Wananchi wawapa kipigo wafanyakazi Tambaza
VURUGU kubwa zimetokea kati ya wananchi na wafanyakazi wa Kampuni ya Tambaza Auction Mart katika maeneo ya Upanga jijini Dar es Salaam juzi na jana, baada ya wafanyakazi hao kudaiwa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLANUSURIKA KIPIGO KUTOKA KWA WANANCHI
10 years ago
Mwananchi01 Feb
Siku wananchi wakichoka kipigo cha askari, nini kitatokea — (1)?
10 years ago
Mwananchi08 Feb
Siku wananchi wakichoka kipigo cha askari, nini kitatokea ?— 2
10 years ago
Mwananchi15 Feb
Siku wananchi wakichoka kipigo cha askari, nini kitatokea? — 3
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-2eqWQ7Kbuuk/Xt0KdVBeQVI/AAAAAAALs64/W5UDZKkYchMuknwRj4gfWP4aE0ksNyBUgCLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
WIZI WA BIBLIA WAMPONZA KIBAKA DAR, WANANCHI WAMPA KIPIGO 'PAKA MWIZI'
![](https://1.bp.blogspot.com/-2eqWQ7Kbuuk/Xt0KdVBeQVI/AAAAAAALs64/W5UDZKkYchMuknwRj4gfWP4aE0ksNyBUgCLcBGAsYHQ/s320/index.jpg)
Na Said Mwishehe,Michuzi TV
KIJANA mmoja aliyefahamika kwa jina la Ndonga mkazi wa Majumbasita jijini Dar es Salaam amejikuta akipokea kipigo cha 'Paka mwizi' kutoka kwa wananchi wenye hasira kali baada ya kukwapua Biblia ya muumini wa dini ya Kikristo aliyekuwa akielekea Kanisani.
Tukio hilo limetokea leo Juni 7,2020, saa 12 asubuhi Njia Panda ya Segerea eneo la reli ambapo kijana huyo kabla ya kukwapua Bibli hiyo alitoa panga lake na kisha kumpiga na ubapa wa panga mgongoni muumini huyo...
11 years ago
Mwananchi22 Jul
Anguko la Sekondari ya Tambaza
11 years ago
Tanzania Daima03 Apr
Tambaza Auction Mart yalalamikiwa
DHULUMA na ubabe unaodaiwa kufanywa na wafanyakazi wa Kampuni ya udalali ya Tambaza Auction Mart ya jijini Dar es Salaam, umelalamikiwa na baadhi ya wamiliki wa magari, hususan malori. Baadhi...
10 years ago
Tanzania Daima10 Nov
Tambaza: Msikubali kumalizana kiaina
UONGOZI wa Kampuni ya Tambaza Auction Mart umesema una mkataba wa kufanya kazi Manispaa ya Ilala jijini Dar es Salaam na kuwataka wananchi kuheshimu sheria na kutokukubali kumalizana vichochoroni wanapokamatwa...
10 years ago
Tanzania Daima09 Nov
Tambaza wapigwa ‘stop’ Kinondoni
MEYA wa Manispaa ya Kinondoni Yusuph Mwenda, amesema manispaa hiyo haiwatambui, watu wa Kampuni ya Udalali ya Tambaza wanaofanya kazi ya kuwatapeli wananchi katika Manispaa hiyo. Alisema kimsingi mkataba wa...