Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Imani yangu ilinifanya niingizwe mkenge

Jumamosi iliyopita tulikuwa na makala ya mwanasiasa mkongwe, Martha Wejja akieleza hali ya maisha yake kwa sasa licha ya kuwa miongoni mwa watu waliojitolea kulitumikia taifa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

‘NILIPELEKWA MUHIMBILI ILI NIINGIZWE MOCHWARI’

INAWEZEKANA wapo wagonjwa wanaopelekwa chumba cha kuhifadhia maiti (mochwari) wakiwa hai. Huenda wengine hufia humo baada ya kuzidiwa na baridi la chumba hicho sambamba na kukosa hewa. Piga picha ni wewe! Lakini kwa kijana Anina Shaban (28) mkazi wa Kijiji cha Mbugu Wilaya ya Kilombero mkoani Morogoro, yeye alibahatika, kwani aliishia kwenye lango la kuingia mochwari akidhaniwa ameshakufa. Mkazi wa Kijiji cha Mbugu Wilaya ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Waziri Magufuli aingizwa mkenge

Waziri wa Ujenzi, Dk John Magufuli ameagiza kusimamishwa kazi kwa aliyekuwa kigogo wa Kituo cha Kimataifa cha Mikutano Arusha (AICC) ambaye hafanyi kazi tena kituoni hapo.

 

9 years ago

Global Publishers

Wema amuingiza mkenge Diamond

wema_sepetu991 Staa wa Bongo, Wema Sepetu.

MAPYA tena! Baada ya hivi karibuni staa wa Bongo, Wema Sepetu kuuvaa msala wa kudaiwa kutumia maji na umeme kwa wizi, madai mazito yameibuka kuwa, wizi huo ulikuwa ukifanyika tangu alipokuwa na nyota wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’, Ijumaa ‘Kubwa’ linatambaa nao.

DIAMOND (3)Nyota wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’.

Kwa mujibu wa chanzo makini ambacho kipo karibu na Diamond, baada ya Wema kubanwa na wafanyakazi wa Tanesco na Dawasa akidaiwa kutumia huduma hizo...

 

11 years ago

GPL

WEMA, AUNT WAMWINGIZA MKENGE JB

IMEKULA kwake! Wauza nyago kwenye sinema za Kibongo, Wema Isaac Sepetu na Aunt Ezekiel Grayson wamemuingiza mkenge staa mwenzao, kaka mkubwa Jacob Steven ‘JB’ baada kukubali mwaliko kisha kumkatalia dakika za mwisho. Staa wa sinema za Kibongo, Wema Isaac Sepetu. Habari za ndani zilidadavua kwamba JB na wasanii hao walitakiwa kusafiri kwenda nchini Uturuki kwa ajili ya kujifunza utamaduni wa huko ambapo walipelekwa...

 

9 years ago

Bongo5

Mwana FA: Sijawahi kukaa na baba yangu maisha yangu yote (Video)

12292738_1516860355279681_1179389451_n

Pengine hukuwa unalijua hili. Mwana FA hajawahi kuishi na baba yake katika maisha yake yote.

FA ametuambia hilo baada ya kumuuliza tofauti ya malezi aliyoyapata kutoka kwa baba yake na yale anayompa mwanae wa kike, Malikah.

“Mimi sijawahi kukaa na baba yangu maisha yangu yote,” anasema.

“Nimekuwa naruka ruka sana, mara nakaa kwa shangazi yangu, mara nakaa kwa babu yangu, kwa bibi yangu ndiyo kwetu ilikuwa, kwa shangazi yangu mwingine hivyo,” ameongeza.

“Experience niliyokuwa naiona ni kwa...

 

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

Bongo Movies

‘Imani Haba’ Ndani ya Mfungo

Haya ndugu zangu, tupo kwenye mfungo mwezi mtukufu. Na ndugu yetu, mdogo wetu, kaka yetu Mangi kutoka Ndorobo Entertainment Vocha katuandalia, film yenye maudhui ya kuulenga mwezi, iliyo jaa mafunzo mazuri. Film hii inatoka tarehe 5/July. Pata nakala yako ili upata kujifunza yale ambayo huyafahau kutokana na dini. Haijalishi kuwa ni muislam tu, La hasha. Dini zote, tunaomba support zenu July, 5 .

Didas Entertainment on Instagram
 

 

11 years ago

Mtanzania

Zitto: Sina imani na Ukawa

Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe

Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe

GABRIEL MUSHI NA VERONICA ROMWALD

MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe (Chadema), kwa mara ya kwanza ameibuka na kupingana na harakati za Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA).

Zitto amesema hana uhakika wala hauamini Ukawa kama utakuwa umoja endelevu hadi kufikia Uchaguzi Mkuu mwaka 2015, kwa sababu si mara ya kwanza vyama vya upinzani kuungana na kugawanyika.
Mbali ya kutokuwa na imani na umoja huo, pia ameitaka Serikali kusitisha mchakato wa Katiba...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mizani ya Imani ya kikatoliki duniani

Viongozi wa kanisa katoliki duniani wanakutana kujadili mbinu za kuboresha mafunzo kuhusu maswala ya ndoa, familia kwa waumini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani