Wahudumu mochwari wagoma
Na Samwel Mwanga, Simiyu
WAHUDUMU wanaofanya kazi katika chumba cha kuhifadhia maiti katika Hospitali ya Wilaya ya Bariadi mkoani Simiyu, wamegoma kuzika miili ya watu iliyoharibika na isiyotambuliwa kwa madai kuwa hawajalipwa mishahara yao kwa kipindi cha miezi sita.
Tarifa ya kugoma kwa wahudumu hao imekuja baada ya kuwapo kwa maiti ambazo hadi sasa imeshindikana kuzikwa.
Wakizungumza na waandishi wa habari jana, wahudumu hao tisa, walisema tangu Juni mwaka jana hadi sasa hawajalipwa...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/qB*eEYpVu7MnQvWqCC0DrGdoA4ecUxTk8qX4RVaALL5BEVnmMUKd8oNXvZwehkk3ulAaqfm4-X3h*iQDrwVJruJgDUdxRebD/Omary.jpg)
AINGIZWA MOCHWARI AKIDHANIWA AMEKUFA
11 years ago
Mwananchi17 Jun
Wavunja mochwari kutaka kuona maiti
11 years ago
Mwananchi26 Jun
Waliovunja ‘mochwari’ sita wapata dhamana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/9677Xpk6OnXJnk6vsCmKMKpdps3sz*HtLEx94aWYkyduzmuOS1Mbt9l9I*PBoDTLIuoENqYffg3kaDjBhn9gmp40utxxdOyp/maiti.jpg)
MAITI YA MBONGO YAWEKWA MOCHWARI CHINI MIEZI 8
10 years ago
Mwananchi08 Oct
Maiti yakaa mochwari siku 34, kisa mgogoro wa wazazi
11 years ago
GPL‘NILIPELEKWA MUHIMBILI ILI NIINGIZWE MOCHWARI’
11 years ago
CloudsFM18 Jun
FAMILIA YAKATAA KUCHUKUA MAITI MOCHWARI, KISA YANYOFOLEWA VIUNGO
Vurugu kubwa zimetokea katika kijiji cha Buyango wilayani Muleba mkoani Kagera baada ya wazazi kuikataa maiti ya mtoto wao kwa madai amenyofolewa viungo vyake vya mwili hali iliyosababisha polisi kutumia mabomu ya machozi kutawanya makundi yaliyofunga barabara na kubomoa chumba cha kuhifadhia maiti kutafuta viungo hivyo.
9 years ago
BBCSwahili02 Nov
Wahudumu 14 wa misaada watekwa DRC
10 years ago
BBCSwahili24 Sep
Ebola:Wahudumu wengine washambuliwa