Snura apeleka ‘Majanga’ Tarime
Na Mwandishi wetu
Mwanamuziki mahiri Tanzania na Afrika Mashariki katika mtindo wa mduara, Snura Mushi (pichani), anatarajiwa kutumbuiza kwenye Viwanja Vya Nyamongo, Rorya, onyesho ambalo linatarajiwa kuwa la aina yake.
Akizungumza kutoka Tarime, Mkurugenzi wa Taasisi ya Nyumbani Kwanza Media Group, Mossy Magere alisema msanii huyo atafanya onyesho baada ya maandamano ya Jumapili ya kupinga ukatili wa kijinsia.
Snura alivuma zaidi na kibao chake cha Majanga anatarajiwa kuwasili Rorya leo...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/P2Q6K2rcr9EOTIDBtECxJwCl17hIG0JiUZlEGqiO7UFRZopN2Q5L0QIPvn5ZQCRDyvd149CKKm49Kh3m0kVh*sDZzxiv1y0k/snura.jpg?width=650)
SNURA AANDAMWA NA MAJANGA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eiC0hTlxr2ISsDccxAbIEkhgATfdmTGZ5RwTJm0C9HU0CDvZm--wIgR2uppcXT6Z5ZekIWfgLB8jUCk2h7-LTtOGfEm3IqB3/snura.jpg?width=650)
SNURA: 2014 MAJANGA KWANGU
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/-nMzymXXjMJ5CgPscjZefT8*-zlHFPmOe0OYFfD3wfJsKO0tX*us3lF0HR5yLa975rQcdOFkilFJ7gYpsJ7hWocXQOmJDVA7/somazaidi.gif)
GLOBAL TV ONLINE: MTU KATI NA SNURA MUSHI 'MAMAA MAJANGA' - PART II
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/FqkiRUfegCiBW2SUEHmxHD2vow4jLNhtcTxW2bxjfDQCUUtRvlUDk-omUFRV5yTGQWUQ*HMnT-WA*P2iYWRYmVRDy0nf4wF3/snura1.jpg?width=650)
SNURA 'MAMAA MAJANGA' NA KUNDI LAKE WAKIFANYA MOMBO DAR LIVE USIKU HUU
11 years ago
Tanzania Daima08 Mar
Magigita apeleka tuzo sokoni
MKURUGENZI wa Equality For Growth (Efg), Jane Magigita, ambaye alipata tuzo ya heshima ya Dk. Martin Luther hivi karibuni inayotolewa na Ubalozi wa Marekani, ameipeleka tuzo hiyo kwa wanawake wanaofanya...
10 years ago
Mwananchi08 Mar
Mo arejea kiaina, apeleka neema
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BybgAqvu3OkFU-1s0oOHVAURnACytp3rftrHi*5yBuzt-4ru7oVDcIzlbYe4Wk1L3Rv7YPklTT6XOe1xgyTZejWDe2xcGIse/diamond.jpg?width=750)
DIAMOND APELEKA TUZO ZA CHANNEL O KWA JK
10 years ago
Habarileo05 Sep
Shahidi apeleka simu 102 mahakamani
MAHAKAMA ya Wilaya ya Ilala imepokea simu 102 kutoka kwa shahidi wa nne katika kesi ya wizi wa simu inayowakabili wafanyakazi sita wa Kampuni ya kupakia na kupakua mizigo ya Swissport, kama kielelezo cha mashitaka kwa washitakiwa.
10 years ago
BBCSwahili09 Mar
Kim Jong-Un apeleka poda jeshini