Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UKAWA waisifu mahakama kiaina

SIKU moja baaada ya Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam kushindwa kutoa uamuzi kuhusu aina na ukubwa wa mabadiliko ambayo Bunge Maalumu linaweza kufanya, kundi la Umoja wa Katiba...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

CHADEMA Blog

Polisi na Mahakama Kilwa watesa wafuasi wa UKAWA

VIJANA watano wafuasi wa UKAWA wilayani Kilwa kwa wiki tatu sasa wanasota mahabusu kwa sababu ya kunyimwa dhamana kutokana na tuhuma za kufanya kosa la uporaji kwa kutumia silaha. Vijana hao ni Rifati Mnakatu (Katibu Chadema Kata ya Mitole), Ali Matumla (Mwenyekiti CDM Kata ya Mitole), Fadhili Mbopo (CDM), Chande Hemedi Nyayo (CUF) na Omari Mkonda (CUF).Wengine walioshikiliwa ni Hassani Ukurwa

 

11 years ago

Habarileo

Shibuda ajitoa Chadema kiaina

MBUNGE wa Maswa Magharibi, John Shibuda (Chadema), amesema hatagombea ubunge kupitia Chadema katika Uchaguzi Mkuu ujao, kwa kuwa amechoshwa na kauli za vitisho na kejeli dhidi yake, zinazotolewa na baadhi ya viongozi wa juu wa chama hicho.

 

9 years ago

Habarileo

Mabondia kuukaribisha mwaka kiaina

MABONDIA Selemani Galile ‘Selemani Toll’ na Zumba Kukwe wanatarajia kupanda ulingoni Januari 2, 2016 katika mpambano wa kufungua mwaka katika Ukumbi wa Friends Corner Manzese jijini Dar es Salaam.

 

10 years ago

Mwananchi

Mo arejea kiaina, apeleka neema

Mdau mkubwa wa Simba na ambaye amewahi kuwa mdhamini wa klabu hiyo miaka ya nyuma, Mohamed Dewji ‘Mo’ yupo kwenye mpango wa kurudi na kuidhamini klabu hiyo na tayari ametuma picha za jezi mpya za Simba kwenye mtandao wa kijamii wa Instagram.

 

11 years ago

Mwananchi

Mbatia ajipigia kampeni ‘kiaina’

 Ikiwa imebaki siku moja Chama cha NCCR-Mageuzi kufanya uchaguzi mkuu, Mwenyekiti wake, James Mbatia amewataka wanachama kuchagua viongozi wenye maarifa na uzoefu, huku akieleza sifa nne anazotakiwa kuwa nazo mgombea.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Tambaza: Msikubali kumalizana kiaina

UONGOZI wa Kampuni ya Tambaza Auction Mart umesema una mkataba wa kufanya kazi Manispaa ya Ilala jijini Dar es Salaam na kuwataka wananchi kuheshimu sheria na kutokukubali kumalizana vichochoroni wanapokamatwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Ngassa arejea Yanga kiaina

Mshambuliaji Mrisho Ngassa aliyesajiliwa na klabu ya Free State Stars ya Afrika Kusini hivi karibuni, jana aliibuka katika mazoezi ya timu yake ya zamani Yanga.

 

9 years ago

Mwananchi

Azam, Simba ‘zauziana’ Majwega kiaina

Kiungo wa Azam, Brian Majwega ameidhinishwa rasmi na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kuichezea klabu ya Simba msimu huu.

 

10 years ago

Mwananchi

Sitta atangaza nia ya urais ‘kiaina’

 Dodoma/Dar. Waziri wa Uchukuzi, Samuel Sitta amesema kati ya waliojitokeza na wanaotajwa kuwania urais, hakuna ambaye anaweza kupambana na kuikataa rushwa na kwamba muda ukifika ataweka hadharani nia yake.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani