Wafuasi 30 wa CUF wapata dhamana Kisutu
Wafuasi 30 wa Chama cha Wananchi CUF wanaokabiliwa na   mashtaka matatu ya kula njama na kukaidi amri halali ya polisi na kufanya maandamano katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wameachiwa huru baada ya kukamilisha masharti ya dhamana waliyopewa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLWAFUASI WA CUF WAPATA DHAMANA
10 years ago
Habarileo25 Sep
Wafuasi wa Chadema wapata dhamana
WAFUASI watatu wa Chadema wanaokabiliwa na mashitaka ya kutotii amri ya Jeshi la Polisi na kuingia katika Makao Makuu ya Jeshi hilo kinyume cha sheria, wamepata dhamana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam.
10 years ago
GPLLIPUMBA NA WAFUASI WAKE WAPATA DHAMANA UPYA
10 years ago
GPLWAFUASI 29 WA CUF WAACHIWA KWA DHAMANA
10 years ago
Dewji Blog25 Sep
Mahakama ya Kisutu yawaacha wafuasi wa Chadema
Mmoja wa wanachama wa Chadema, Kamugisha Ngaiza, alivyowekwa chini ya ulinzi na polisi hivi karibuni.
Na Mwandishi wetu
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, imewaachia huru kwa dhamana washitakiwa watatu wenye kesi namba173 ya mwaka 2014, kwa kosa la kumsindikiza Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe Makao Mkuu ya Polisi.
Washitakiwa hao ni Ngaiza Kamugisha ambaye ni mfuasi wa chama hicho, Katibu wa BAVICHA Temeke, Benito Mwapinga na Elisante Bagenyi ambae ni mfuasi wa chama...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rhqcRsJl7aQUTsfI6ZENSWyuohLTfSr5vmubC-M*KghSMIvsSi0GzcnFG07xTekGv4CJ31PiFoO1cU7ygHSgM8kmj-GsjdID/gwajima.jpg?width=650)
GWAJIMA APATA DHAMANA MAHAKAMA YA KISUTU, DAR
9 years ago
Mwananchi24 Dec
Washtakiwa TRA wapata dhamana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/U8LSueg-IYqb4Oc0XUJ-eLBrniCyROwO068-Xs-6IetZAH3*CJnk*V-lIIqYH1IqY2KJon-bl-4CBhBJAT32s*-6DF6ZDyRB/breakingnews.gif)
MDEE NA WENZAKE WAPATA DHAMANA
11 years ago
Mwananchi26 Jun
Waliovunja ‘mochwari’ sita wapata dhamana