Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kuzimwa kwa inatneti: Nini kitatokea iwapo mtandao utazimwa?

Intaneti huwa inazimwa mara nyingi wakati wa uchaguzi na baadhi ya nchi huwa wanafungia baadhi ya mitandao.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Raia Mwema

Nini kitatokea baada ya Oktoba 25?

BAADA ya harakati na pilika lukuki za vyama vyetu na wanasiasa kusaka fursa ya kumrithi Rais wa A

Evarist Chahali

 

10 years ago

Mwananchi

Siku wananchi wakichoka kipigo cha askari, nini kitatokea? — 3

Jumapili iliyopita katika sehemu ya pili ya makala hii tulijadili matukio kadhaa ya vitendo vya uvunjifu wa haki za binadamu vinavyofanywa na askari wetu dhidi ya raia, tuliangalia matukio ya askari jeshi kuvamia na kupiga raia, askari wa maliasili kujeruhi na kuua raia na tabia iliyokithiri ya wafanyabiashara ndogondogo (Wamachinga) kupigwa na kudhulumiwa mali zao. Leo tutaangalia matukio ya wanasiasa kupigwa katika matukio halali ya kikatiba na kidemokrasia, wananchi kuteswa na kuuawa...

 

10 years ago

Mwananchi

Siku wananchi wakichoka kipigo cha askari, nini kitatokea ?— 2

Jumapili iliyopita katika sehemu ya kwanza ya makala hii tuliangalia matukio makubwa ambayo yanathibitisha vyombo vya dola vinavyonyanyasa, kuumiza na kutesa raia. Utesaji huo hufanywa kwa makusudi na kinyume cha sheria na Serikali ikiwa haichukui hatua yoyote zaidi ya kusisitiza kuwa vyombo vya dola lazima viendelee na kazi hiyo. Tuliangazia matukio ya vipigo na mauaji ya raia katika sakata la gesi Mtwara, kuuawa kwa mwandishi Daudi Mwangosi kule Iringa na kuuawa kwa wananchi katika Mgodi...

 

10 years ago

Mwananchi

Siku wananchi wakichoka kipigo cha askari, nini kitatokea — (1)?

Matukio ya vyombo vya ulinzi na usalama kunyanyasa raia yamekithiri nchini kwetu. Raia wamekuwa wakinyanyaswa, wakiteswa, wakitishwa, wakiumizwa na mara nyingine kupoteza maisha kutokana na kipigo kutoka kwa vyombo vya dola au hata kupata ulemavu wa kudumu katika miili au akili kwa sababu ya kujeruhiwa vibaya na askari wetu.

 

10 years ago

Michuzi

TAARIFA KWA UMMA KUHUSU KUZIMWA KWA MTAMBO WA MAJI RUVU CHINI

Dawasco inawatangazia wakazi wote wa jiji la Dar es salaam na Mji wa Bagamoyo kuwa mtambo wa kuzalisha Maji wa Ruvu Chini utazimwa kwa wastani wa saa 48  kwa siku za Ijumaa na Jumamosi ya tarehe 28 na 29 November 2014, kuanzia saa kumi na mbili asubuhi, ili kuruhusu mkandarasi (Sino-hydro Corporation ltd) kuunganisha bomba la zamani na bomba jipya (cross-connection) katika mtambo wa Ruvu Chini eneo la Mpiji, Bagamoyo na eneo la Chuo Kikuu Ardhi (Makongo Juu) 
Kuzimwa kwa mtambo wa Ruvu Chini...

 

10 years ago

Michuzi

DAWASCO YATOA TAARIFA YA KUZIMWA KWA MTAMBO WA RUVU JUU

SHIRIKA LA MAJISAFI NA MAJITAKA DAR ES SALAAM (DAWASCO) INAWATANGAZIA WAKAZI WA JIJI LA DAR ES SALAAM NA KIBAHA MKOANI PWANI KUWA MTAMBO WA KUZALISHA MAJI WA RUVU JUU UTAZIMWA KWA WASTANI WA SAA 12 KUANZIA SAA 12:00 ASUBUHI HADI SAA 12:00 JIONI KWA SIKU YA IJUMAA 20/02/2015.
MTAMBO YA RUVU JUU UTAZIMWA ILI KUMRUHUSU MKANDARASI KUFANYA SHUGHULI ZA UPANUZI WA MTAMBO.
KUZIMWA KWA MTAMBO WA RUVU JUU KUTASABABISHA MAENEO YAFUATAYO KUKOSA MAJI;
MLANDIZI, KIBAHA, KIBAMBA, KILUVYA, KONGOWE, MISUGUSUGU,...

 

11 years ago

Ykileo

UHALIFU MTANDAO NI TISHIO - NINI KIFANYIKE?

Uhalifu mtandaoo bado ni tatizo si tu katika nchi ya Tanzania bali Afrika na hata Duniani kwa ujumla. Hali imekua ni mbaya na bado jitihada za dhati zinaendelea kimataifa ili kukabiliana na uhalifu mtandao.  Kwa upande wa Tanzania midahalo imekua ikiendelea ikiwa ni katika kukuza uwelewa kwa watanzania juu ya maswala ya uhalifu mtandao. mchango wa vyombo vya habari katika kuelimisha jamii umeendelea kukua hivi sasa. Hili nilipata kulifafanua kupitia Mada niliyoiandikia kwa jina la unao...

 

10 years ago

Michuzi

TANGAZO LA KUZIMWA KWA MTAMBO WA MAJI RUVU CHINI KUTOKANA NA MATENGENEZO YA BOMBA KUBWA


SHIRIKA LA MAJI SAFI NA MAJITAKA DAR-ES-SALAAM (DAWASCO),LINAWATANGAZIA  WAKAZI WA JIJI LA DAR-ES-SALAAM NA MJI WA BAGAMOYO MKOANI PWANI  KUWA, MTAMBO WA KUZALISHA MAJI WA RUVU CHINI UMEZIMWA KWA SAA 24 KUANZIA ASUBUHI YA TAREHE 01.03.2015. 
KUZIMWA KWA MTAMBO WA RUVU CHINI KUMETOKANA NA MATENGENEZO YA BOMBA LA INCH 54 ENEO LA MATANKI YA CHUO KIKUU.
MATENGENEZO YANAENDELEA NA YANATARAJIA KUKAMILIKA BAADA YA SAA 24.
 KWASABABU HIYO MAENEO YAFUATAYO YATAKOSA MAJI:MJI WA BAGAMOYO, VIJIJI VYA...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani