Snura Aingizwa Mjini
Staa alieanzia Bongo Movie na kuingia kwenye Bongo Fleva Snura Mushi ‘Mama wa Majanga’ simu yake ya mkononi imetekwa na wajanja wa mjini kwa kuswap na simu anazopigiwa yeye kwenda kwa mtu mwingine ambaye hata hamjui wala hana mahusiano naye na hajui alitumia njia gani kuiteka hajui.
“Hata sielewi mtu huyu kafanyeje hadi namba yangu kuitumia yeye, na mbaya zaidi ni pale ambapo kilaanapobahatisha namba ya rafiki yangu huomba atumiwe pesa nahisi lengo lake kuu ilikuwa ni kujipatia pesa kwa...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima07 Nov
Dk. Mwakyembe aingizwa ‘chaka’
WAZIRI wa Uchukuzi Dk. Harrison Mwakyembe amedaiwa kuingizwa mkenge na kuzindua mabehewa mapya 25 ya kubebea kokoto huku 21 yakisemekana kuwa chini ya kiwango. TRL ilipokea mabehewa 25 mapya ya...
10 years ago
Mwananchi06 Mar
Waziri Magufuli aingizwa mkenge
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/qB*eEYpVu7MnQvWqCC0DrGdoA4ecUxTk8qX4RVaALL5BEVnmMUKd8oNXvZwehkk3ulAaqfm4-X3h*iQDrwVJruJgDUdxRebD/Omary.jpg)
AINGIZWA MOCHWARI AKIDHANIWA AMEKUFA
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-8Y9EOrIBHa4/VcDk7WHRijI/AAAAAAABtgY/kGHo62r7QkU/s72-c/IMG-20150801-WA0041.jpg)
MISS KILIMANJARO AMBASSADOR 2015 YOLANDA SHAYO AINGIZWA MITINI NA MUANDAJI
![](http://4.bp.blogspot.com/-8Y9EOrIBHa4/VcDk7WHRijI/AAAAAAABtgY/kGHo62r7QkU/s640/IMG-20150801-WA0041.jpg)
ILIKUAJE:Wakati wa kutangaza matokeo ya ushindi siku ya fainali za mashindano hayo usiku wa julai...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jF4-qtz-5QdRHhKxeimUZcp5Z*21CoF4Xn7p2gyAVtRyz4X4hUexITG8Zar*YXUq0dkAnnXeuN8oNhVjT5FP6qlk8S79Mv9*/snura.jpg?width=650)
SNURA TUHUMA NZITO
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/P2Q6K2rcr9EOTIDBtECxJwCl17hIG0JiUZlEGqiO7UFRZopN2Q5L0QIPvn5ZQCRDyvd149CKKm49Kh3m0kVh*sDZzxiv1y0k/snura.jpg?width=650)
SNURA AANDAMWA NA MAJANGA
10 years ago
Bongo Movies08 May
Matapeli Wamlostisha Snura
Staa wa Bongo Movies na Bongo Fleva, Snura Mushi ‘Mama wa Majanga’ amefunguka kwa kusema kuwa mtu aliyeteka namba yake ya simu na kuitumia akiomba fedha na kuitumia kama ni yeye amemfanye apate matatizo na usumbufu usio na manufaa zaidi ya kumkera katika shughuli zake.
“Aliyenifanyia ujinga wa kuharibu namba yangu ya simu na kuanza kuitumia yeye kama mimi si siri amenitia umaskini kwa wakati ule kwani baadhi ya wateja wa kazi zangu walikuwa wakitumia kwa mawasiliano na mimi, lakini...
10 years ago
Bongo501 Sep
New Music: Snura — Jidabue
10 years ago
Bongo Movies04 Jul
Snura:Sitaki Unafiki
MWIGIZAJI wa filamu na mwanamuziki wa muziki wa kizazi kipya Snura Mushi ‘Mama wa Majanga’ amesema kuwa anakerwa sana na unafiki unaofanywa na baadhi ya wasanii kwa kushirikiana na wapenzi wa kazi zao kwa kufanya kampeni za kuangushana katika medani za kimataifa.
“Naepukana na unafiki tena naweza kusema roho mbaya chuki kwa baadhi ya wasanii kuunda makundi ambayo yantumia muda mwingi kuwadisi wengine, mfano hivi sasa wakati Diamond anagombea Tuzo kimataifa eti kuna watu wanaungana na watu...