Waumini wauawa msikitini Nigeria
Watu waliojihami wameshambulia msikiti katika jimbo la Kano Kaskazini mwa Nigeria na kuwaua waumini 3 huku wakiwajeruhi wengine 12.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili16 Oct
Watu 30 wauawa msikitini Nigeria
10 years ago
BBCSwahili31 May
Nigeria:Watu 29 wauawa msikitini
9 years ago
BBCSwahili23 Oct
Watu sita wauawa msikitini Nigeria
11 years ago
Tanzania Daima27 Feb
Waumini watwangana makonde msikitini
WAUMINI wa Kiislamu wanaoswali katika Msikiti wa Mji wa Zamani uliopo Mtaa wa Mji Mwema, wilayani Mpanda, wamepigana makonde ndani ya msikiti katika suala la kuamua nani awe imamu wa...
10 years ago
BBCSwahili22 May
Watu 10 wauawa na bomu msikitini Saudia
9 years ago
Global Publishers28 Dec
Watu 20 wauawa kwa bomu msikitini
Magari yakiungua wakati wa mlipuko huo.
Borno, Nigeria
WATU wapatao 20 wanasemekana kufa huko Maiduguri, Jimbo la Borno nchini Nigeria baada ya bomu kulipuka msikitini leo.
Kwa mujibu wa gazeti la Premium Times, wengi wa waliouawa wanaaminika ni wakazi wa eneo hilo ambao walikuwa wamekusanyika katika msikitu huo kufuatia uvumi kwamba kulikuwa na bomu lililokuwa limeachwa humo.
“Sijaona kitu cha kipumbavu kama hiki ambapo watu waliingia katika msikiti kuchunguza iwapo kweli kulikuwa na bomu. ...
5 years ago
BBCSwahili09 Apr
Coronavirus: Makanisa mashuhuri nchini Nigeria yakosa waumini
11 years ago
BBCSwahili31 Mar
Mahabusu 21 wauawa Nigeria
10 years ago
BBCSwahili12 Dec
watu 30 wauawa Nigeria