ONGEZEKO LA VIPIMO MAABARA KATIKA HOSPITALI.
Dar es Salaam. Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Rashid Seif amesema serikali kupitia wizara yake itahakikisha kuwa inaijengea uwezo Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali ili iweze kufanya uchunguzu wa vipimo mbalimbali vya Vinasaba (DNA) vya binadamu kwa ufanisi zaidi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV27 Nov
 Mratibu Maabara Korogwe kukamatwa  kwa Jaribio La Kuiba Vipimo Vya Malaria
Mkuu wa Wilaya ya Korogwe mkoani Tanga Hafsa Mtasiwa ameagiza kukamatwa kwa mratibu wa maabara wa halmashauri ya mji huo kwa madai ya kufanya jaribio la wizi wa vipimo vya kupimia ugonjwa wa Malaria MRDT.
Basondole anatuhumiwa kuchukua boksi la vifaa hivyo kutoka halmashauri ya wilaya ya Korogwe vijijini akidai Halmashauri ya Mji wa Korogwe anakofanya kazi kuna upungufu wa vifaa hivyo.
Ofisa wa dawa wa halmashauri ya wilaya ya Korogwe Issa Mkwawa amesema tukili lilo limetokea Novemba 11 na...
10 years ago
Habarileo03 Jan
Ongezeko la wajawazito laelemea hospitali wilaya ya Mpwapwa
ONGEZEKO la wajawazito wanaotumia hospitali ya wilaya ya Mpwapwa kumefanya wodi ya wanaosubiri kujifungua kuwa na msongamano kutokana na udogo wake.
10 years ago
VijimamboHospitali ya Aga Khan yatoa vipimo vya bure kwa wabunge Dodoma
10 years ago
GPLHOSPITALI YA AGA KHAN YATOA VIPIMO VYA BURE KWA WABUNGE DODOMA
5 years ago
MichuziHOSPITALI YA WILAYA MWANGA YAPEWA WIKI MBILI KUJA NA MKAKATI WA UPATIKANAJI WA VIPIMO MUHIMU VYA AFYA
5 years ago
MichuziWAKALA WA VIPIMO TUPO SEHEMU ZOTE, KUHAKIKISHA VIPIMO VINATUMIKA KWA USAHIHI-STELLA
Stella ameyasema hayo leo, May 20, 2020 jijini Dar es Salaam katika Maadhimisho hayo yenye Kaulimbiu ya Vipimo katika Biashara ya Kimataifa. “Tanzania ni nchi ambayo inafanya Biashara kubwa nchi mbalimbali, vipimo...
11 years ago
Habarileo09 Apr
Wakala wa Vipimo watahadharisha vipimo bandia
WAKALA wa Vipimo Tanzania (WMA) umewataka watumiaji wa vipimo batili kuacha kutumia vipimo hivyo kwani vinadimimiza uchumi wa Watanzania na taifa.
10 years ago
Dewji Blog02 Dec
Kinana alipokagua maabara yenye ubora wa nyota mbili hospitali ya rufaa Mtwara
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akitembelea maabara yenye ubora wa nyota 2 katika Hospitali ya Mkoa ya Rufaa ya Mtwara juzi.PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG.
Kinana akiendelea kupata maelezo kuhusu mashine zinazopima magonwa mbalimbali katika hospitali hiyo ya Mtwara.
Kifaa cha maabara chenye uwezo wa kupima Kifua Kikuu sugu.Kinana akiakagua stoo ya kuhifadhia dawa mbalimbali katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mtwara juzi.
9 years ago
Mwananchi03 Dec
Usimamizi mbovu katika vipimo unawagharimu wakulima nchini