Zitto atosa wafuasi
MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe (CHADEMA), aliyevuliwa nyadhifa zote za uongozi kwa madai ya usaliti, amekemea vurugu zinazofanywa na baadhi ya wanachama wanaopinga uamuzi wa chama. Zitto, amewataka wanachama...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi06 Jan
Wafuasi wa Zitto, Chadema watwangana tena
11 years ago
GPL06 Jan
11 years ago
Mwananchi10 Jan
Msajili wa vyama aonya vurugu za wafuasi wa Chadema na Zitto
10 years ago
Mwananchi09 Feb
Zitto Kabwe aongoza kwa wafuasi wengi mtandaoni
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-opUFBNzZwcE/UmInc_Sz2XI/AAAAAAAAOww/YFUfMOT4nks/s72-c/zitto+kabwe.jpg)
Zitto aachia rasmi ubunge, Asema Chadema basi, wafuasi wake wamwaga chozi.
![](http://1.bp.blogspot.com/-opUFBNzZwcE/UmInc_Sz2XI/AAAAAAAAOww/YFUfMOT4nks/s640/zitto+kabwe.jpg)
Zitto ambaye alivuliwa uanachama na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wiki iliyopita baada ya kushindwa kesi aliyoifungua Mahakama Kuu ya Tanzania, alitangaza uamuzi huo jana katika mkutano wa hadhara kwenye uwanja wa soko la kijiji cha Mwandiga, mkoani Kigoma.
Zitto hakueleza ni sababu zipi zilizomlazimisha kujitoa Chadema zaidi ya kudai kuwa ni kutokana na migogoro ndani ya chama hicho.
“Ndugu zangu...
10 years ago
Bongo502 Nov
Hasheem Thabeet atosa ofa za Ulaya, arudi kwenye D League
10 years ago
Mwananchi27 Oct
Wafuasi ‘wafunika’ Jangwani
9 years ago
Habarileo18 Sep
Wafuasi wa Chadema mbaroni
WATU wawili wanaodhaniwa kuwa wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Goodluck Hamandi (26), mkazi wa Mtoni na Fulgence Shayo (18) mkazi wa Mazimbu katika Manispaa ya Morogoro mkoani hapa, wamekamatwa na polisi wakituhumiwa kufanya fujo.
10 years ago
BBCSwahili07 Apr
IS yazidi kusaka wafuasi.