Imani yangu ilinifanya niingizwe mkenge
Jumamosi iliyopita tulikuwa na makala ya mwanasiasa mkongwe, Martha Wejja akieleza hali ya maisha yake kwa sasa licha ya kuwa miongoni mwa watu waliojitolea kulitumikia taifa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL‘NILIPELEKWA MUHIMBILI ILI NIINGIZWE MOCHWARI’
10 years ago
Mwananchi06 Mar
Waziri Magufuli aingizwa mkenge
9 years ago
Global Publishers18 Dec
Wema amuingiza mkenge Diamond
Staa wa Bongo, Wema Sepetu.
MAPYA tena! Baada ya hivi karibuni staa wa Bongo, Wema Sepetu kuuvaa msala wa kudaiwa kutumia maji na umeme kwa wizi, madai mazito yameibuka kuwa, wizi huo ulikuwa ukifanyika tangu alipokuwa na nyota wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’, Ijumaa ‘Kubwa’ linatambaa nao.
Nyota wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’.
Kwa mujibu wa chanzo makini ambacho kipo karibu na Diamond, baada ya Wema kubanwa na wafanyakazi wa Tanesco na Dawasa akidaiwa kutumia huduma hizo...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Q7T2q86GkzWpSvXMSjRb2Xrxl9VIL9IOQrMJyaeijXx6wjqsPjTwlAqMZVH-GSO5QUQybmt0vuU1*D*7n-OHEZA262pF*pej/jb.jpg)
WEMA, AUNT WAMWINGIZA MKENGE JB
9 years ago
Bongo529 Dec
Mwana FA: Sijawahi kukaa na baba yangu maisha yangu yote (Video)
![12292738_1516860355279681_1179389451_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/12292738_1516860355279681_1179389451_n-300x194.jpg)
Pengine hukuwa unalijua hili. Mwana FA hajawahi kuishi na baba yake katika maisha yake yote.
FA ametuambia hilo baada ya kumuuliza tofauti ya malezi aliyoyapata kutoka kwa baba yake na yale anayompa mwanae wa kike, Malikah.
“Mimi sijawahi kukaa na baba yangu maisha yangu yote,” anasema.
“Nimekuwa naruka ruka sana, mara nakaa kwa shangazi yangu, mara nakaa kwa babu yangu, kwa bibi yangu ndiyo kwetu ilikuwa, kwa shangazi yangu mwingine hivyo,” ameongeza.
“Experience niliyokuwa naiona ni kwa...
10 years ago
Vijimambo02 Dec
10 years ago
Bongo Movies01 Jul
‘Imani Haba’ Ndani ya Mfungo
Haya ndugu zangu, tupo kwenye mfungo mwezi mtukufu. Na ndugu yetu, mdogo wetu, kaka yetu Mangi kutoka Ndorobo Entertainment Vocha katuandalia, film yenye maudhui ya kuulenga mwezi, iliyo jaa mafunzo mazuri. Film hii inatoka tarehe 5/July. Pata nakala yako ili upata kujifunza yale ambayo huyafahau kutokana na dini. Haijalishi kuwa ni muislam tu, La hasha. Dini zote, tunaomba support zenu July, 5 .
Didas Entertainment on Instagram
11 years ago
Mtanzania30 Jul
Zitto: Sina imani na Ukawa
![Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Zitto-Kabwe.jpg)
Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe
GABRIEL MUSHI NA VERONICA ROMWALD
MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe (Chadema), kwa mara ya kwanza ameibuka na kupingana na harakati za Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA).
Zitto amesema hana uhakika wala hauamini Ukawa kama utakuwa umoja endelevu hadi kufikia Uchaguzi Mkuu mwaka 2015, kwa sababu si mara ya kwanza vyama vya upinzani kuungana na kugawanyika.
Mbali ya kutokuwa na imani na umoja huo, pia ameitaka Serikali kusitisha mchakato wa Katiba...
10 years ago
BBCSwahili08 Oct
Mizani ya Imani ya kikatoliki duniani