Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Motisha juu wahudumu wa Ebola

Marekani imeongeza motisha kwa wanaowahudumia watu walio athiriwa na virusi vya ugonjwa wa Ebola huklo Afrika Magharibi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Ebola:Wahudumu wengine washambuliwa

Wahudmu wengine wa Afya walishambuliwa nchini Guinea walipokuwa wanakusanya miili ya watu waliofariki kutokana na Ebola.

 

10 years ago

StarTV

Wahudumu 400 wanaowatibu Ebola Sierra Leone.

Zaidi ya wahudumu 400 wa afya wanaowatibu wagonjwa wa Ebola katika kliniki moja nchini Sierra Leone wamegoma.

Wahudumu hao wamiwemo wauguzi na wafanyaki wengineo wanagoma kulalamikia hatua ya serikali kukosa kuwalipa dola miamoja kila wiki kwa kuhatarisha kaisha yao wakiwashughulikia wagonjwa wa Ebola.

Kliki hiyo iliyo mjini Bandajuma karibu na eneo la Bo, ndio kliniki pekee ambako wagonjwa wa Ebola wanatibiwa Kusini mwa Sierra Leone.

Kwingineko nchini Mali, muuguzi mmoja nchini Mali pamoja...

 

10 years ago

GPL

UNADHANI WANANCHI WAMEPATA ELIMU YA KUTOSHA JUU YA UGONJWA WA EBOLA?

Flora Mvungi:
Bado jitihada zaidi zinahitajika, wengi wao wanajua juujuu tu. Serikali inabidi itoe elimu zaidi. Wakati huohuo, serikali inapaswa kuwa makini na watu wanaotoka nchi zilizoathiriwa na ugonjwa huo ili kuzuia kuuingiza nchini. Msanii wa muziki wa kizazi kipya, Herry Samir 'Blue' Herry Samir
’Mr. Blue’:Bado kabisa hakuna kitu kilichoeleweka, kuna wananchi ambao bado ujumbe haujawafikia vya… ...

 

10 years ago

Michuzi

SERIKALI YA ZANZIBAR YATOA TARIFA JUU YA UGONJWA HATARI WA EBOLA

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Mohammed Aboud Mohamed akizungumza na wanahabari Ofisini kwake Vuga kuhusu Ugonjwa wa Ebola na mikakati ambayo SMZ inaendelea kuichukuwa ili kukabiliana na ugonjwa huo hatari, hadi sasa hakuna mgonjwa alieyegundulikana na ugonjwa huo Zanzibar. NA/JAMILA ABDALLA –MAELEZO ZANZIBAR.
Serikali ya Mapinduzi Zanzibar  imeanza kuchukua hatua mbali mbali za kukabiliana na Ugonjwa hatari wa Ebola ambao unazidi kusambaa katika nchi mbali mbali Barani...

 

10 years ago

BBCSwahili

B Rodgers: Motisha wa Liverpool umeshuka

Mkufunzi wa Liverpool Brendan Rodgers amesema kuwa kikosi chake kinakabiliwa na wakati mgumu.

 

10 years ago

Habarileo

Wahadhiri Mzumbe wapewa motisha

WAHADHIRI wa Chuo Kikuu Mzumbe wametakiwa kuendelea kufanya utafiti, ushauri wa kitaalamu na kutoa machapisho mbalimbali ambayo ni muhimu kwa maendeleo ya tasnia ya elimu na taifa kwa ujumla.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Motisha kwa walimu kuongeza ufaulu

KUTOTOLEWA kwa motisha kwa walimu na wanafunzi katika shule za sekondari, ni kati ya sababu zinazosababisha shule nyingi kufanya vibaya katika matokeo ya mitihani ya taifa nchini. Mkurugenzi wa Elimu...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Motisha huongeza ari ya utendaji kazi

MWANZONI mwa mwezi huu dunia iliadhimisha Siku ya Wafanyakazi Duniani ijulikanayo kama Mei Mosi. Mara nyingi siku hii huadhimishwa kama vile walengwa ni wafanyakazi wa maofisini pekee, lakini ni siku...

 

11 years ago

Habarileo

Nyalandu ataka motisha vita ya ujangili

WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, amelitaka Baraza kuu la Wafanyakazi la Wizara, kuandaa utaratibu wa kutoa motisha kwa kila mfanyakazi kwa ajili ya kufanikisha utekelezaji wa Mpango wa Matokeo Mkubwa Sasa (BRN), katika kupambana na vita dhidi ya ujangili na kuongeza mapato yatokanayo na utalii.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani