SNURA KURUDI UPYA
Msanii wa Bongo Fleva na mwigizaji wa Bongo Movie,Snura Mushi(Snu Sex) baada ya kuachia ngoma yake ya pili ya ‘’Ushaharibu’’na kukaa kimya kwa muda mrefu ametangaza kurudi upya mwezi wa pili mwaka huu.
Kwa mujibu wa meneja wa msanii huyo,HK alisema kuwa Snura ataachia projects zake mwezi wa pili mwaka huu, baada ya kutoonekana kwenye majukwaa kwa karibu miezi sita.
CloudsFM
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL
MTOTO WA SNURA LIVE!
11 years ago
GPL
SNURA AANDAMWA NA MAJANGA
11 years ago
GPL
SNURA AMBWATUKIA SHILOLE
10 years ago
Bongo Movies13 Apr
Snura Aingizwa Mjini
Staa alieanzia Bongo Movie na kuingia kwenye Bongo Fleva Snura Mushi ‘Mama wa Majanga’ simu yake ya mkononi imetekwa na wajanja wa mjini kwa kuswap na simu anazopigiwa yeye kwenda kwa mtu mwingine ambaye hata hamjui wala hana mahusiano naye na hajui alitumia njia gani kuiteka hajui.
“Hata sielewi mtu huyu kafanyeje hadi namba yangu kuitumia yeye, na mbaya zaidi ni pale ambapo kilaanapobahatisha namba ya rafiki yangu huomba atumiwe pesa nahisi lengo lake kuu ilikuwa ni kujipatia pesa kwa...
11 years ago
GPL
SNURA AWASHUKURU WALIOMTOA
11 years ago
GPL
SNURA TUHUMA NZITO
10 years ago
GPL
SNURA ATUMIKA KUTAPELI
11 years ago
Bongo501 Sep
New Music: Snura — Jidabue