Bilawal Bhutto ajipigia debe Pakistan
Mwana wa kiume wa aliyekuwa waziri mkuu wa Pakistan Benazir Butto amesema ataliangamiza kundi la Taliban nchini Pakistan.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi27 Dec
Makamba ajipigia debe la urais
10 years ago
Mwananchi03 Sep
Sitta akana kutumia #Bunge la Katiba kusaka Urais 2015, ajipigia debe kiaina[VIDEO]
9 years ago
StarTV17 Nov
Ukosefu Soko La Vitunguu Swaumu lasababisha Debe mbili kuthamanishwa kwa debe moja
Ukosefu wa soko la uhakika la Vitunguu Swaumu umesababisha wakulima wa zao hilo kuingia hasara baada ya wanunuzi kuwataka wauze debe mbili kwa malipo ya debe moja.
Wakulima wa Vitunguu Swaumu katika eneo la Ilula wilayani Kilolo mkoani Iringa wamesema changamoto hiyo inawakwamisha kutokana na kilimo hicho kutokuwa mkombozi kwao.
Vitunguu swaumu ni jamii ya vitunguu ambayo ilianza kutumika duniani kwa zaidi ya miaka 100 iliyopita, na nchi za awali kabisa kulitumia zao hili zinatajwa kuwa...
11 years ago
Mwananchi17 Jan
Mbatia ajipigia kampeni ‘kiaina’
10 years ago
Mwananchi08 May
Wasira ajipigia mstari mbio za urais
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OsG-NixX39fbvdtLSMPtMQAXEf7QkwVjK2pahH5g1WH-fkEBX51kjylC60IwLRIMPVPzAbRwMkk6LUSHRvHYYSV1akDhOpij/snura.jpg?width=650)
SNURA AMPIGIA DEBE DIAMIOND
9 years ago
Mtanzania09 Oct
Magufuli ampigia debe Mrema
*Asema akishindwa atamtafutia kazi nyingine
NA BAKARI KIMWANGA, VUNJO
MGOMBEA urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, amesema kama wananchi wa Jimbo la Vunjo mkoani Kilimanjaro hawataki kukichagua chama hicho katika nafasi ya ubunge, ni bora wamchague mgombea wa Chama cha Tanzania Labour (TLP), Augustine Mrema.
Dk. Magufuli, alitoa kauli hiyo jana, wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika mji mdogo wa Himo.
Alisema pamoja na kutaka Mrema achaguliwe, anahitaji zaidi...
10 years ago
Mwananchi07 Apr
DC ampigia debe la urais Wasira
10 years ago
Mwananchi20 Dec
Katiba pendekezwa yapigiwa ‘debe’