TFF, Punchlines Tanzania sasa kumalizana nje ya mahakama
Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limesaini hati ya pili ya makubaliano na Kampuni ya Punchlines Tanzania Limited katika Mahakama Kuu Kitengo cha Biashara ili kumaliza mgogoro uliopo baina yao.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi28 Nov
TFF yaomba kumalizana na Punchlines nje ya mahakama
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-ElsokzLIBBQ/UGNF0wS8E8I/AAAAAAAANgg/aSVZbMRcySs/s72-c/chande1.jpg)
MAHAKAMA YA TANZANIA SASA KUONYESHA LIVE KESI WAKATI ZIKIENDELEA KATIKA TELEVISHENI NA REDIO.
![](http://2.bp.blogspot.com/-ElsokzLIBBQ/UGNF0wS8E8I/AAAAAAAANgg/aSVZbMRcySs/s640/chande1.jpg)
MAHAKAMA inaangalia uwezekano wa kuruhusu vyombo vya habari kurekodi picha na sauti kuwezesha vituo vya radio na televisheni kuripoti habari za mahakama wakati kesi zinaendelea. Jaji Mkuu, Mohamed Chande Othman alisema jana mahakama inajifunza kutoka kwa nchi zinazoruhusu vituo vya redio na televisheni kurekodi na kuripoti habari wakati kesi zinaendelea.
Alisema hayo alipozungumza na waandishi wa habari jana wakati wa mkutano baina ya Baraza la Vyombo vya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-x_XrdjcK0u4/Xm-W297sl8I/AAAAAAAC8rc/dkJ8yztOXxkW3hi4-3FVeMz1r6b5oLapwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
MTENDAJI MKUU WA MAHAKAMA YA TANZANIA AKIKAGUA UJENZI WA MAHAKAMA JUMUISHI
![](https://1.bp.blogspot.com/-x_XrdjcK0u4/Xm-W297sl8I/AAAAAAAC8rc/dkJ8yztOXxkW3hi4-3FVeMz1r6b5oLapwCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-iKHIQ89kZ-0/Xm-W3GTzkPI/AAAAAAAC8rg/bwo7V-V55nobtOba_4oE4Xv0ypwOY_aTACLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-boFkxTHEyO4/Xm-W2q4YYsI/AAAAAAAC8rY/Osc-QALZT9oJwShdvI_21cf6NF8JqOXmwCLcBGAsYHQ/s640/3.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima20 Feb
Utatuzi wa mashauri ya jinai nje ya mahakama — 2
WIKI iliyopita nilieleza lengo la makala hii ni kujifunza mbinu na umuhimu uliopo katika kutatua mashauri ya jinai nje ya mfumo wa mahakama ili kuepuka matatizo niliyokwisha yaainisha hapo juu....
10 years ago
Tanzania Daima10 Nov
Tambaza: Msikubali kumalizana kiaina
UONGOZI wa Kampuni ya Tambaza Auction Mart umesema una mkataba wa kufanya kazi Manispaa ya Ilala jijini Dar es Salaam na kuwataka wananchi kuheshimu sheria na kutokukubali kumalizana vichochoroni wanapokamatwa...
11 years ago
GPL06 Jan
10 years ago
Mwananchi07 Jun
TFF sasa ‘yawaondoa’ Yanga nyota wa Ghana
11 years ago
Mwananchi25 Jan
Operesheni ya ujangili yaundiwa mahakama sasa
10 years ago
Mwananchi24 Nov
Sakata la rufaa ya Ndumbaro sasa laanza kuwavuruga TFF