Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CHADEMA ngoma nzito

MAKAO Makuu ya Jeshi la Polisi nchini jana yaligeuka uwanja wa mapambano kati ya askari na wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), waliomfuata Mwenyekiti wao, Freeman Mbowe, aliyekwenda...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Zitto, CHADEMA ngoma nzito Mahakama Kuu

WAKILI wa Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe, Albert Msando na Tundu Lissu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), jana walichuana vikali katika kesi namba 1/2014 iliyofunguliwa na Zito...

 

11 years ago

Mwananchi

Chadema ngoma nzito,wafuasi watwangana makonde mahakamani

>Vurugu za aina yake zimezuka katika Mahakama Kuu jijini Dar es Salaam, baada ya watu wanaodhaniwa kuwa wanachama wa Chadema  kumzomea aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa Chama hicho,  Zitto Kabwe.

 

10 years ago

Mwananchi

Ndumbaro ngoma nzito

Kamati ya Rufaa ya Nidhamu ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), chini ya mwenyekiti wake Revocatus Kuuli jana ilishindwa kujadili rufaa ya Dk. Damas Ndumbaro kutokana na wakili huyo kushindwa kutokea. 

 

10 years ago

GPL

ZITTO,UKAWA NGOMA NZITO

Homa ya uchaguzi inazidi kupanda kuelekea uchaguzi mkuu wa madiwani, wabunge na rais unaotarajiwa kufanyika Oktoba, mwaka huu huku habari kubwa ikiwa ni jeuri ya fedha iliyooneshwa na chama kipya cha Zitto Kabwe, Alliance for Change and Transparency (ACT- Tanzania) kufanya uzinduzi wa kihistoria uliogharimu mamilioni ya fedha. ...

 

11 years ago

Mwananchi

Atletico, Chelsea ngoma nzito

Atletico Madrid imeshindwa kutumia vizuri uwanja wake wa nyumbani Vicente Calderon baada ya kulazimishwa sare 0-0 na Chelsea jana katika nusu fainali ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Ulaya.

 

11 years ago

Mwananchi

Bunge la Katiba ngoma nzito

Hofu imetanda kuhusu uwezekano wa kuvunjika kwa Bunge Maalumu la Katiba, kutokana na hatua ya CCM kutumia wingi wao kutaka kupitisha utaratibu wa kupiga kura za wazi.

 

11 years ago

Mwananchi

Wambura, Kaburu ngoma nzito

Wagombea Geofrey Nyange ‘Kaburu’ na Michael Wambura wamekalia kuti kavu kwenye kinyang’anyiro cha uchaguzi mkuu wa klabu ya Simba uliopangwa kufanyika Juni 29 mwaka huu.

 

10 years ago

Raia Mwema

Lowassa, Ukawa ngoma nzito

WAZIRI Mkuu aliyejiuzulu, Edward Lowassa, yuko mbioni kujiunga na Chama cha Demokrasia na Maendel

Mwandishi Wetu

 

11 years ago

Habarileo

Usaili Uhamiaji ngoma nzito

MCHAKATO wa usaili kwa ajili ya kujaza nafasi za Mkaguzi Msaidizi wa Uhamiaji zinazohitajika, unaendelea licha ya waombaji 4,834 kuchujwa katika awamu ya kwanza. Kati ya waombaji 6,116 waliofanyiwa usaili hivi karibuni jijini Dar es Salaam, waombaji 1,281 ndiyo wamebaki wakisubiri duru ya mwisho ya usaili, wabaki 70 watakaojaza nafasi hizo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani