Mo arejea kiaina, apeleka neema
Mdau mkubwa wa Simba na ambaye amewahi kuwa mdhamini wa klabu hiyo miaka ya nyuma, Mohamed Dewji ‘Mo’ yupo kwenye mpango wa kurudi na kuidhamini klabu hiyo na tayari ametuma picha za jezi mpya za Simba kwenye mtandao wa kijamii wa Instagram.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi23 Jun
Ngassa arejea Yanga kiaina
11 years ago
Habarileo11 Aug
Shibuda ajitoa Chadema kiaina
MBUNGE wa Maswa Magharibi, John Shibuda (Chadema), amesema hatagombea ubunge kupitia Chadema katika Uchaguzi Mkuu ujao, kwa kuwa amechoshwa na kauli za vitisho na kejeli dhidi yake, zinazotolewa na baadhi ya viongozi wa juu wa chama hicho.
9 years ago
Habarileo30 Dec
Mabondia kuukaribisha mwaka kiaina
MABONDIA Selemani Galile ‘Selemani Toll’ na Zumba Kukwe wanatarajia kupanda ulingoni Januari 2, 2016 katika mpambano wa kufungua mwaka katika Ukumbi wa Friends Corner Manzese jijini Dar es Salaam.
10 years ago
Tanzania Daima27 Sep
UKAWA waisifu mahakama kiaina
SIKU moja baaada ya Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam kushindwa kutoa uamuzi kuhusu aina na ukubwa wa mabadiliko ambayo Bunge Maalumu linaweza kufanya, kundi la Umoja wa Katiba...
10 years ago
Tanzania Daima10 Nov
Tambaza: Msikubali kumalizana kiaina
UONGOZI wa Kampuni ya Tambaza Auction Mart umesema una mkataba wa kufanya kazi Manispaa ya Ilala jijini Dar es Salaam na kuwataka wananchi kuheshimu sheria na kutokukubali kumalizana vichochoroni wanapokamatwa...
11 years ago
Mwananchi17 Jan
Mbatia ajipigia kampeni ‘kiaina’
11 years ago
Tanzania Daima08 Mar
Magigita apeleka tuzo sokoni
MKURUGENZI wa Equality For Growth (Efg), Jane Magigita, ambaye alipata tuzo ya heshima ya Dk. Martin Luther hivi karibuni inayotolewa na Ubalozi wa Marekani, ameipeleka tuzo hiyo kwa wanawake wanaofanya...
10 years ago
Dewji Blog23 Aug
Snura apeleka ‘Majanga’ Tarime
Na Mwandishi wetu
Mwanamuziki mahiri Tanzania na Afrika Mashariki katika mtindo wa mduara, Snura Mushi (pichani), anatarajiwa kutumbuiza kwenye Viwanja Vya Nyamongo, Rorya, onyesho ambalo linatarajiwa kuwa la aina yake.
Akizungumza kutoka Tarime, Mkurugenzi wa Taasisi ya Nyumbani Kwanza Media Group, Mossy Magere alisema msanii huyo atafanya onyesho baada ya maandamano ya Jumapili ya kupinga ukatili wa kijinsia.
Snura alivuma zaidi na kibao chake cha Majanga anatarajiwa kuwasili Rorya leo...
9 years ago
Mwananchi01 Nov
Mgosi azipotezea Yanga, Azam FC kiaina