Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tambaza: Msikubali kumalizana kiaina

UONGOZI wa Kampuni ya Tambaza Auction Mart umesema una mkataba wa kufanya kazi Manispaa ya Ilala jijini Dar es Salaam na kuwataka wananchi kuheshimu sheria na kutokukubali kumalizana vichochoroni wanapokamatwa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

TFF yaomba kumalizana na Punchlines nje ya mahakama

Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) na Kampuni ya Punchlines Tanzania Limited bado wanaendelea kutafuta suluhu ya mgogoro uliopo kati yao nje ya mahakama.

 

10 years ago

Mwananchi

TFF, Punchlines Tanzania sasa kumalizana nje ya mahakama

Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limesaini hati ya pili ya makubaliano na Kampuni ya Punchlines Tanzania Limited katika Mahakama Kuu Kitengo cha Biashara ili kumaliza mgogoro uliopo baina yao.

 

11 years ago

Mwananchi

Anguko la Sekondari ya Tambaza

Msemo usemao ‘Wa kwanza atakuwa wa mwisho na wa mwisho atakuwa wa kwanza’ unatosha kuelezea shule maarufu ambazo zimeporomoka kielimu kwa miaka ya hivi karibuni.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Tambaza wapigwa ‘stop’ Kinondoni

MEYA wa Manispaa ya Kinondoni Yusuph Mwenda, amesema manispaa hiyo haiwatambui, watu wa Kampuni ya Udalali ya Tambaza wanaofanya kazi ya kuwatapeli wananchi katika Manispaa hiyo. Alisema kimsingi mkataba wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tambaza Auction Mart yalalamikiwa

DHULUMA na ubabe unaodaiwa kufanywa na wafanyakazi wa Kampuni ya udalali ya Tambaza Auction Mart ya jijini Dar es Salaam, umelalamikiwa na baadhi ya wamiliki wa magari, hususan malori. Baadhi...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Tambaza: Wanasiasa wanakwamisha utendaji kazi

MOJA ya hatua ya kuliweka jiji la Dar es salaam kuwa safi ni kuondoa uchafu, magari yanayoegesha vibaya na gereji bubu zilizoko katika maeneo mengi. Kutokana na hali hiyo, kampuni...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wananchi wawapa kipigo wafanyakazi Tambaza

VURUGU kubwa zimetokea kati ya wananchi na wafanyakazi wa Kampuni ya Tambaza Auction Mart katika maeneo ya Upanga jijini Dar es Salaam juzi na jana, baada ya wafanyakazi hao kudaiwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Nani wa kulaumiwa ubabe wa Tambaza Auction Mart?

HALMASHAURI ya Jiji la Dar es Salaam inastahili kubebeshwa lawama kuhusu dhuluma na ubabe wa wafanyakazi wa Kampuni ya udalali ya Tambaza Auction Mart, wanaolalamikiwa na wamiliki wa magari, hususan...

 

11 years ago

Michuzi

shimozzz upanga mbele ya shule ya Sekondari Tambaza

Kadri siku zinavyozidi kwenda na simo hili linazidi kushika kasi ya kuendelea kuchimbika,jambo ambalo linaweza sababisha madhara makubwa hapo baadae.Shimo hili lipo usoni kabisa mwa Shule ya Sekondari Tambaza,Upanga jijini Dar.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani