Mbatia ajipigia kampeni ‘kiaina’
 Ikiwa imebaki siku moja Chama cha NCCR-Mageuzi kufanya uchaguzi mkuu, Mwenyekiti wake, James Mbatia amewataka wanachama kuchagua viongozi wenye maarifa na uzoefu, huku akieleza sifa nne anazotakiwa kuwa nazo mgombea.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi03 Sep
Sitta akana kutumia #Bunge la Katiba kusaka Urais 2015, ajipigia debe kiaina[VIDEO]
Wakati joto la Urais mwakani likizidi kuongezeka nchini, Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Samwel Sitta ameweka wazi kuwa hana nia ya kuwania Urais kwa kutumia kigezo cha kuongoza Bunge hilo maalum.
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-CgBw3AGWJ2o/VdVaX8l0M7I/AAAAAAAAT7k/PQ8ptsH6FNo/s72-c/IMG_0816%2B%25281280x720%2529.jpg)
MBATIA AKABIDHI ZAWADI KWA BINGWA WA MASHINDANO YA JIMBO LA VUNJO (MBATIA CUP 2015).
![](http://3.bp.blogspot.com/-CgBw3AGWJ2o/VdVaX8l0M7I/AAAAAAAAT7k/PQ8ptsH6FNo/s640/IMG_0816%2B%25281280x720%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-TfKmuYNxpmw/VdValf1Bs2I/AAAAAAAAT8M/BByzGmKW3AY/s640/IMG_0842%2B%25281280x720%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-GFoSDTsCJmY/VdVZ7IERXWI/AAAAAAAAT68/vIzgRzkq-dE/s640/DSCF6404%2B%25281280x960%2529.jpg)
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-_SwZKoirThk/VdVZhKruFhI/AAAAAAAAT6I/tBWATQmd01E/s72-c/DSCF6343%2B%25281280x960%2529.jpg)
JAMES MBATIA AKABIDHI ZAWADI KWA BINGWA WA MASHINDANO YA JIMBO LA VUNJO (MBATIA CUP 2015).
![](http://2.bp.blogspot.com/-_SwZKoirThk/VdVZhKruFhI/AAAAAAAAT6I/tBWATQmd01E/s640/DSCF6343%2B%25281280x960%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-CgBw3AGWJ2o/VdVaX8l0M7I/AAAAAAAAT7k/PQ8ptsH6FNo/s640/IMG_0816%2B%25281280x720%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-4UTPNLc7f-Y/VdVZmE_D0UI/AAAAAAAAT6U/mqqiwScWo_o/s640/DSCF6374%2B%25281280x960%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-TFc5q7qTeHc/VdVZuS0ZmlI/AAAAAAAAT6k/e74hJOBeR8s/s640/DSCF6379%2B%25281280x960%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-TfKmuYNxpmw/VdValf1Bs2I/AAAAAAAAT8M/BByzGmKW3AY/s640/IMG_0842%2B%25281280x720%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-hLUbjgVCmRA/VdVaq8XDMRI/AAAAAAAAT8U/aFOYVcs-Hio/s640/IMG_0852%2B%25281280x720%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-8iQWnrivWT8/VdVaw2zwduI/AAAAAAAAT8c/LhKu7yKZrL8/s640/IMG_0853%2B%25281280x720%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-oZXeMivqCNc/VdVaz5UB8JI/AAAAAAAAT8k/Naf5C1dKNok/s640/IMG_0863%2B%25281280x720%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-6uZiRsozMWk/VdVa6gZIzaI/AAAAAAAAT8s/zPaDaoo0BOQ/s640/IMG_0864%2B%25281280x720%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ysQsvTt85lw/VdVa7alpFoI/AAAAAAAAT8w/Kgldu5YjEAs/s640/IMG_0869%2B%25281280x720%2529.jpg)
11 years ago
Mwananchi27 Dec
Makamba ajipigia debe la urais
Katika kile kinachoonekana kama kujipigia debe katika kinyang’anyiro cha urais katika Uchaguzi Mkuu wa 2015, Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba amewaambia viongozi wa dini Kanda ya Ziwa kwamba vijana wanapofika kuomba ridhaa yao, muwaangalie, msiwabeze.
10 years ago
Mwananchi08 May
Wasira ajipigia mstari mbio za urais
>Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Stephen Wasira amesema kama chama chake, CCM, kitampa fursa ya kuwania wadhifa wa urais, atasimama kwenye mstari wa uadilifu na ufanisi ili kulinda heshima ya cheo hicho.
11 years ago
BBCSwahili28 Jan
Bilawal Bhutto ajipigia debe Pakistan
Mwana wa kiume wa aliyekuwa waziri mkuu wa Pakistan Benazir Butto amesema ataliangamiza kundi la Taliban nchini Pakistan.
10 years ago
Mwananchi23 Jun
Ngassa arejea Yanga kiaina
Mshambuliaji Mrisho Ngassa aliyesajiliwa na klabu ya Free State Stars ya Afrika Kusini hivi karibuni, jana aliibuka katika mazoezi ya timu yake ya zamani Yanga.
10 years ago
Mwananchi08 Mar
Mo arejea kiaina, apeleka neema
Mdau mkubwa wa Simba na ambaye amewahi kuwa mdhamini wa klabu hiyo miaka ya nyuma, Mohamed Dewji ‘Mo’ yupo kwenye mpango wa kurudi na kuidhamini klabu hiyo na tayari ametuma picha za jezi mpya za Simba kwenye mtandao wa kijamii wa Instagram.
10 years ago
Tanzania Daima27 Sep
UKAWA waisifu mahakama kiaina
SIKU moja baaada ya Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam kushindwa kutoa uamuzi kuhusu aina na ukubwa wa mabadiliko ambayo Bunge Maalumu linaweza kufanya, kundi la Umoja wa Katiba...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania