Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SNURA AANDAMWA NA MAJANGA

BAADA ya hivi karibuni kufungiwa video ya wimbo wake, staa wa muziki na filamu Bongo, Snura Mushi amesema ameendelea kuandamwa na majanga ambapo hivi karibuni alipata msiba wa babu yake huku mdogo wake akipata ajali. Akizungumza kwa huzuni, Snura alisema mwaka huu umekuwa wa majanga kwake kwani babu yake huyo alimlea na kushika nafasi ya baba yake tangu alipozaliwa hadi kufikia utu uzima. “Ukweli nimeumia sana na mwaka huu...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Snura apeleka ‘Majanga’ Tarime

snura234

Na Mwandishi wetu

Mwanamuziki mahiri Tanzania na Afrika Mashariki katika mtindo wa mduara, Snura Mushi (pichani), anatarajiwa kutumbuiza kwenye Viwanja Vya Nyamongo, Rorya, onyesho ambalo linatarajiwa kuwa la aina yake.

Akizungumza kutoka Tarime, Mkurugenzi wa Taasisi ya Nyumbani Kwanza Media Group, Mossy Magere alisema msanii huyo atafanya onyesho baada ya maandamano ya Jumapili ya kupinga ukatili wa kijinsia.

Snura alivuma zaidi na kibao chake cha Majanga anatarajiwa kuwasili Rorya leo...

 

11 years ago

GPL

SNURA: 2014 MAJANGA KWANGU

Stori: Hamida Hassan
STAA wa majanga, Snura Mushi ameuanza mwaka 2014 vibaya kutokana na maradhi ya presha yanayomsumbua mara kwa mara. Snura Mushi. Akipiga stori na Ijumaa Wikienda, Snura alisema kuwa hajui ni kitu gani kinamsumbua lakini kila akienda kupima anaambiwa ni presha imepanda na vidonda vya tumbo. “Nimekuwa nikiumwa mara kwa mara na nikishikwa ni lazima niwekewe drip kwani naishiwa nguvu nakosa raha pia,...

 

11 years ago

GPL

GLOBAL TV ONLINE: MTU KATI NA SNURA MUSHI 'MAMAA MAJANGA' - PART II

Mwangalie na kumsikiliza msanii mahiri anayefanya vizuri katika muziki nchini Tanzania, Snura Mushi 'Mamaa Majanga' alipolonga na Global TV Online kupitia kipindi chake pendwa cha Mtu Kati. Ungana…

 

11 years ago

GPL

SNURA 'MAMAA MAJANGA' NA KUNDI LAKE WAKIFANYA MOMBO DAR LIVE USIKU HUU

Snura Mushi na kundi lake wakifanya makamuzi katika usiku wa mwaka mpya 2014 ndani ya Dar Live.…

 

10 years ago

GPL

MEL GIBSON AANDAMWA KUTOKA NA KIBINTI

Muongozaji maarufu wa filamu Marekani,Mel Gibson. Dallas, Marekani
MUONGOZAJI maarufu wa filamu Marekani,Mel Gibson ambaye aliwahi kutamba na filamu kama Passion of the Christ na Apocalypto, hivi karibuni ameandamwa na vyombo vya habari kwa kashfa ya kujihusisha kimapenzi na msichana wa miaka 24 ambaye ni sawa na mjukuu kwake. Rosalind Ross. Mel (59) anatoka na msichana huyo aliyetajwa kwa jina la Rosalind Ross… ...

 

11 years ago

GPL

SNURA AMBWATUKIA SHILOLE

Na Brighton Masalu
MAMA wa majanga, Snura Antony Mushi kwa mara ya kwanza amejitokeza hadharani na kuzungumzia kauli ya  msanii mwenzake wa muziki wa mduara, Zuwena Yusuf Mohamed ‘Shilole’ juu yake kuwa ameisha kimuziki ndiyo maana ameamua kukimbilia muziki wa Taarab. Zuwena Yusuf Mohamed ‘Shilole. Akizungumza na mwandishi wetu hivi karibuni, Snura ambaye anawika mitaani kwa ngoma kali kama Majanga na...

 

10 years ago

Bongo Movies

Snura:Sitaki Unafiki

MWIGIZAJI wa filamu na mwanamuziki wa muziki wa kizazi kipya Snura Mushi ‘Mama wa Majanga’ amesema kuwa anakerwa sana na unafiki unaofanywa na baadhi ya wasanii kwa kushirikiana na wapenzi wa kazi zao kwa kufanya kampeni za kuangushana katika medani za kimataifa.

“Naepukana na unafiki tena naweza kusema roho mbaya chuki kwa baadhi ya wasanii kuunda makundi ambayo yantumia muda mwingi kuwadisi wengine, mfano hivi sasa wakati Diamond anagombea Tuzo kimataifa eti kuna watu wanaungana na watu...

 

10 years ago

Bongo Movies

Matapeli Wamlostisha Snura

Staa wa Bongo Movies na Bongo Fleva, Snura Mushi ‘Mama wa Majanga’ amefunguka kwa kusema kuwa mtu aliyeteka namba yake ya simu na kuitumia akiomba fedha na kuitumia kama ni yeye amemfanye apate matatizo na usumbufu usio na manufaa zaidi ya kumkera katika shughuli zake.

“Aliyenifanyia ujinga wa kuharibu namba yangu ya simu na kuanza kuitumia yeye kama mimi si siri amenitia umaskini kwa wakati ule kwani baadhi ya wateja wa kazi zangu walikuwa wakitumia kwa mawasiliano na mimi, lakini...

 

10 years ago

CloudsFM

SNURA KURUDI UPYA

Msanii wa Bongo Fleva na mwigizaji wa Bongo Movie,Snura Mushi(Snu Sex) baada ya kuachia ngoma yake ya pili ya ‘’Ushaharibu’’na kukaa kimya kwa muda mrefu ametangaza kurudi upya mwezi wa pili mwaka huu.Kwa mujibu wa meneja wa msanii huyo,HK alisema kuwa Snura ataachia projects zake mwezi wa pili mwaka huu, baada ya kutoonekana kwenye majukwaa kwa karibu miezi sita.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani