Siku wananchi wakichoka kipigo cha askari, nini kitatokea ?— 2
Jumapili iliyopita katika sehemu ya kwanza ya makala hii tuliangalia matukio makubwa ambayo yanathibitisha vyombo vya dola vinavyonyanyasa, kuumiza na kutesa raia. Utesaji huo hufanywa kwa makusudi na kinyume cha sheria na Serikali ikiwa haichukui hatua yoyote zaidi ya kusisitiza kuwa vyombo vya dola lazima viendelee na kazi hiyo. Tuliangazia matukio ya vipigo na mauaji ya raia katika sakata la gesi Mtwara, kuuawa kwa mwandishi Daudi Mwangosi kule Iringa na kuuawa kwa wananchi katika Mgodi...
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi15 Feb
Siku wananchi wakichoka kipigo cha askari, nini kitatokea? — 3
10 years ago
Mwananchi01 Feb
Siku wananchi wakichoka kipigo cha askari, nini kitatokea — (1)?
10 years ago
Raia Mwema23 Sep
Nini kitatokea baada ya Oktoba 25?
BAADA ya harakati na pilika lukuki za vyama vyetu na wanasiasa kusaka fursa ya kumrithi Rais wa A
Evarist Chahali
5 years ago
BBCSwahili01 Mar
Kuzimwa kwa inatneti: Nini kitatokea iwapo mtandao utazimwa?
9 years ago
MillardAyo26 Dec
Kwa kipigo cha Stoke City, huenda siku za Van Gaal Man United zikawa zinahesabika … (+Pichaz&Video)
Ligi Kuu Uingereza imeendelea tena leo December 26 siku ya Boxing Day kwa michezo 10 ila mchezo wa awali ulikuwa kati ya Stoke City dhidi ya Manchester United katika dimba la Britannia lenye uwezo wa kubeba zaidi ya mashabiki 27000 kwa mara moja. Huu ni mchezo wa 18 kwa timu zote mbili ila unatajwa kuwa […]
The post Kwa kipigo cha Stoke City, huenda siku za Van Gaal Man United zikawa zinahesabika … (+Pichaz&Video) appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
Michuzi18 Feb
Taarifa Sahihi ya Jeshi la Wananchi wa Tanzania(JWTZ0Kuhusu Kifo cha Askari Wake Huko Mbalizi

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania linapenda kutoa taarifa ya kifo cha Askari wake Praiveti Ahadi Mwaka Mwainyokole kilichotokea tarehe 4 Februari 2015 katika mji mdogo wa Mbalizi, Mkoani Mbeya.
Taarifa za mazingira ya kifo cha Askari huyo zimepotoshwa na baadhi ya Vyombo vya Habari na kusababisha mapokeo tofauti kwa wananchi.
Hali halisi ni kwamba, mnamo tarehe 4 Februari 2015 Askari huyo akiwa na Askari wenzake wanne (4) ambao ni Koplo Bedatu Benard Mloka, Praiveti Thani Hamisi Haji,...
10 years ago
Mzalendo Zanzibar23 Sep
Chama cha Wananchi CUF Chaahidi Uchimbaji Mafuta Ndani ya Siku 100
Mgombea urais wa Zanzibar kupitia chama cha wananchi-CUF- Maalim Seif Sharrif Hamad amesisitiza kuwa anahitaji siku 100 tu kwa Zanzibar kuwa na mamlaka yake kuhusu sera na uchimbaji wa mafuta kisiwani humo. Maalim ametoa msimao huo […]
The post Chama cha Wananchi CUF Chaahidi Uchimbaji Mafuta Ndani ya Siku 100 appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
Tanzania Daima06 Nov
Wananchi wawapa kipigo wafanyakazi Tambaza
VURUGU kubwa zimetokea kati ya wananchi na wafanyakazi wa Kampuni ya Tambaza Auction Mart katika maeneo ya Upanga jijini Dar es Salaam juzi na jana, baada ya wafanyakazi hao kudaiwa...