Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TFF, Punchlines Tanzania sasa kumalizana nje ya mahakama

Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limesaini hati ya pili ya makubaliano na Kampuni ya Punchlines Tanzania Limited katika Mahakama Kuu Kitengo cha Biashara ili kumaliza mgogoro uliopo baina yao.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

TFF yaomba kumalizana na Punchlines nje ya mahakama

Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) na Kampuni ya Punchlines Tanzania Limited bado wanaendelea kutafuta suluhu ya mgogoro uliopo kati yao nje ya mahakama.

 

10 years ago

Vijimambo

MAHAKAMA YA TANZANIA SASA KUONYESHA LIVE KESI WAKATI ZIKIENDELEA KATIKA TELEVISHENI NA REDIO.

Jaji Mkuu, Mohamed Chande Othman 
MAHAKAMA inaangalia uwezekano wa kuruhusu vyombo vya habari kurekodi picha na sauti kuwezesha vituo vya radio na televisheni kuripoti habari za mahakama wakati kesi zinaendelea. Jaji Mkuu, Mohamed Chande Othman alisema jana mahakama inajifunza kutoka kwa nchi zinazoruhusu vituo vya redio na televisheni kurekodi na kuripoti habari wakati kesi zinaendelea. 
Alisema hayo alipozungumza na waandishi wa habari jana wakati wa mkutano baina ya Baraza la Vyombo vya...

 

5 years ago

Michuzi

MTENDAJI MKUU WA MAHAKAMA YA TANZANIA AKIKAGUA UJENZI WA MAHAKAMA JUMUISHI

 Mtendaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, Bw. Mathias Kabunduguru ( aliyenyoosha mkono) akikagua  leo ujenzi wa  jengo la Mahakama Jumuishi  la Utoaji Haki (IJC) lililopo eneo la Kihonda Wilaya ya Morogoro. Jengo hilo linajumuisha Mahakama Kuu,  Mahakama ya Hakimu Mkazi na Mahakama ya Wilaya zikiwemo ofisi za wadau wote wa Mahakama. Mtendaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, Bw. Mathias Kabunduguru (wa pili kulia) akizungumza leo na Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Mhe. Loatha Sanare kuhusu ziara ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Utatuzi wa mashauri ya jinai nje ya mahakama — 2

WIKI iliyopita nilieleza lengo la makala hii ni kujifunza mbinu na umuhimu uliopo katika kutatua mashauri ya jinai nje ya mfumo wa mahakama ili kuepuka matatizo niliyokwisha yaainisha hapo juu....

 

10 years ago

Tanzania Daima

Tambaza: Msikubali kumalizana kiaina

UONGOZI wa Kampuni ya Tambaza Auction Mart umesema una mkataba wa kufanya kazi Manispaa ya Ilala jijini Dar es Salaam na kuwataka wananchi kuheshimu sheria na kutokukubali kumalizana vichochoroni wanapokamatwa...

 

10 years ago

Mwananchi

TFF sasa ‘yawaondoa’ Yanga nyota wa Ghana

Ndoto za Yanga kusajili wachezaji wawili wa kigeni kutoka Ghana zinaelekea kugonga mwamba baada ya kocha Hans van der Pluijm kurejea nchini bila nyota hao.

 

11 years ago

Mwananchi

Operesheni ya ujangili yaundiwa mahakama sasa

Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema amesema mchakato wa kuwapata wajumbe wa Tume ya Kimahakama ya Kuchunguza Madhara ya Operesheni Tokomeza Ujangili umeshaanza na majina hayo yatawekwa wazi hivi karibuni.

 

10 years ago

Mwananchi

Sakata la rufaa ya Ndumbaro sasa laanza kuwavuruga TFF

Makamu mwenyekiti wa Kamati ya Rufaa ya Nidhamu ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Hammidu Mbwezeleni amesema TFF isipotoshe umma kwa vile bado haijawasilisha rufaa ya Damas Ndumbaro kwenye kamati yao.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani