Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mahakama ya Kisutu yawaacha wafuasi wa Chadema

12

Mmoja wa wanachama wa Chadema, Kamugisha Ngaiza, alivyowekwa chini ya ulinzi na polisi hivi karibuni.

14

Na Mwandishi wetu

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, imewaachia huru kwa dhamana washitakiwa watatu wenye kesi namba173 ya mwaka 2014, kwa kosa la kumsindikiza Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe Makao Mkuu ya Polisi.

Washitakiwa hao ni Ngaiza Kamugisha ambaye ni mfuasi wa chama hicho, Katibu wa BAVICHA Temeke, Benito Mwapinga na Elisante Bagenyi ambae ni mfuasi wa chama...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Wafuasi 30 wa CUF wapata dhamana Kisutu

Wafuasi 30 wa Chama cha Wananchi CUF wanaokabiliwa na    mashtaka matatu ya kula njama na kukaidi  amri halali ya polisi na kufanya maandamano katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wameachiwa huru  baada ya kukamilisha masharti ya dhamana waliyopewa.

 

10 years ago

Mwananchi

Chadema ‘yawaacha polisi kwenye mataa’

Chama cha Demokrasi na Maendeleo (Chadema), ‘kimewaacha polisi kwenye mataa’ katika maeneo mbalimbali nchini baada ya kutojitokeza kwenye maandamano na kuwaacha askari wakiwa wamejipanga barabarani na maeneo nyeti wakiwasubiri, lakini mjini Bukoba chama hicho kilifanya maandamano.

 

10 years ago

Michuzi

Mahakama ya Kisutu yamtia hatiani Macha

Na Mwandishi Wetu
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu leo imetoa uamuzi katika kesi inayomkabili mfanyabiashara maarufu jijini Dar es Salaam, Hans Aingaya Macha (pichani) kuwa ana kesi ya kujibu.
Uamuzi huo, umetolewa na Hakimu Mkazi wa mahakama hiyo, Devotha Kisoka katika kesi inayomkabili mfanyabiashara huyo ya kugushi hati ya kiwanja cha Ramadhan Balenga chenye namba 183 kilichopo Kigogo, mkataba wa mauziano na hati ya uhamishaji miliki.
Akitoa uamuzi huo jana, Hakimu Devotha alisema baada...

 

10 years ago

GPL

GWAJIMA ASHITAKIWA MAHAKAMA YA KISUTU DAR

Askofu Mkuu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima, akiwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu. HATIMAYE Askofu Mkuu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima, ameshitakiwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa makosa mawili ya kutoa lugha ya matusi na uzembe wa kuhifadhi silaha yake.
Askofu Gwajima ameshitakiwa pamoja na wenzake watatu, waliotajwa mahakamani hapo kuwa ni Yekonia Behanaze, Jofrey Andrew na...

 

10 years ago

GPL

GWAJIMA MBARONI, APELEKWA MAHAKAMA YA KISUTU DAR

Kiongozi wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Mchungaji Josephat Gwajima amekamatwa na Jeshi la Polisi na kwa sasa yupo Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam. Habari zaidi pamoja na picha kuhusu taarifa hizi zitawajia hivi…

 

10 years ago

Vijimambo

LIPUMBA AFIKISHWA MAHAKAMA YA HAKIMU MKAZI KISUTU

Mwenyekiti wa Chama cha Wanachi CUF, Prof Ibrahim haruna Lipumba akiwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam leo alipofikishwa kusjibu shitaka la kuhamasisha wanacham awa chama chake kufanya jinai.Prof Ibrahim Lipumba akiwatuliza wanachama na wafuasi wa chama hicho kuacha kelele katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.Wanachama na Wafuasi wa CUF wakiimba nje ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam leo.Mwanahabari kutoka DW akimhoji mmoja wa wanachama wa CUF. Kwa hisani ya...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mahakama Kisutu kutoa uamuzi dhidi ya Macha

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu kesho inatarajia kutoa uamuzi juu ya mfanyabiashara maarufu jijini Dar es Salaam, Hans Macha iwapo ana kesi ya kujibu au la. Macha anakabiliwa na mashitaka...

 

10 years ago

GPL

GWAJIMA APATA DHAMANA MAHAKAMA YA KISUTU, DAR

Kiongozi wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima leo amepata dhamana Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar atarudi mahakamani hapo Mei 4, 2015. Josephat Gwajima ameshitakiwa kwa makosa mawili kutoa lugha ya matusi na kushindwa kutunza slaha. (Habari: Deogratius Mongela/GPL)

 

10 years ago

Vijimambo

MTUHUMIWA ALIYEJARIBU KUTOROKA MAHAKAMA YA KISUTU APIGWA RISASI


Maofisa wa Polisi na Magereza wakiangalia mwili wa mtu aliyekuwa akikabiliwa na kesi ya dawa za kulevya na kupigwa risasi wakati akijaribu kutoroka katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam saa 2:00 asubuhi ya leo. 
Kwa mujibu wa chanzo chetu cha habari kinapasha kuwa mwili wa marehemu huyo ambaye bado jina lake halijatambulika umepelekwa kuhifadhiwa Hospitali ya Muhimbili. Picha kwa hisani ya Father Kidevu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani