Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SNURA AWASHUKURU WALIOMTOA

Snura Mushi. Kupitia ukurasa wake wa mtandao mmoja wa kijamii mwanadada Snura mushi alimua kufunguka yafuatao kwa mdada Wema Sepetu, Tundaman, Chekibudi na Marehemu Sharo Milionea kwa jinsi walivumsaidia kufika hapo alipo leo. Snura alisema yafuatayo… Kwa Wema Sepetu
Msema kweli mpenzi wa mungu wakati narecod wimbo wangu wa kwanza wema alihusika sana...hela yake ilihusika studio, sauti yake ilihusika kwenye wimbo huo...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Lilian awashukuru Watanzania

lilian_kamazimaNA MWANDISHI WETU

MREMBO aliyeiwakilisha Tanzania kwenye mashindano ya urembo ya dunia yaliyofanyika juzi Sanya nchini China, Lilian Kamazima, amewashukuru Watanzania kwa kumuunga mkono toka alipoanza safari yake ya urembo hapa nyumbani hadi kuingia kwenye kumi bora ya warembo wa dunia wenye mchango kwa jamii.

Akitoa shukrani zake, Lilian alisema licha ya kuwa mpweke ila sapoti ya Watanzania hasa kwenye mitandao ya kijamii katika upigaji kura ulimfanya ajihisi yupo nyumbani na kuna watu...

 

10 years ago

GPL

DIAMOND AWASHUKURU WATANZANIA

Diamond akisikiliza masali kutoka kwa waandishi wa habari. … Akijibu maswali. …Bab Tale akiwakaribisha waandishi wa habari (hawapo pichani) muda mfupi kabla ya kuanza kwa mkutano huo.…

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mtitu awashukuru wadau wa filamu

MKURUGENZI wa kampuni ya 5 Effects Movies Ltd, William Mtitu, amewashukuru wadau wa filamu kutokana na kitendo chao cha kuwa beba kwa beka katika msiba wa baba yake mzazi, Mzee...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Bayi awashukuru majirani Mkuza

MKURUGENZI wa Shule za Filbert Bayi, Anna Bayi, amewashukuru wakazi wa Kwamatiasi, Mkuza Kibaha mkoani Pwani kwa msaada wao mkubwa walioutoa wakati wa tukio la kuungua moto kwa shule ya...

 

10 years ago

GPL

MJANE WA GURUMO AWASHUKURU NSSF

Shani Ramadhani SIKU chache baada ya mjane wa marehemu, Muhidin Gurumo, Pili Nassoro, kukabidhiwa shilingi milioni mbili na Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) kwa ajili ya kununua bajaj, amelishukuru kwa kujitoa kwao. Mjane wa marehemu, Muhidin Gurumo, Pili Nassoro. Akizungumza na Amani, Pili alilisifu shirika hilo kwa kuthamini michango ya wanamuziki. “Nawashukuru NSSF kwa kunitoa kwenye mawazo kwani mchango wao...

 

10 years ago

Vijimambo

HAPPINESS WATIMANYWA AWASHUKURU WATANZANIA

Na Hans MloliALIYEKUWA mshiriki wa Miss World 2014 kutoka Tanzania, Happiness Watimanywa, amerudisha fadhila kwa Watanzania.Pamoja ya kwamba Happiness hakubahatika kuwemo kwenye 10 bora ya washiriki waliokuwa kwenye kinyang’anyiro hicho ambapo taji lilikwenda kwa Rolene Strauss wa Afrika Kusini, lakini alibahatika kushika namba mbili kwenye kipengele cha People’s Choice Awards kati ya washiriki 121 waliokuwa wakishiriki na namba moja ikatua kwa mshiriki wa Thailand, Maeya...

 

11 years ago

Habarileo

Rais Burundi awashukuru Watanzania

RAIS wa Burundi, Pierre Nkurunzinza, amewashukuru Watanzania wote kwa mchango wao mkubwa katika kuleta amani na utulivu katika nchi hiyo, akisisitiza kuwa hakuna nchi nyingine duniani imechangia amani kwa Burundi kama Tanzania.

 

9 years ago

Mtanzania

Vanessa awashukuru mashabiki wa Instagram

vanessaMdee_001_lrgNA MWANDISHI WETU

NYOTA wa muziki wa kizazi kipya nchini, Vanessa Mdee, amewashukuru mashabiki wa mtandao wa Instagram kwa kumuunga mkono na kufanya afikishe wafuasi milioni moja.

Venessa anaungana na wakali kama Diamond Platnumz, Millard Ayo, Jokate Mwegelo, Jackline Wolper na Wema Sepetu ambao ni watu maarufu wachache wenye wafuasi wengi kwenye mtandao huo.

Akiwashukuru mashabiki wake, Vanessa alisema moja ya mtaji mkubwa kwenye biashara ya muziki ni watu hivyo idadi hiyo kubwa ya wafuasi...

 

10 years ago

BBCSwahili

Kocha;Taifa Stars awashukuru watanzania

Kocha Mkuu wa Taifa Stars, Charles Boniface Mkwasa amewashukuru watanzania walio sapoti katika mchezo dhidi ya Uganda.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani