Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mizani ya Imani ya kikatoliki duniani

Viongozi wa kanisa katoliki duniani wanakutana kujadili mbinu za kuboresha mafunzo kuhusu maswala ya ndoa, familia kwa waumini.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Dkt MUSA MDEDE apata Baraka za kuwa mbunge wa jimbo la kalenga kutoka kwa vijana wa kikatoliki wa jimbo hilo

 Dkt  MUSA LEONARDMDEDE akitoa neno katika kongamano la vijana wa Katoliki Vijana kikatoliki lililofanyika katika kijiji cha Ulete mkoani Iringa.Sehemu  ya vijana wakimsikiza mdede katika kongamano hilo. Baadhi ya viongozi wa vijana hao wakiwa makini kumsikiliza  Dkt. Mdede. Kwa habari kamili na picha zaidi.
BOFYA HAPA

 

11 years ago

BBCSwahili

Mustakabali wa misri kwenye mizani

Wananchi wa Misri wanapigia kura katiba mpya. Kuidhinishwa kwa rasimu ya katiba kutaweka wazi nafasi ya kuandaa uchaguzi mkuu

 

10 years ago

Habarileo

Rushwa yatimua 400 mizani

WAZIRI wa Ujenzi Dk John Magufuli WAZIRI wa Ujenzi Dk John Magufuli amevitaka vyombo vya dola kuingilia kati suala la rushwa kwenye vituo vya mizani za kupimia uzito wa magari yanayosafirisha mizigo, akisema rushwa hiyo imekithiri.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Aomba mizani kwa wakulima

MBUNGE wa Mbogwe, Augustino Masele (CCM), ameishauri Serikali kuwapatia mizani wakulima ili wasinyonywe na wafanyabiashara ambao wamekuwa wakitumia mizani yao. Masele, alitoa kauli hiyo jana bungeni mjini hapa wakati akiuliza...

 

5 years ago

Michuzi

WAATUMISHI MIZANI WAASWA KUJIEPUSHA NA RUSHWA


 Muonekano wa barabara ya Sumbawanga- Matai- Kasanga Port (Km 117), kwa kiwango cha lami. Barabara hii imefikia asilimia 94.6 na inatarajiwa kukamilika mwezi Juni mwaka huu.Muonekano wa mizani ya Matai, mkoani Rukwa. Utekelezaji wa ujenzi wa mizani hii umefikia asilimia 99.PICHA NA WUUM
Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Ujenzi),...

 

10 years ago

StarTV

Idara ya Forodha yakabiliwa na ukosefu wa mizani.

Na Amina Saidi, Mbeya.

Idara ya Forodha na Ushuru katika mpaka wa Tanzania na Malawi uliopo wilayani Kyela mkoani Mbeya inakabiliwa na tatizo la ukosefu wa mizani kwa ajili ya kupimia mizigo inayovushwa katika mpaka huo.

 

Kutokana na tatizo hilo baadhi ya mizigo inayovushwa mpakani hapo haitozwi ushuru halisi kulingana na uzito iliyonayo na hivyo kuitia serikali hasara kwa kukusanya mapato madogo.

 

Katika mpaka wa Tanzania na Malawi ambao unajulikana kwa jina la Kasumulu, mpaka huu una...

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

Kiama cha wafanyakazi wa mizani chaja



 Watendaji TANROAD, madereva wa malori wawekwa kikaangoni
MOHAMMED ISSA NA 
MWAMVUA MWINYI
SERIKALI imesema itaingia mkataba maalumu na wafanyakazi wa mizani ya Vigwaza, Kibaha mkoani Pwani kwa lengo la kuwadhibiti ili wasiuchakachue na kupitisha magari yaliyozidisha mizigo.
Pia imewaonya baadhi ya watendaji wa Wakala wa Barabara Tanzania (TANROAD), wanaojihusisha na vitendo vya rushwa, kuacha mara moja vinginevyo watachukuliwa hatua kali za kisheria.
Mbali na hilo, imewatangazia kiama madereva...

 

9 years ago

Mwananchi

Wanaochezea mizani, vipimo nchini kukiona

Wakala wa Vipimo nchini (WMA) imewaonya wafanyabiashara nchini  wanaokata mawe ya kupimia uzito kwenye mizani, waache tabia hiyo mara moja kwa kuwa hatua za kisheria zinachukuliwa dhidi yao.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Magufuli: Mfumo mpya waja mizani

WAZIRI wa Ujenzi Dk. John Magufuli, amezitaka sekta za usafirishaji nchini kujiandaa na mfumo wa kisasa wa upimaji katika mizani ya magari inayojengwa Vigwaza Mkoa wa Pwani kwa ajili ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani