Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


IS yazidi kusaka wafuasi.

Binti mmoja mwenye asili ya Afrika Kusini ameshushwa kwenye ndege mjini Cape Town,baada ya kushukiwa yumo safarini kujiunga na IS.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

TIMU NZIMA YA KUSAKA VIPAJI VYA UIGIZAJI TANZANIA YAELEKEA MKOANI MWANZA KWAAJILI YA KUANZA ZOEZI LA KUSAKA VIPAJI VYA UIGIZAJI TANZANIA

Timu nzima ya Tanzania Movie Talents kutoka kampuni ya Proin Promotions Limited wakiwa katika picha ya pamoja kabla ya kuanza safari ya kuelekea Mwanza kwaajili ya shindano la kutafuta Vipaji vya Uigizaji Tanzania ambapo shindano hili litaanzia katika Kanda ya Ziwa katika Mkoa wa Mwanza Kuanzia tarehe 5 April 2014 mahali ni Isamilo Lodge. Mdau Karimu Muhidin Michuzi na Baadhi ya vijana wa kazi katika timu ya kusaka vipaji wakiwa tayari kwa safari ya Mwanza. Mabasi yakiwa tayari kwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Zitto atosa wafuasi

MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe (CHADEMA), aliyevuliwa nyadhifa zote za uongozi kwa madai ya usaliti, amekemea vurugu zinazofanywa na baadhi ya wanachama wanaopinga uamuzi wa chama. Zitto, amewataka wanachama...

 

10 years ago

Mwananchi

Wafuasi ‘wafunika’ Jangwani

Maelfu ya wanachama na mashabiki wa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), jana walifurika kushuhudia tukio la kihistoria la kusainiwa kwa makubaliano ya kushirikiana kwenye Viwanja vya Jangwani.

 

9 years ago

Habarileo

Wafuasi wa Chadema mbaroni

WATU wawili wanaodhaniwa kuwa wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Goodluck Hamandi (26), mkazi wa Mtoni na Fulgence Shayo (18) mkazi wa Mazimbu katika Manispaa ya Morogoro mkoani hapa, wamekamatwa na polisi wakituhumiwa kufanya fujo.

 

10 years ago

GPL

WAFUASI WA CUF WAPATA DHAMANA

Watuhumiwa wakisubiri kupewa dhamana katika chumba cha kusikiliza kesi. Wafuasi wa CUF wakishuka kwenye ngazi kutoka katika chumba cha kusikiliza kesi baada ya kupewa dhamana.…

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Wafuasi 30 wa CUF wapandishwa kizimbani


NA FURAHA OMARY
WAFUASI 30 wa Chama cha CUF, wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakikabiliwa na mashitaka matatu, likiwemo la kufanya mgomo baada ya kukatazwa kukusanyika na kuandamana.
Washitakiwa hao walisomewa mashitaka hayo jana mbele ya Hakimu Mkazi, Emmilius Mchauru na kupelekwa rumande katika gereza la Segerea, kutokana na barua za wadhamini kutakiwa kuhakikiwa.
Kwa mujibu wa hati ya mashitaka, washitakiwa hao ni Shabani Ngurangwa (56), Shabani Tano au...

 

9 years ago

BBCSwahili

Wafuasi wa Museveni na Mbabazi wapigana

Wafuasi wa rais Yoweri Museveni wamewashambulia wafuasi wa Amama Mbabazi katika vitongoji vya Kampala

 

10 years ago

Habarileo

Wafuasi wa Chadema wapata dhamana

WAFUASI watatu wa Chadema wanaokabiliwa na mashitaka ya kutotii amri ya Jeshi la Polisi na kuingia katika Makao Makuu ya Jeshi hilo kinyume cha sheria, wamepata dhamana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wafuasi wa Boko Haram wajisalimisha

Wafuasi wa Boko Haram zaidi ya 260 wajisalimisha nchini Nigeria

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani