Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bilawal Bhutto ajipigia debe Pakistan

Mwana wa kiume wa aliyekuwa waziri mkuu wa Pakistan Benazir Butto amesema ataliangamiza kundi la Taliban nchini Pakistan.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Makamba ajipigia debe la urais

Katika kile kinachoonekana kama kujipigia debe katika kinyang’anyiro cha urais katika Uchaguzi Mkuu wa 2015, Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba amewaambia viongozi wa dini Kanda ya Ziwa kwamba vijana wanapofika kuomba ridhaa yao, muwaangalie, msiwabeze.

 

10 years ago

Mwananchi

Sitta akana kutumia #Bunge la Katiba kusaka Urais 2015, ajipigia debe kiaina[VIDEO]

Wakati joto la Urais mwakani likizidi kuongezeka nchini, Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Samwel Sitta ameweka wazi kuwa hana nia ya kuwania Urais kwa kutumia kigezo cha kuongoza Bunge hilo maalum.

 

9 years ago

StarTV

Ukosefu Soko La Vitunguu Swaumu lasababisha Debe mbili kuthamanishwa kwa debe moja

Ukosefu wa soko la uhakika la Vitunguu Swaumu umesababisha wakulima wa zao hilo kuingia hasara baada ya wanunuzi kuwataka wauze debe mbili kwa malipo ya debe moja.

Wakulima wa Vitunguu Swaumu katika eneo la Ilula wilayani Kilolo mkoani Iringa wamesema changamoto hiyo inawakwamisha kutokana na kilimo hicho kutokuwa mkombozi kwao.

Vitunguu swaumu ni jamii ya vitunguu ambayo  ilianza kutumika duniani kwa zaidi ya miaka 100 iliyopita,  na nchi za awali kabisa kulitumia  zao hili zinatajwa kuwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Mbatia ajipigia kampeni ‘kiaina’

 Ikiwa imebaki siku moja Chama cha NCCR-Mageuzi kufanya uchaguzi mkuu, Mwenyekiti wake, James Mbatia amewataka wanachama kuchagua viongozi wenye maarifa na uzoefu, huku akieleza sifa nne anazotakiwa kuwa nazo mgombea.

 

10 years ago

Mwananchi

Wasira ajipigia mstari mbio za urais

>Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Stephen Wasira amesema kama chama chake, CCM, kitampa fursa ya kuwania wadhifa wa urais, atasimama kwenye mstari wa uadilifu na ufanisi ili kulinda heshima ya cheo hicho.

 

11 years ago

GPL

SNURA AMPIGIA DEBE DIAMIOND

Stori: Na Gladness Mallya MSANII wa muziki na filamu Bongo, Snura Mushi amefunguka kwamba tuzo saba za Kilimanjaro alizopata msanii mwenzake, Nasibu Abdul alistahili kuzipata kwani anajituma. Msanii wa muziki na filamu Bongo, Snura Mushi, 'Mama Majanga'. Akichonga na gazeti hili, Snura alisema Diamond ni mwanamuziki anayejituma sana pia ni mbunifu na juhudi zake ndizo zimemfanya ashinde tuzo zote hizo.… ...

 

9 years ago

Mtanzania

Magufuli ampigia debe Mrema

MTZ IJUMAA new1.indd*Asema akishindwa atamtafutia kazi nyingine

 

NA BAKARI KIMWANGA, VUNJO

MGOMBEA urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, amesema kama wananchi wa Jimbo la Vunjo mkoani Kilimanjaro hawataki kukichagua chama hicho katika nafasi ya ubunge, ni bora wamchague mgombea wa Chama cha Tanzania Labour (TLP), Augustine Mrema.

Dk. Magufuli, alitoa kauli hiyo jana, wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika mji mdogo wa Himo.

Alisema pamoja na kutaka Mrema achaguliwe, anahitaji zaidi...

 

10 years ago

Mwananchi

DC ampigia debe la urais Wasira

Mkuu wa Wilaya ya Mbeya, Nyerembe Sabi, amempigia debe Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Stephen Wasira, pale alipoeleza kuwa yeye siyo waziri na mbunge tu, bali ni mtarajiwa.

 

10 years ago

Mwananchi

Katiba pendekezwa yapigiwa ‘debe’

Mratibu wa Umoja wa Wanawake Wanasiasa Tanzania (Ulingo), Dk Ave Maria Semakafu amesema harakati za wanawake nchini za kutaka haki zao zitambuliwe kwenye Katiba zitafanikiwa iwapo Katiba Inayopendekezwa itapitishwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani