Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bayi awashukuru majirani Mkuza

MKURUGENZI wa Shule za Filbert Bayi, Anna Bayi, amewashukuru wakazi wa Kwamatiasi, Mkuza Kibaha mkoani Pwani kwa msaada wao mkubwa walioutoa wakati wa tukio la kuungua moto kwa shule ya...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Waziri asifu MKUZA kupambana na umasikini

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Utawala Bora, Dk Mwinyihaji Makame Mwadini amesema wananchi wameanza kuufahamu Mpango wa Kukuza Uchumi na Kupambana na Umasikini (MKUZA), ambao umepata mafanikio makubwa.

 

11 years ago

Mwananchi

‘Tanzania haitishwi majirani kujitenga’

Serikali imesema kuwa hatua iliyoanzishwa na nchi za Rwanda, Kenya na Uganda ambayo imeruhusu raia wake kusafari ndani ya nchi hizo kwa kutumia vitambulisho vya taifa badala ya hati ya kusafiria kuwa siyo tishio.

 

10 years ago

Mwananchi

Majirani kuwasha moto leo

Mashabiki wa soka England, Hispania au hata Afrika Mashariki zinakopendwa timu hizo leo watatuliza kiu zao kwa kuona mechi kali baina ya majirani, maarufu derby.

 

11 years ago

Habarileo

Majirani kushiriki utajiri wa gesi

UTAFITI zaidi wa mafuta na gesi unaoendelea nchini, unaweza kuilazimu nchi kuingia katika makubaliano ya uzalishaji wa pamoja wa sehemu ya nishati hiyo na nchi za jirani. Taarifa ya Hali ya Uchumi wa Taifa iliyowekwa hivi karibuni katika Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa, imefafanua kwa undani historia ya mafanikio ya sekta hiyo muhimu kwa maisha ya kiuchumi ya Watanzania na uwezekano huo katika siku za hivi karibuni. Kwa mujibu wa taarifa hiyo, kuna baadhi ya miamba inayozalisha gesi...

 

11 years ago

GPL

MAJIRANI WAMLALAMIKIA JIDE KWA UCHAFU

Gladness Mallya na Hamida Hassan
MAJIRANI wanaoishi karibu na mwanamuziki wa kizazi kipya Bongo, Judith Wambura ‘Jide’ wamelalamika kwamba mwanamuziki huyo ameiweka nyumba yake katika mazingira ya uchafu yanayohatarisha maisha yao. Mwanamuziki wa kizazi kipya Bongo, Judith Wambura ‘Jide’. Wakizungumza na Amani, majirani hao wanaoishi Kimara-Temboni jijini Dar, walisema mwanadada huyo ameacha vichaka...

 

10 years ago

TheCitizen

Bayi comes to defence of runners

TOC secretary general Filbert Bayi says Tanzanian athletes deserve compliment rather than criticism

 

10 years ago

TheCitizen

Bayi for female athletes promotion

The Tanzania Olympic Committee (TOC) has called upon sports bodies in the country to increase the number of female athletes to go inline with the International Olympic Committee (IOC) directive.

 

11 years ago

Mwananchi

Filbert Bayi aishangaa Serikali

Katibu Mkuu wa Kamati ya Olimpiki Tanzania (TOC), Filbert Bayi amesema ripoti ya timu za Tanzania zilizoshiriki michezo ya Jumuiya ya Madola imekwama baada ya Serikali kutaka wanamichezo wote waliokwenda Scotland kuhusishwa wakati itakapowasilishwa kwao.

 

11 years ago

TheCitizen

The Filbert Bayi spirit would help us greatly

We all know what parliament is, and we are all ashamed of it.” Those are the words of the Scottish author, Robert Louis Stevenson, who penned the novel, “Treasure Island,” whose Swahili translation “Kisiwa Chenye Hazina” was popular across East Africa in the 1970s and 1980s.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani