Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waumini wauawa msikitini Nigeria

Watu waliojihami wameshambulia msikiti katika jimbo la Kano Kaskazini mwa Nigeria na kuwaua waumini 3 huku wakiwajeruhi wengine 12.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Watu 30 wauawa msikitini Nigeria

Watu 30 wamefariki baada ya kutokea kwa milipuko miwili katika msikiti ulio karibu na mji wa Maiduguri.

 

10 years ago

BBCSwahili

Nigeria:Watu 29 wauawa msikitini

Watu 29 wameuawa kati mji mkuu wa jimbo la Borno Maiduguri Kaskazini Mashariki mwa Nigeria baada ya mlipuaji wa kujitoa mhanga kujilipua ndani ya msikiti.

 

9 years ago

BBCSwahili

Watu sita wauawa msikitini Nigeria

Watu sita wanahofiwa kufariki katika mji wa Maiduguri, Nigeria baada ya mshambuliaji wa kujitoa mhanga kujilipua katika msikiti mmoja mjini humo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Waumini watwangana makonde msikitini

WAUMINI wa Kiislamu wanaoswali katika Msikiti wa Mji wa  Zamani uliopo Mtaa wa Mji Mwema, wilayani Mpanda, wamepigana  makonde ndani ya msikiti  katika suala la kuamua nani  awe imamu wa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Watu 10 wauawa na bomu msikitini Saudia

Takriban watu 10 wameuawa katika shambulizi la mlipuaji wa kujitolea muhanga katika msikiti mmoja wa Shia mkoa wa mashariki wa taifa la Saudi Arabia

 

9 years ago

Global Publishers

Watu 20 wauawa kwa bomu msikitini

Bomb-Blast-GombeMagari yakiungua wakati wa mlipuko huo.

Borno, Nigeria

WATU wapatao 20 wanasemekana kufa huko Maiduguri, Jimbo la Borno nchini Nigeria baada ya bomu kulipuka msikitini leo.

Kwa mujibu wa gazeti la Premium Times, wengi wa waliouawa wanaaminika ni wakazi wa eneo hilo ambao walikuwa wamekusanyika katika msikitu huo kufuatia uvumi kwamba kulikuwa na bomu lililokuwa limeachwa humo.

bomb-blast-explosion“Sijaona kitu cha kipumbavu kama hiki ambapo watu waliingia katika msikiti kuchunguza iwapo kweli kulikuwa na bomu. ...

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Makanisa mashuhuri nchini Nigeria yakosa waumini

Waumini wamepigwa marufuku ya kukusanyika na sasa wahubiri hawana namna zaidi ya kutii sheria hiyo

 

11 years ago

BBCSwahili

Mahabusu 21 wauawa Nigeria

Mahabusu 21 wameuawa walipojaribu kutoroka kutoka kwenye gereza la kitengo maalum huko Abuja Nigeria

 

10 years ago

BBCSwahili

watu 30 wauawa Nigeria

Mashambulio mawili ya mabomu katika mji wa Jos nchini Nigeria yamewaua takribani watu 30.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani