NSSF YAWANUFAISHA YATIMA NA WAHUDUMU WA WAGONJWA MAHOSPITALINI
Mhasibu Mwandamizi wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Abdulkarim Kisuguru akizungumza wakati wa hafla ya kukabidhi misaada ya vyakula pamoja na vifaa vya shule katika Kituo cha Kulelea Watoto wanaoishi katika Mazingira Magumu cha, Darul-Arqam cha Tandika jijini Dar es salaam.Mkurugenzi wa Kituo cha Kulelea Watoto wanaoishi katika Mazingira cha Darul-Arqam cha Tandika jijini Dar es salaam akizungumza wakati hafla ya kupokea misaada kutoka NSSF.
Baadhi ya watoto wanaolelea katika...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziMKOA WA IDARA ZA SERIKALI NA MABALOZI WA NSSF WATOA MSAADA KWA WATOTO YATIMA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mza-*42r4qgC4cn23QTmfwxMoat-LLmCpCihTC9YInsfYyBQ6tDT-wKl76SiBIalxlg*OTnTR5aw35JkBPq70bvNUA5xrw3T/uozo.jpg?width=650)
UOZO MAHOSPITALINI: OFM YAIFUNGIA KAZI PALESTINA!
11 years ago
Tanzania Daima21 Apr
Maji yawanufaisha Ng’ang’uli
WANANCHI zaidi ya 3,000 wa Kijiji cha Ng’ang’uli, Kata ya Ulemo, wilayani Iramba, Mkoa wa Singida, wamenufaika na huduma ya maji safi na salama baada ya mradi wa maji ya...
10 years ago
BBCSwahili17 Oct
Je,elimu ya juu yawanufaisha Wahitimu?
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-gpqMlu8iZKI/U-nMayTtYOI/AAAAAAAF-1Y/GckrURjFkpQ/s72-c/unnamed+(5).jpg)
wilaya ya hai mkoani kilimanjaro yajipanga kuondoa kero za wananchi mahospitalini
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/DcfR-qU3hQw/default.jpg)
10 years ago
Dewji Blog23 Mar
NSSF CUP Jambo Leo wakimbia uwanja, Baada ya kuchapwa 3-0 na NSSF
![Wachezaji wa Jambo Leo mpira wa miguu (wenye jezi rangi nyekundu) wakitoka uwanjani mara baada ya kufungwa goli la 3 na kususia mchezo huo kwa madai uwanja umeharibika kwa kujaa maji. Mchezo huo ulivunjika katika dakika 69.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/03/IMG_0021.jpg)
Wachezaji wa Jambo Leo mpira wa miguu (wenye jezi rangi nyekundu) wakitoka uwanjani mara baada ya kufungwa goli la 3 na kususia mchezo huo kwa madai uwanja umeharibika kwa kujaa maji. Mchezo huo ulivunjika katika dakika 69.
![Wachezaji wa timu ya NSSF mpira wa miguu wakitoka uwanjani huku wakipongezana mara baada ya mwamuzi kumaliza pambano lao na timu ya Jambo Leo. NSSF walipewa ushindi wa magoli 3-0. Baada ya Timu ya Jambo Leo kukimbia uwanjani baada ya kufungwa goli la 3 katika dakika 69 ikisingizia uwanja mbaya.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/03/IMG_0043.jpg)
Wachezaji wa timu ya NSSF mpira wa miguu wakitoka uwanjani huku wakipongezana mara baada ya mwamuzi kumaliza pambano lao na timu ya Jambo Leo. NSSF walipewa ushindi wa magoli 3-0. Baada ya Timu ya Jambo Leo kukimbia uwanjani baada ya kufungwa goli la 3 katika dakika 69...
10 years ago
Michuzi22 Mar
NSSF MEDIA CUP: Jambo Leo watia mpira kwapani Baada ya kuchapwa 3-0 na NSSF
![Wachezaji wa Jambo Leo mpira wa miguu (wenye jezi rangi nyekundu) wakitoka uwanjani mara baada ya kufungwa goli la 3 na kususia mchezo huo kwa madai uwanja umeharibika kwa kujaa maji. Mchezo huo ulivunjika katika dakika 69.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/03/IMG_0021.jpg)
![Wachezaji wa timu ya NSSF mpira wa miguu wakitoka uwanjani huku wakipongezana mara baada ya mwamuzi kumaliza pambano lao na timu ya Jambo Leo. NSSF walipewa ushindi wa magoli 3-0. Baada ya Timu ya Jambo Leo kukimbia uwanjani baada ya kufungwa goli la 3 katika dakika 69 ikisingizia uwanja mbaya.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/03/IMG_0043.jpg)