Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘NILIPELEKWA MUHIMBILI ILI NIINGIZWE MOCHWARI’

INAWEZEKANA wapo wagonjwa wanaopelekwa chumba cha kuhifadhia maiti (mochwari) wakiwa hai. Huenda wengine hufia humo baada ya kuzidiwa na baridi la chumba hicho sambamba na kukosa hewa. Piga picha ni wewe! Lakini kwa kijana Anina Shaban (28) mkazi wa Kijiji cha Mbugu Wilaya ya Kilombero mkoani Morogoro, yeye alibahatika, kwani aliishia kwenye lango la kuingia mochwari akidhaniwa ameshakufa. Mkazi wa Kijiji cha Mbugu Wilaya ya...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Imani yangu ilinifanya niingizwe mkenge

Jumamosi iliyopita tulikuwa na makala ya mwanasiasa mkongwe, Martha Wejja akieleza hali ya maisha yake kwa sasa licha ya kuwa miongoni mwa watu waliojitolea kulitumikia taifa.

 

5 years ago

Michuzi

MUHIMBILI KUFUNGA MASHINE TATU ZA KUSAFISHA DAMU HOSPITALI YA AMANA ILI KUHUDUMIA WAGONJWA WENYE MATATIZO YA FIGO WALIOAMBUKIZWA UGONJWA WA CORONA


Mojawapo ya mashine ya kusafisha damu kwa wagonjwa wa figo iliyofungwa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Amana ambayo thamani yake ni TZS. 70 Mil.

Mashine ya kusaidia mgonjwa kupumua ambayo itafungwa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Amana ambayo thamani yake ni TZS. 56 Mil.

Mtambo wa kuchuja maji (Portable RO System) kwenda kwenye mashine ya kusafisha damu wenye thamani ya TZS. 28 Mil uliofungwa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Amana


Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) imefunga mashine tatu za kusafisha damu...

 

10 years ago

Michuzi

AFRICAN BARRICK YASAINI MKATABA WA KUENDELEZA NA KUBORESHA CHUO CHA MUHIMBILI ILI KUBORESHA TAALUMA YA UDAKTARI

Kampuni ya African Barrick Gold (ABG) imesaini mkataba wa miaka miwili (MoU) na Chuo Kikuu cha Afya cha Muhimbili (MUHAS) idara ya Mazingira na Afya bora kazini(Environmental and Occupational Health Sciences) ili kuboresha taluma za madaktari.
Ushirikiano huu utawezesha wanafunzi wa idara hiyo kupata nafasi za kwenda kufanya masomo kwa vitendo yani (field practise) kwenye ofisi na migodi ya kampuni ya ABG, pia pesa hizo zitatumika kwenye kukarabati majendo na utoaji wa vifaa...

 

10 years ago

Mtanzania

Wahudumu mochwari wagoma

jokofuuuuuuuuuuNa Samwel Mwanga, Simiyu
WAHUDUMU wanaofanya kazi katika chumba cha kuhifadhia maiti katika Hospitali ya Wilaya ya Bariadi mkoani Simiyu, wamegoma kuzika miili ya watu iliyoharibika na isiyotambuliwa kwa madai kuwa hawajalipwa mishahara yao kwa kipindi cha miezi sita.
Tarifa ya kugoma kwa wahudumu hao imekuja baada ya kuwapo kwa maiti ambazo hadi sasa imeshindikana kuzikwa.
Wakizungumza na waandishi wa habari jana, wahudumu hao tisa, walisema tangu Juni mwaka jana hadi sasa hawajalipwa...

 

10 years ago

GPL

AINGIZWA MOCHWARI AKIDHANIWA AMEKUFA

Na Imelda Mtema Kijana mmoja, Omary Ramadhani, 28,  (pichani) mkazi wa Sinza Madukani, Dar  amenusurika kifo baada ya  kupata  ajali ya kugongwa na ‘Break Down’ alipokuwa akiendesha Bajaj katika makutano ya Barabara ya Sam Nujoma na Ali Hassan Mwinyi, Mwenge,  jijini Dar es Salaam. Kijana Omary Ramadhani anayedaiwa kuingizwa mochwari akidhaniwa amekufa. Akizungumza kwa masikitiko, Omary alisema kuwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Waliovunja ‘mochwari’ sita wapata dhamana

Watu sita kati ya 12 wanaotuhumiwa kwa uchochezi na kuvunja chumba cha kuhifadhia maiti katika Kituo cha Afya Kaigara wilayani hapa, jana wamepata dhamana baada ya kutimiza masharti ya mahakama.

 

11 years ago

Mwananchi

Wavunja mochwari kutaka kuona maiti

Polisi wamelazimika kutumia mabomu ya machozi kutawanya baadhi ya wanakijiji wa Bukono, Kata ya Muleba, mkoani Kagera ambao walivunja mlango wa chumba cha kuhifadhi maiti Kituo cha Afya Kaigara, wakitaka kuchukua maiti ya mtoto aliyefariki dunia mkoani Arusha alikokuwa akifanya kazi za ndani.

 

11 years ago

GPL

MAITI YA MBONGO YAWEKWA MOCHWARI CHINI MIEZI 8

Na Waandishi Wetu
VILIO, majonzi vilitawala katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) Agosti 7, mwaka huu kufuatia kuwasili kwa mwili wa mwanafunzi wa kidato cha nne, Habiba Yusuph Ally (24) aliyefariki dunia kwa kubakwa nchini China miezi nane iliyopita. Mwili wa Habiba Yusuph Ally (24) ukiwa katika jeneza eneo la uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA). Tukio hilo linaweka historia ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Maiti yakaa mochwari siku 34, kisa mgogoro wa wazazi

 Mgogoro mwingine mkubwa wa kifamilia wa kugombea maiti, umeibuka mjini Moshi na kusababisha mwili wa Rosemary Marandu (38), kuhifadhiwa mochwari kwa siku 34.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani