AINGIZWA MOCHWARI AKIDHANIWA AMEKUFA
![](http://api.ning.com:80/files/qB*eEYpVu7MnQvWqCC0DrGdoA4ecUxTk8qX4RVaALL5BEVnmMUKd8oNXvZwehkk3ulAaqfm4-X3h*iQDrwVJruJgDUdxRebD/Omary.jpg)
Na Imelda Mtema Kijana mmoja, Omary Ramadhani, 28, (pichani) mkazi wa Sinza Madukani, Dar amenusurika kifo baada ya kupata ajali ya kugongwa na ‘Break Down’ alipokuwa akiendesha Bajaj katika makutano ya Barabara ya Sam Nujoma na Ali Hassan Mwinyi, Mwenge, jijini Dar es Salaam. Kijana Omary Ramadhani anayedaiwa kuingizwa mochwari akidhaniwa amekufa. Akizungumza kwa masikitiko, Omary alisema kuwa...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/gX09JerEUx3Z0Wl23bhZN0g8ZjJiGRipZe3X*fgmubHDS4CClxkNwe110Bp5Kg-fH2lUB-3lcilp6kdc5k26mZBN-rb3Zl61/9.jpg?width=650)
ANUSURIKA KUUAWA AKIDHANIWA NI MCHAWI
9 years ago
BBCSwahili02 Jan
Afungiwa Twitter akidhaniwa kuwa mkuu wa IS
10 years ago
Tanzania Daima07 Nov
Dk. Mwakyembe aingizwa ‘chaka’
WAZIRI wa Uchukuzi Dk. Harrison Mwakyembe amedaiwa kuingizwa mkenge na kuzindua mabehewa mapya 25 ya kubebea kokoto huku 21 yakisemekana kuwa chini ya kiwango. TRL ilipokea mabehewa 25 mapya ya...
10 years ago
Bongo Movies13 Apr
Snura Aingizwa Mjini
Staa alieanzia Bongo Movie na kuingia kwenye Bongo Fleva Snura Mushi ‘Mama wa Majanga’ simu yake ya mkononi imetekwa na wajanja wa mjini kwa kuswap na simu anazopigiwa yeye kwenda kwa mtu mwingine ambaye hata hamjui wala hana mahusiano naye na hajui alitumia njia gani kuiteka hajui.
“Hata sielewi mtu huyu kafanyeje hadi namba yangu kuitumia yeye, na mbaya zaidi ni pale ambapo kilaanapobahatisha namba ya rafiki yangu huomba atumiwe pesa nahisi lengo lake kuu ilikuwa ni kujipatia pesa kwa...
10 years ago
Mwananchi06 Mar
Waziri Magufuli aingizwa mkenge
10 years ago
Mtanzania27 Jan
Wahudumu mochwari wagoma
Na Samwel Mwanga, Simiyu
WAHUDUMU wanaofanya kazi katika chumba cha kuhifadhia maiti katika Hospitali ya Wilaya ya Bariadi mkoani Simiyu, wamegoma kuzika miili ya watu iliyoharibika na isiyotambuliwa kwa madai kuwa hawajalipwa mishahara yao kwa kipindi cha miezi sita.
Tarifa ya kugoma kwa wahudumu hao imekuja baada ya kuwapo kwa maiti ambazo hadi sasa imeshindikana kuzikwa.
Wakizungumza na waandishi wa habari jana, wahudumu hao tisa, walisema tangu Juni mwaka jana hadi sasa hawajalipwa...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-8Y9EOrIBHa4/VcDk7WHRijI/AAAAAAABtgY/kGHo62r7QkU/s72-c/IMG-20150801-WA0041.jpg)
MISS KILIMANJARO AMBASSADOR 2015 YOLANDA SHAYO AINGIZWA MITINI NA MUANDAJI
![](http://4.bp.blogspot.com/-8Y9EOrIBHa4/VcDk7WHRijI/AAAAAAABtgY/kGHo62r7QkU/s640/IMG-20150801-WA0041.jpg)
ILIKUAJE:Wakati wa kutangaza matokeo ya ushindi siku ya fainali za mashindano hayo usiku wa julai...
11 years ago
Mwananchi17 Jun
Wavunja mochwari kutaka kuona maiti
11 years ago
Mwananchi26 Jun
Waliovunja ‘mochwari’ sita wapata dhamana