Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ebola:Wahudumu wengine washambuliwa

Wahudmu wengine wa Afya walishambuliwa nchini Guinea walipokuwa wanakusanya miili ya watu waliofariki kutokana na Ebola.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Motisha juu wahudumu wa Ebola

Marekani imeongeza motisha kwa wanaowahudumia watu walio athiriwa na virusi vya ugonjwa wa Ebola huklo Afrika Magharibi.

 

10 years ago

StarTV

Wahudumu 400 wanaowatibu Ebola Sierra Leone.

Zaidi ya wahudumu 400 wa afya wanaowatibu wagonjwa wa Ebola katika kliniki moja nchini Sierra Leone wamegoma.

Wahudumu hao wamiwemo wauguzi na wafanyaki wengineo wanagoma kulalamikia hatua ya serikali kukosa kuwalipa dola miamoja kila wiki kwa kuhatarisha kaisha yao wakiwashughulikia wagonjwa wa Ebola.

Kliki hiyo iliyo mjini Bandajuma karibu na eneo la Bo, ndio kliniki pekee ambako wagonjwa wa Ebola wanatibiwa Kusini mwa Sierra Leone.

Kwingineko nchini Mali, muuguzi mmoja nchini Mali pamoja...

 

10 years ago

Mtanzania

Wahudumu mochwari wagoma

jokofuuuuuuuuuuNa Samwel Mwanga, Simiyu
WAHUDUMU wanaofanya kazi katika chumba cha kuhifadhia maiti katika Hospitali ya Wilaya ya Bariadi mkoani Simiyu, wamegoma kuzika miili ya watu iliyoharibika na isiyotambuliwa kwa madai kuwa hawajalipwa mishahara yao kwa kipindi cha miezi sita.
Tarifa ya kugoma kwa wahudumu hao imekuja baada ya kuwapo kwa maiti ambazo hadi sasa imeshindikana kuzikwa.
Wakizungumza na waandishi wa habari jana, wahudumu hao tisa, walisema tangu Juni mwaka jana hadi sasa hawajalipwa...

 

9 years ago

BBCSwahili

Wahudumu 14 wa misaada watekwa DRC

Wafanyi kazi 14 wa mashirika ya kutoa misaada wametekwa nyara katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Wahudumu wa afya acheni ubaguzi’

WATUMISHI wa Huduma ya Afya watakaogundulika kutoa huduma za ubaguzi kwa wanachama wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) taarifa zao zitafikishwa wizarani, ili waweze kuchukuliwa hatua. Baadhi...

 

11 years ago

BBCSwahili

Wahudumu wa afya wauawa Pakistan

Watu waliojihami katika mji wa Karachi nchini Pakistan, wamewaua kwa kuwapiga risasi wahudumu 3 wa afya wakiwemo wanawake 2 waliokuwa wanatoa chanjo ya Polio.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wahudumu NIDA kushushiwa mkong’oto

IKIWA imesalia siku moja kukamilika kwa shughuli ya utoaji wa vitambulisho vya Uraia, wananchi wa Mtaa wa Mpakani Kata ya Kwembe Mbezi, jijini Dar es Salaam, wamesema watawapa mkong’oto wahudumu...

 

10 years ago

BBCSwahili

Dawa na wahudumu wa afya kupelekwa Yemen

Shirika la msalaba mwekundu linasema kuwa limepata idhini ya kupeleka misaada ya dawa na wahudumu wa afya nchini Yemen.

 

10 years ago

Vijimambo

NSSF YAWANUFAISHA YATIMA NA WAHUDUMU WA WAGONJWA MAHOSPITALINI


Mhasibu Mwandamizi wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Abdulkarim Kisuguru akizungumza wakati wa hafla ya kukabidhi misaada ya vyakula pamoja na vifaa vya shule katika Kituo cha Kulelea Watoto wanaoishi katika Mazingira Magumu cha, Darul-Arqam cha Tandika jijini Dar es salaam.Mkurugenzi wa Kituo cha Kulelea Watoto wanaoishi katika Mazingira cha Darul-Arqam cha Tandika jijini Dar es salaam akizungumza wakati hafla ya kupokea misaada kutoka NSSF.
Baadhi ya watoto wanaolelea katika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani