Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Taarifa Sahihi ya Jeshi la Wananchi wa Tanzania(JWTZ0Kuhusu Kifo cha Askari Wake Huko Mbalizi


Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania linapenda kutoa taarifa ya kifo cha Askari wake Praiveti Ahadi Mwaka Mwainyokole kilichotokea tarehe 4 Februari 2015 katika mji mdogo wa Mbalizi, Mkoani Mbeya.
Taarifa za mazingira ya kifo cha Askari huyo zimepotoshwa na baadhi ya Vyombo vya Habari na kusababisha mapokeo tofauti kwa wananchi. 

Hali halisi ni kwamba, mnamo tarehe 4 Februari 2015 Askari huyo akiwa na Askari wenzake wanne (4) ambao ni Koplo Bedatu Benard Mloka, Praiveti Thani Hamisi Haji,...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Taarifa ya kifo kwa vyombo vya habari kutoka JESHI LA ULINZI LA WANANCHI WA TANZANIA (JWTZ).



Brigedia Jenerali Hashim Iddi Mbita (mstaafu) enzi za uhai wake.

JESHI LA ULINZI LA WANANCHI WA TANZANIA
Simu ya Upepo   : “N G O M E”             Makao Makuu ya Jeshi, Simu ya Mdomo : DSM  22150463         Sanduku la Posta 9203, Telex                     : 41051                          DAR ESSALAAM,  28 Aprili, 2015. Tele Fax                : 2153426 Barua pepe       : ulinzimagazine@yahoo.co.uk Tovuti                  : www.tpdf.mil.tz                    Taarifa ya kifo kwa Vyombo vya...

 

10 years ago

Michuzi

TAARIFA KUTOKA JESHI LA ULINZI LA WANANCHI TANZANIA

 JESHI LA ULINZI LA WANANCHI WA TANZANIAKURUGENZI YA HABARI NA UHUSIANO
Simu ya Upepo   : “N G O M E”          Makao Makuu ya Jeshi,Simu ya Mdomo : DSM  22150463      Sanduku la Posta 9203,Telex                     : 41051                       DAR ES SALAAM,    15, May 2015Tele Fax                : 2153426Barua pepe       : ulinzimagazine@yahoo.co.ukTovuti                  : www.tpdf.mil.tz                  Taarifa kwa Vyombo vya Habari
Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania linasikitishwa...

 

10 years ago

Vijimambo

TAARIFA KUTOKA JESHI LA ULINZI LA WANANCHI WA TANZANIA (JWTZ)

JESHI LA ULINZI LA WANANCHI WA TANZANIAKURUGENZI YA HABARI NA UHUSIANO
Simu ya Upepo   : “N G O M E”            Makao Makuu ya Jeshi,Simu ya Mdomo : DSM  22150463       Sanduku la Posta 9203,Telex                     : 41051                        DAR ESSALAAM, 20 Octoba, 2014Tele Fax                : 2153426Barua pepe       :ulinzimagazine@yahoo.co.ukTovuti                  : www.tpdf.mil.tz                  Taarifa kwa Vyombo vya Habari
Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) linatoa...

 

10 years ago

Vijimambo

TAARIFA KWA UMMA KUTOKA JESHI LA ULINZI LA WANANCHI TANZANIA



 JESHI LA ULINZI LA WANANCHI WA TANZANIAKURUGENZI YA HABARI NA UHUSIANO
Simu ya Upepo   : “N G O M E”          Makao Makuu ya Jeshi,Simu ya Mdomo : DSM  22150463      Sanduku la Posta 9203,Telex                     : 41051                       DAR ES SALAAM,    15, May 2015Tele Fax                : 2153426Barua pepe       : ulinzimagazine@yahoo.co.ukTovuti                  : www.tpdf.mil.tz                  Taarifa kwa Vyombo vya Habari
Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania linasikitishwa...

 

5 years ago

Michuzi

WANANCHI WASHAURIWA KUTOA TAARIFA SAHIHI ZILIZOTHIBITISHWA

 Na Leandra Gabriel, Michuzi Media TV
LEO Aprili 2 dunia inaadhimisha siku ya kimataifa ya kuhakikisha ukweli wa taarifa juu ya mambo yanayosikika ( World Fact Checking Day) ni siku ya kila mmoja kutafakari juu ya taarifa kuhusu taarifa anayopokea na kuipeleka kwa watu wengine.
Ikiwa ni maadhimisho ya tatu kufanyika mtandao wa uhakiki wa taarifa duniani (IFNC) umeeleza kuwa maadhimisho ya siku hiyo ni kwa kila mmoja wakiwemo wananchi, wanahabari na wataalamu wa uhakiki wa taarifa ikiwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Jeshi lawalilia askari wake

KAMANDA wa Polisi Mkoa wa Dodoma, SACP David Misime, amesema vifo vya askari watano wa Jeshi la Polisi wilayani Kongwa waliofariki kwa ajali ya gari vimetokana na uzembe wa mwendo...

 

11 years ago

Michuzi

TAARIFA YA KIFO CHA BALOZI WA MALAWI NCHINI TANZANIA,HAYATI FLOSSIE GOMILE

Serikali imepokea kwa masikitiko makubwa taarifa za kifo cha Balozi wa Malawi hapa nchini Hayati Mhe. Flossie Gomile Chidyaonga kilichotokea juzi Ijumaa tarehe 09 Mei, 2014. Balozi Chidyaonga alifariki akiwa njiani kupelekwa hospitali ya Aga Khan ya hapa Dar es Salaam.
Balozi Flossie Chidyaonga alizaliwa tarehe 16 Juni, 1960 huko Blantyre nchini Malawi. Balozi Chidyaonga aliitumikia Serikali ya Malawi katika nyadhifa mbalimbali. Kati ya mwaka 2006 hadi 2010 alikuwa Naibu Balozi wa Malawi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani