Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mo arejea kiaina, apeleka neema

Mdau mkubwa wa Simba na ambaye amewahi kuwa mdhamini wa klabu hiyo miaka ya nyuma, Mohamed Dewji ‘Mo’ yupo kwenye mpango wa kurudi na kuidhamini klabu hiyo na tayari ametuma picha za jezi mpya za Simba kwenye mtandao wa kijamii wa Instagram.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Ngassa arejea Yanga kiaina

Mshambuliaji Mrisho Ngassa aliyesajiliwa na klabu ya Free State Stars ya Afrika Kusini hivi karibuni, jana aliibuka katika mazoezi ya timu yake ya zamani Yanga.

 

11 years ago

Habarileo

Shibuda ajitoa Chadema kiaina

MBUNGE wa Maswa Magharibi, John Shibuda (Chadema), amesema hatagombea ubunge kupitia Chadema katika Uchaguzi Mkuu ujao, kwa kuwa amechoshwa na kauli za vitisho na kejeli dhidi yake, zinazotolewa na baadhi ya viongozi wa juu wa chama hicho.

 

9 years ago

Habarileo

Mabondia kuukaribisha mwaka kiaina

MABONDIA Selemani Galile ‘Selemani Toll’ na Zumba Kukwe wanatarajia kupanda ulingoni Januari 2, 2016 katika mpambano wa kufungua mwaka katika Ukumbi wa Friends Corner Manzese jijini Dar es Salaam.

 

10 years ago

Tanzania Daima

UKAWA waisifu mahakama kiaina

SIKU moja baaada ya Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam kushindwa kutoa uamuzi kuhusu aina na ukubwa wa mabadiliko ambayo Bunge Maalumu linaweza kufanya, kundi la Umoja wa Katiba...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Tambaza: Msikubali kumalizana kiaina

UONGOZI wa Kampuni ya Tambaza Auction Mart umesema una mkataba wa kufanya kazi Manispaa ya Ilala jijini Dar es Salaam na kuwataka wananchi kuheshimu sheria na kutokukubali kumalizana vichochoroni wanapokamatwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Mbatia ajipigia kampeni ‘kiaina’

 Ikiwa imebaki siku moja Chama cha NCCR-Mageuzi kufanya uchaguzi mkuu, Mwenyekiti wake, James Mbatia amewataka wanachama kuchagua viongozi wenye maarifa na uzoefu, huku akieleza sifa nne anazotakiwa kuwa nazo mgombea.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Magigita apeleka tuzo sokoni

MKURUGENZI wa Equality For Growth (Efg), Jane Magigita, ambaye alipata tuzo ya heshima ya Dk. Martin Luther hivi karibuni inayotolewa na Ubalozi wa Marekani, ameipeleka tuzo hiyo kwa wanawake wanaofanya...

 

10 years ago

Dewji Blog

Snura apeleka ‘Majanga’ Tarime

snura234

Na Mwandishi wetu

Mwanamuziki mahiri Tanzania na Afrika Mashariki katika mtindo wa mduara, Snura Mushi (pichani), anatarajiwa kutumbuiza kwenye Viwanja Vya Nyamongo, Rorya, onyesho ambalo linatarajiwa kuwa la aina yake.

Akizungumza kutoka Tarime, Mkurugenzi wa Taasisi ya Nyumbani Kwanza Media Group, Mossy Magere alisema msanii huyo atafanya onyesho baada ya maandamano ya Jumapili ya kupinga ukatili wa kijinsia.

Snura alivuma zaidi na kibao chake cha Majanga anatarajiwa kuwasili Rorya leo...

 

9 years ago

Mwananchi

Mgosi azipotezea Yanga, Azam FC kiaina

Mshambuliaji na nahodha wa Simba, Mussa Hassan ‘Mgosi’ amewataka wachezaji wenzake kujituma zaidi ili wapate matokeo mazuri yanayoweza kuwapa ubingwa badala ya kufuatilia matokeo ya timu nyingine, hasa Yanga na Azam.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani