Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanaochezea mizani, vipimo nchini kukiona

Wakala wa Vipimo nchini (WMA) imewaonya wafanyabiashara nchini  wanaokata mawe ya kupimia uzito kwenye mizani, waache tabia hiyo mara moja kwa kuwa hatua za kisheria zinachukuliwa dhidi yao.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

WAKALA WA VIPIMO MKOA WA ILALA WAMEWAAGIZA WAFANYABIASHARA KUHAKIKI MIZANI YAO

 Mfanyabiashara mkazi wa Malapa Aisha Ally akifanya maalipo baada ya mizani yake kuhakikiwa na Afisa Vipimo Clement Costantino. Mkazi wa Buguruni Victor Kelei akihakiki mizani yake eneo la ofisi ya Kata ya Buguruni Mtaa wa malapa.Mafundi wakitengeneza au kurekebisha mizani yenye hitilafu Kata ya Buguruni Mtaa wa malapa.
WAKALA wa Vipimo mkoa wa Ilala  umewataka wafanyabiashara wanaoagiza ama kuuza mizani mipya kuhakikisha mizani hiyo imehakikiwa na Wakala wa Vipimo kwa mujibu wa sheria.
Wito...

 

5 years ago

Michuzi

WAKALA WA VIPIMO TUPO SEHEMU ZOTE, KUHAKIKISHA VIPIMO VINATUMIKA KWA USAHIHI-STELLA

 Na Bakari Madjeshi, Michuzi TVKATIKA kuadhimisha Siku ya Vipimo Duniani, Mkurugenzi wa Wakala wa Vipimo nchini (WMA), Stella Kahwa amesema kuwa Wakala huo upo sehemu zote hapa nchini kuhakikisha Vipimo katika Malighafi na bidhaa mbalimbali vinatumika na kuzingatiwa kwa usahihi.
Stella ameyasema hayo leo, May 20, 2020 jijini Dar es Salaam katika Maadhimisho hayo yenye Kaulimbiu ya Vipimo katika Biashara ya Kimataifa. “Tanzania ni nchi ambayo inafanya Biashara kubwa nchi mbalimbali, vipimo...

 

9 years ago

Mwananchi

Usimamizi mbovu katika vipimo unawagharimu wakulima nchini

Usimamizi mbovu wa kuhakikisha vipimo sahihi  vinavyotumika katika biashara ndiyo unasababisha wakulima kupata hasara baada ya kulanguliwa mazao yao na wafanyabiashara wasio waaminifu kabla ya  baada ya mavuno.

 

11 years ago

Habarileo

Wakala wa Vipimo watahadharisha vipimo bandia

WAKALA wa Vipimo Tanzania (WMA) umewataka watumiaji wa vipimo batili kuacha kutumia vipimo hivyo kwani vinadimimiza uchumi wa Watanzania na taifa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mizani ya Imani ya kikatoliki duniani

Viongozi wa kanisa katoliki duniani wanakutana kujadili mbinu za kuboresha mafunzo kuhusu maswala ya ndoa, familia kwa waumini.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mustakabali wa misri kwenye mizani

Wananchi wa Misri wanapigia kura katiba mpya. Kuidhinishwa kwa rasimu ya katiba kutaweka wazi nafasi ya kuandaa uchaguzi mkuu

 

10 years ago

Tanzania Daima

Aomba mizani kwa wakulima

MBUNGE wa Mbogwe, Augustino Masele (CCM), ameishauri Serikali kuwapatia mizani wakulima ili wasinyonywe na wafanyabiashara ambao wamekuwa wakitumia mizani yao. Masele, alitoa kauli hiyo jana bungeni mjini hapa wakati akiuliza...

 

10 years ago

Habarileo

Rushwa yatimua 400 mizani

WAZIRI wa Ujenzi Dk John Magufuli WAZIRI wa Ujenzi Dk John Magufuli amevitaka vyombo vya dola kuingilia kati suala la rushwa kwenye vituo vya mizani za kupimia uzito wa magari yanayosafirisha mizigo, akisema rushwa hiyo imekithiri.

 

5 years ago

Michuzi

WAATUMISHI MIZANI WAASWA KUJIEPUSHA NA RUSHWA


 Muonekano wa barabara ya Sumbawanga- Matai- Kasanga Port (Km 117), kwa kiwango cha lami. Barabara hii imefikia asilimia 94.6 na inatarajiwa kukamilika mwezi Juni mwaka huu.Muonekano wa mizani ya Matai, mkoani Rukwa. Utekelezaji wa ujenzi wa mizani hii umefikia asilimia 99.PICHA NA WUUM
Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Ujenzi),...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani