WAFUASI WA CUF WAPATA DHAMANA
Watuhumiwa wakisubiri kupewa dhamana katika chumba cha kusikiliza kesi. Wafuasi wa CUF wakishuka kwenye ngazi kutoka katika chumba cha kusikiliza kesi baada ya kupewa dhamana.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi30 Jan
Wafuasi 30 wa CUF wapata dhamana Kisutu
10 years ago
Habarileo25 Sep
Wafuasi wa Chadema wapata dhamana
WAFUASI watatu wa Chadema wanaokabiliwa na mashitaka ya kutotii amri ya Jeshi la Polisi na kuingia katika Makao Makuu ya Jeshi hilo kinyume cha sheria, wamepata dhamana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam.
10 years ago
GPLLIPUMBA NA WAFUASI WAKE WAPATA DHAMANA UPYA
10 years ago
GPLWAFUASI 29 WA CUF WAACHIWA KWA DHAMANA
10 years ago
GPLMDEE NA WENZAKE WAPATA DHAMANA
9 years ago
Mwananchi24 Dec
Washtakiwa TRA wapata dhamana
11 years ago
Mwananchi26 Jun
Waliovunja ‘mochwari’ sita wapata dhamana
10 years ago
Uhuru Newspaper29 Jan
Wafuasi 30 wa CUF wapandishwa kizimbani
NA FURAHA OMARY
WAFUASI 30 wa Chama cha CUF, wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakikabiliwa na mashitaka matatu, likiwemo la kufanya mgomo baada ya kukatazwa kukusanyika na kuandamana.
Washitakiwa hao walisomewa mashitaka hayo jana mbele ya Hakimu Mkazi, Emmilius Mchauru na kupelekwa rumande katika gereza la Segerea, kutokana na barua za wadhamini kutakiwa kuhakikiwa.
Kwa mujibu wa hati ya mashitaka, washitakiwa hao ni Shabani Ngurangwa (56), Shabani Tano au...
10 years ago
Mwananchi27 Feb
Wafuasi CUF wacheza ‘sinema’ mahakamani