Waliovunja ‘mochwari’ sita wapata dhamana
Watu sita kati ya 12 wanaotuhumiwa kwa uchochezi na kuvunja chumba cha kuhifadhia maiti katika Kituo cha Afya Kaigara wilayani hapa, jana wamepata dhamana baada ya kutimiza masharti ya mahakama.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLWAFUASI WA CUF WAPATA DHAMANA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/U8LSueg-IYqb4Oc0XUJ-eLBrniCyROwO068-Xs-6IetZAH3*CJnk*V-lIIqYH1IqY2KJon-bl-4CBhBJAT32s*-6DF6ZDyRB/breakingnews.gif)
MDEE NA WENZAKE WAPATA DHAMANA
10 years ago
Habarileo25 Sep
Wafuasi wa Chadema wapata dhamana
WAFUASI watatu wa Chadema wanaokabiliwa na mashitaka ya kutotii amri ya Jeshi la Polisi na kuingia katika Makao Makuu ya Jeshi hilo kinyume cha sheria, wamepata dhamana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam.
9 years ago
Mwananchi24 Dec
Washtakiwa TRA wapata dhamana
10 years ago
Mwananchi30 Jan
Wafuasi 30 wa CUF wapata dhamana Kisutu
10 years ago
GPLLIPUMBA NA WAFUASI WAKE WAPATA DHAMANA UPYA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-w0M3C3L-3KQ/XrUx50-PM2I/AAAAAAALpeQ/0g9QTGsH9wIOCnM2npkuTmxDlp70vVK9wCLcBGAsYHQ/s72-c/askari%252Bpic.jpg)
WAFAHAMU WAHALIFU WALIOVUNJA REKODI YA KUMILIKI MAMILIONI YA PESA DUNIANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-w0M3C3L-3KQ/XrUx50-PM2I/AAAAAAALpeQ/0g9QTGsH9wIOCnM2npkuTmxDlp70vVK9wCLcBGAsYHQ/s640/askari%252Bpic.jpg)
Na Leandra Gabriel, Michuzi TV
LINAPOKUJA suala la kutengeneza fedha sio kila mtu atatengeneza fedha kwa njia halali, baadhi ya wahalifu ulimwenguni wamefahamika zaidi kutokana na umiliki wao wa pesa nyingi zilizopatikana kwa njia isiyo ya halali, wengi wao wamekuwa wakipata pesa kupitia biashara haramu ikiwemo uuzaji wa dawa za kulevya, kuendesha mitandao ya ngono, uuzaji wa binadamu, ujangili na hata kutumia silaha ili kujipatia mali.
Licha ya shughuli zao kuwaweka katika hatari kubwa...
10 years ago
Mtanzania27 Jan
Wahudumu mochwari wagoma
Na Samwel Mwanga, Simiyu
WAHUDUMU wanaofanya kazi katika chumba cha kuhifadhia maiti katika Hospitali ya Wilaya ya Bariadi mkoani Simiyu, wamegoma kuzika miili ya watu iliyoharibika na isiyotambuliwa kwa madai kuwa hawajalipwa mishahara yao kwa kipindi cha miezi sita.
Tarifa ya kugoma kwa wahudumu hao imekuja baada ya kuwapo kwa maiti ambazo hadi sasa imeshindikana kuzikwa.
Wakizungumza na waandishi wa habari jana, wahudumu hao tisa, walisema tangu Juni mwaka jana hadi sasa hawajalipwa...