Motisha juu wahudumu wa Ebola
Marekani imeongeza motisha kwa wanaowahudumia watu walio athiriwa na virusi vya ugonjwa wa Ebola huklo Afrika Magharibi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili24 Sep
Ebola:Wahudumu wengine washambuliwa
10 years ago
StarTV12 Nov
Wahudumu 400 wanaowatibu Ebola Sierra Leone.
Zaidi ya wahudumu 400 wa afya wanaowatibu wagonjwa wa Ebola katika kliniki moja nchini Sierra Leone wamegoma.
Wahudumu hao wamiwemo wauguzi na wafanyaki wengineo wanagoma kulalamikia hatua ya serikali kukosa kuwalipa dola miamoja kila wiki kwa kuhatarisha kaisha yao wakiwashughulikia wagonjwa wa Ebola.
Kliki hiyo iliyo mjini Bandajuma karibu na eneo la Bo, ndio kliniki pekee ambako wagonjwa wa Ebola wanatibiwa Kusini mwa Sierra Leone.
Kwingineko nchini Mali, muuguzi mmoja nchini Mali pamoja...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tBTKCkFUMvOyku9UFMWybzW-YWPuzGPPhHjm-uzbdPT8aEYwQgCXKqpgKcPtHW1r9N4i2yzzrNO4Z1P-wMxPLrDHGkbDPH1u/ELIMU.jpg)
UNADHANI WANANCHI WAMEPATA ELIMU YA KUTOSHA JUU YA UGONJWA WA EBOLA?
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-8VTu4eftr7M/U_IyL-l1caI/AAAAAAAGAjU/IkqrK3H3Dqk/s72-c/unnamed%2B(19).jpg)
SERIKALI YA ZANZIBAR YATOA TARIFA JUU YA UGONJWA HATARI WA EBOLA
![](http://2.bp.blogspot.com/-8VTu4eftr7M/U_IyL-l1caI/AAAAAAAGAjU/IkqrK3H3Dqk/s1600/unnamed%2B(19).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-oNH4q-peJ4g/U_IydIGFErI/AAAAAAAGAjc/6CvowEMPLLA/s1600/unnamed%2B(20).jpg)
Serikali ya Mapinduzi Zanzibar imeanza kuchukua hatua mbali mbali za kukabiliana na Ugonjwa hatari wa Ebola ambao unazidi kusambaa katika nchi mbali mbali Barani...
10 years ago
BBCSwahili09 Nov
B Rodgers: Motisha wa Liverpool umeshuka
10 years ago
Habarileo10 Dec
Wahadhiri Mzumbe wapewa motisha
WAHADHIRI wa Chuo Kikuu Mzumbe wametakiwa kuendelea kufanya utafiti, ushauri wa kitaalamu na kutoa machapisho mbalimbali ambayo ni muhimu kwa maendeleo ya tasnia ya elimu na taifa kwa ujumla.
11 years ago
Tanzania Daima19 Apr
Motisha kwa walimu kuongeza ufaulu
KUTOTOLEWA kwa motisha kwa walimu na wanafunzi katika shule za sekondari, ni kati ya sababu zinazosababisha shule nyingi kufanya vibaya katika matokeo ya mitihani ya taifa nchini. Mkurugenzi wa Elimu...
11 years ago
Tanzania Daima27 May
Motisha huongeza ari ya utendaji kazi
MWANZONI mwa mwezi huu dunia iliadhimisha Siku ya Wafanyakazi Duniani ijulikanayo kama Mei Mosi. Mara nyingi siku hii huadhimishwa kama vile walengwa ni wafanyakazi wa maofisini pekee, lakini ni siku...
11 years ago
Habarileo05 Apr
Nyalandu ataka motisha vita ya ujangili
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, amelitaka Baraza kuu la Wafanyakazi la Wizara, kuandaa utaratibu wa kutoa motisha kwa kila mfanyakazi kwa ajili ya kufanikisha utekelezaji wa Mpango wa Matokeo Mkubwa Sasa (BRN), katika kupambana na vita dhidi ya ujangili na kuongeza mapato yatokanayo na utalii.