‘NILIPELEKWA MUHIMBILI ILI NIINGIZWE MOCHWARI’
INAWEZEKANA wapo wagonjwa wanaopelekwa chumba cha kuhifadhia maiti (mochwari) wakiwa hai. Huenda wengine hufia humo baada ya kuzidiwa na baridi la chumba hicho sambamba na kukosa hewa. Piga picha ni wewe! Lakini kwa kijana Anina Shaban (28) mkazi wa Kijiji cha Mbugu Wilaya ya Kilombero mkoani Morogoro, yeye alibahatika, kwani aliishia kwenye lango la kuingia mochwari akidhaniwa ameshakufa. Mkazi wa Kijiji cha Mbugu Wilaya ya...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi13 Sep
Imani yangu ilinifanya niingizwe mkenge
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-1woV2DlXM1I/XqUwL4izw0I/AAAAAAAAJtw/6MyntbeTLfEXZtdFV-xmssz9EfzIDK4mgCLcBGAsYHQ/s72-c/PHOTO-2020-04-26-09-46-54.jpg)
MUHIMBILI KUFUNGA MASHINE TATU ZA KUSAFISHA DAMU HOSPITALI YA AMANA ILI KUHUDUMIA WAGONJWA WENYE MATATIZO YA FIGO WALIOAMBUKIZWA UGONJWA WA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-1woV2DlXM1I/XqUwL4izw0I/AAAAAAAAJtw/6MyntbeTLfEXZtdFV-xmssz9EfzIDK4mgCLcBGAsYHQ/s640/PHOTO-2020-04-26-09-46-54.jpg)
Mojawapo ya mashine ya kusafisha damu kwa wagonjwa wa figo iliyofungwa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Amana ambayo thamani yake ni TZS. 70 Mil.
![](https://1.bp.blogspot.com/-C9SzRQw0VPc/XqUwLzKSPZI/AAAAAAAAJts/i1i-k5MOdmwmeJrjW4vBmdnI-T-ipMihQCLcBGAsYHQ/s640/PHOTO-2020-04-26-09-46-54%2B2.jpg)
Mashine ya kusaidia mgonjwa kupumua ambayo itafungwa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Amana ambayo thamani yake ni TZS. 56 Mil.
![](https://1.bp.blogspot.com/-QVchssb9eP4/XqUwL9rYO1I/AAAAAAAAJt0/-HWZUnwo1U4yzHAn5tQipuQ4RbiMVZPEACLcBGAsYHQ/s640/PHOTO-2020-04-26-09-46-54%2B3.jpg)
Mtambo wa kuchuja maji (Portable RO System) kwenda kwenye mashine ya kusafisha damu wenye thamani ya TZS. 28 Mil uliofungwa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Amana
Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) imefunga mashine tatu za kusafisha damu...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-X634UbgI2ow/VD5EtyIg6RI/AAAAAAAGqk0/-cGDN7ph7XY/s72-c/ABG%2B1.jpg)
AFRICAN BARRICK YASAINI MKATABA WA KUENDELEZA NA KUBORESHA CHUO CHA MUHIMBILI ILI KUBORESHA TAALUMA YA UDAKTARI
Ushirikiano huu utawezesha wanafunzi wa idara hiyo kupata nafasi za kwenda kufanya masomo kwa vitendo yani (field practise) kwenye ofisi na migodi ya kampuni ya ABG, pia pesa hizo zitatumika kwenye kukarabati majendo na utoaji wa vifaa...
10 years ago
Mtanzania27 Jan
Wahudumu mochwari wagoma
Na Samwel Mwanga, Simiyu
WAHUDUMU wanaofanya kazi katika chumba cha kuhifadhia maiti katika Hospitali ya Wilaya ya Bariadi mkoani Simiyu, wamegoma kuzika miili ya watu iliyoharibika na isiyotambuliwa kwa madai kuwa hawajalipwa mishahara yao kwa kipindi cha miezi sita.
Tarifa ya kugoma kwa wahudumu hao imekuja baada ya kuwapo kwa maiti ambazo hadi sasa imeshindikana kuzikwa.
Wakizungumza na waandishi wa habari jana, wahudumu hao tisa, walisema tangu Juni mwaka jana hadi sasa hawajalipwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/qB*eEYpVu7MnQvWqCC0DrGdoA4ecUxTk8qX4RVaALL5BEVnmMUKd8oNXvZwehkk3ulAaqfm4-X3h*iQDrwVJruJgDUdxRebD/Omary.jpg)
AINGIZWA MOCHWARI AKIDHANIWA AMEKUFA
11 years ago
Mwananchi26 Jun
Waliovunja ‘mochwari’ sita wapata dhamana
11 years ago
Mwananchi17 Jun
Wavunja mochwari kutaka kuona maiti
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/9677Xpk6OnXJnk6vsCmKMKpdps3sz*HtLEx94aWYkyduzmuOS1Mbt9l9I*PBoDTLIuoENqYffg3kaDjBhn9gmp40utxxdOyp/maiti.jpg)
MAITI YA MBONGO YAWEKWA MOCHWARI CHINI MIEZI 8
10 years ago
Mwananchi08 Oct
Maiti yakaa mochwari siku 34, kisa mgogoro wa wazazi