ZITTO,UKAWA NGOMA NZITO
![](http://api.ning.com:80/files/HRXB3pTHxIqttt2Y1*gm1n*vcILczY4hFxkWmp-L0t58sQfZ78D5zrsKwmQxL8*wfRhtg3MgeaGdRVeTRYtF6H8YdS8tt62X/frontpageuwazimizengwecopy.jpg?width=650)
Homa ya uchaguzi inazidi kupanda kuelekea uchaguzi mkuu wa madiwani, wabunge na rais unaotarajiwa kufanyika Oktoba, mwaka huu huku habari kubwa ikiwa ni jeuri ya fedha iliyooneshwa na chama kipya cha Zitto Kabwe, Alliance for Change and Transparency (ACT- Tanzania) kufanya uzinduzi wa kihistoria uliogharimu mamilioni ya fedha. ...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima04 Jan
Zitto, CHADEMA ngoma nzito Mahakama Kuu
WAKILI wa Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe, Albert Msando na Tundu Lissu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), jana walichuana vikali katika kesi namba 1/2014 iliyofunguliwa na Zito...
10 years ago
Raia Mwema22 Jul
Lowassa, Ukawa ngoma nzito
WAZIRI Mkuu aliyejiuzulu, Edward Lowassa, yuko mbioni kujiunga na Chama cha Demokrasia na Maendel
Mwandishi Wetu
10 years ago
Habarileo15 Jul
Urais Ukawa bado ngoma nzito
KITENDAWILI cha nani atakuwa mgombea wa Urais kwa tiketi ya kambi ya upinzani katika uchaguzi mkuu wa baadaye mwaka huu, jana kilishindwa kupata jibu baada vyama vinavyoundwa kambi hiyo, kukutana kuanzia asubuhi hadi usiku, lakini bila ya kukubaliana.
10 years ago
Mwananchi12 Jul
Ukawa ngoma nzito, waahirisha kumtaja mgombea urais
10 years ago
Tanzania Daima19 Sep
CHADEMA ngoma nzito
MAKAO Makuu ya Jeshi la Polisi nchini jana yaligeuka uwanja wa mapambano kati ya askari na wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), waliomfuata Mwenyekiti wao, Freeman Mbowe, aliyekwenda...
10 years ago
Mwananchi13 Apr
Ndumbaro ngoma nzito
11 years ago
Mwananchi02 Mar
Bunge la Katiba ngoma nzito
11 years ago
Mwananchi26 May
Wambura, Kaburu ngoma nzito
11 years ago
Habarileo19 Jun
Usaili Uhamiaji ngoma nzito
MCHAKATO wa usaili kwa ajili ya kujaza nafasi za Mkaguzi Msaidizi wa Uhamiaji zinazohitajika, unaendelea licha ya waombaji 4,834 kuchujwa katika awamu ya kwanza. Kati ya waombaji 6,116 waliofanyiwa usaili hivi karibuni jijini Dar es Salaam, waombaji 1,281 ndiyo wamebaki wakisubiri duru ya mwisho ya usaili, wabaki 70 watakaojaza nafasi hizo.