stand United, Abasarim Chidiebele akizungumza na waandishi wa habari mkoani Tanga leo mara baada ya kusaini mkataba wa mwaka mmoja wa kuitumikia timu ya Coastal Union.Habari na picha na 
Mwandishi wetu, Tanga
SHAMBULIAJI wa timu ya Stand United,Abasarim Chidiebele amesaini mkataba wa kuitumikia timu ya Coastal Union kwa mkataba wa miaka mmoja katika msimu ujao wa Ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara.Chidiebele atua mkoani Tanga juzi kwa ajili ya kuingia makubaliana na...

 

9 years ago

Mwananchi

Wafyatua risasi na kuiba mkate

Watu watatu wanaodaiwa kuwa ni majambazi wameiba mkate wa Sh2,500 baada ya kufyatua risasi mbili hewani kwa bastola.

 

9 years ago

Habarileo

TBS kukagua viwanda vya mkate

SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limetangaza kuanza msako dhidi ya viwanda vya mikate ambavyo havipasishwa na shirika hilo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Pasaka tusherehekee, tutafakari na kumegeana mkate

MASHITAKA yaliyomfikisha Yesu wa Nazareti Msalabani, yanachanganya. Kufuatana na masimulizi, inaonyesha hata na wale waliotekeleza mashitaka hayo walikuwa hawafahamu vizuri ni kwa nini mtu huyo, afikishwe mbele ya baraza na...

 

5 years ago

Bongo5

Video: Msako waendelea kwa muuaji wa pasaka aliyempiga risasi mzee mpita njia na kuweka video ya tukio Facebook

Msako mkali unaendelea kumnasa Steve Stephens, 37 wa Cleveland, Ohia nchini Marekani, aliyehusika kwenye tukio la mauaji ya mzee wa miaka 74, Robert Godwin.

Muuaji huyo alidai kufanya kitendo hicho baada ya kukorofishana na mpenzi wake, na hasira zake aliamua kuzihamishia kwa mzee mpitanjia huyo huku akirekodi mauaji hayo na kuweka video Facebook.

Godwin, mfanyakazi wa zamani wa kiwandani na fundi mechanic, ana watoto 10 na wajukuu 14.

Mtoto wa kike, Tonya Godwin-Baines ameiambia CNN...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani