Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Usimamizi mbovu katika vipimo unawagharimu wakulima nchini

Usimamizi mbovu wa kuhakikisha vipimo sahihi  vinavyotumika katika biashara ndiyo unasababisha wakulima kupata hasara baada ya kulanguliwa mazao yao na wafanyabiashara wasio waaminifu kabla ya  baada ya mavuno.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Usimamizi mbovu misitu wakosesha bil. 6/-

SERIKALI inapoteza zaidi ya sh bilioni 6 ya mapato kwa mwaka zitokanazo na mazao ya rasilimali ya misitu kutokana na mirabaha midogo na usimamizi mbovu wa leseni za uvunaji. Kaimu...

 

11 years ago

GPL

WAKULIMA DODOMA, WASIFU UFANISI WA MAMLAKA YA USIMAMIZI WA BANDARI TANZANIA (TPA) KATIKA KUWEZESHA USAFIRISHAJI WA MAZAO NA UAGIZAJI WA PEMBEJEO ZA KILIMO.

Mwenyekiti wa ALAT Mkoa wa Dodoma na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa, Bw.  Hamis Abdallah Mwenda (kushoto) akipata maelezo katika Banda la TPA lililopo viwanja vya Nane nane Nzuguni, Dodoma kutoka kwa Afisa Mawasiliano, Bw. Focus Mauki (kulia). Katikati ni Afisa Mkuu wa TPA, Bi. Lydia Mallya. Afisa Mawasiliano, Bw. Focus Mauki (wa pili kushoto) akifafanua jambo kwa Mwenyekiti wa ALAT Mkoa wa Dodoma na...

 

10 years ago

StarTV

Uchaguzi Serikali za Mitaa, CCM Mwanza chalalamikia usimamizi mbovu.

Na Maliganya Charahani, Mwanza.ALIGANYA

 

 

Chama cha Mapinduzi CCM Mkoa wa Mwanza kimelalamikia utaratibu mbovu wa wasimamizi wa zoezi la uchaguzi wa Serikali za mitaa kuchangia baadhi ya wananchi kushindwa kupiga kura na wengine kukosa majina yao katika daftari la kumbukumbu.

Dosari kubwa zinatajwa na CCM kujitokeza katika wilaya za Sengerema na Kwimba kubwa likielezwa ni kuchelewa kufika kwa vifaa vya kupigia kura.

Mbali na lawama hizo za CCM, nacho Chama cha Demokrasia na Maendeleo...

 

11 years ago

Michuzi

Wakulima Dodoma wasifu Ufanisi wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA)

Mwenyekiti wa ALAT Mkoa wa Dodoma na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa, Bw. Hamis Abdallah Mwenda (kushoto) akipata maelezo katika Banda la TPA lililopo viwanja vya nanenane Nzuguni, Dodoma kutoka kwa Afisa Mawasiliano, Bw. Focus Mauki (kulia). Katikati ni Afisa Mkuu wa TPA, Bi. Lydia Mallya.Mwenyekiti wa ALAT Mkoa wa Dodoma na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa, Bw. Hamis Abdallah Mwenda (kushoto) akisaini kitabu cha wageni wakati alipotembelea Banda la TPA lililopo...

 

5 years ago

Michuzi

KUSAYA AAGIZA WAKALA WA MBEGU ZA KILIMO ASA KUSOGEZA HUDUMA KATIKA MAENEO YA WAKULIMA NCHINI


Na Bashiri Salum,Morogoro.


Wakala wa Mbegu za Kilimo ASA wametakiwa kuanzisha maduka ya mbegu katika maeneo walipo wakulima ili kuwapunguzia gharama ya kuzifuta Morogoro mjini.

Akizungumza na watumishi leo alipotembelea taasisi hiyo Katibu Mkuu Kilimo Bw. Gerald Kusaya amesema ASA ni Taasisi pekee ya mbegu nchini hivyo inatakiwa kuwafika wakulima wote nchini.

Huduma ya mbegu bora inatakiwa na kilia mkulima hivyo ni lazima ASA wafikirie namna ya kushusha huduma zao chini kwa wakulima...

 

5 years ago

Michuzi

WAKALA WA VIPIMO TUPO SEHEMU ZOTE, KUHAKIKISHA VIPIMO VINATUMIKA KWA USAHIHI-STELLA

 Na Bakari Madjeshi, Michuzi TVKATIKA kuadhimisha Siku ya Vipimo Duniani, Mkurugenzi wa Wakala wa Vipimo nchini (WMA), Stella Kahwa amesema kuwa Wakala huo upo sehemu zote hapa nchini kuhakikisha Vipimo katika Malighafi na bidhaa mbalimbali vinatumika na kuzingatiwa kwa usahihi.
Stella ameyasema hayo leo, May 20, 2020 jijini Dar es Salaam katika Maadhimisho hayo yenye Kaulimbiu ya Vipimo katika Biashara ya Kimataifa. “Tanzania ni nchi ambayo inafanya Biashara kubwa nchi mbalimbali, vipimo...

 

9 years ago

Mwananchi

Wanaochezea mizani, vipimo nchini kukiona

Wakala wa Vipimo nchini (WMA) imewaonya wafanyabiashara nchini  wanaokata mawe ya kupimia uzito kwenye mizani, waache tabia hiyo mara moja kwa kuwa hatua za kisheria zinachukuliwa dhidi yao.

 

11 years ago

Habarileo

Wakala wa Vipimo watahadharisha vipimo bandia

WAKALA wa Vipimo Tanzania (WMA) umewataka watumiaji wa vipimo batili kuacha kutumia vipimo hivyo kwani vinadimimiza uchumi wa Watanzania na taifa.

 

10 years ago

Mwananchi

ONGEZEKO LA VIPIMO MAABARA KATIKA HOSPITALI.

Dar es Salaam. Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Rashid Seif amesema serikali kupitia wizara yake itahakikisha kuwa inaijengea uwezo Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali ili iweze kufanya uchunguzu wa vipimo mbalimbali vya Vinasaba (DNA) vya binadamu kwa ufanisi zaidi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani