Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAJIRANI WAMLALAMIKIA JIDE KWA UCHAFU

Gladness Mallya na Hamida Hassan
MAJIRANI wanaoishi karibu na mwanamuziki wa kizazi kipya Bongo, Judith Wambura ‘Jide’ wamelalamika kwamba mwanamuziki huyo ameiweka nyumba yake katika mazingira ya uchafu yanayohatarisha maisha yao. Mwanamuziki wa kizazi kipya Bongo, Judith Wambura ‘Jide’. Wakizungumza na Amani, majirani hao wanaoishi Kimara-Temboni jijini Dar, walisema mwanadada huyo ameacha vichaka...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Ofisa afya mbaroni kwa uchafu

Mkuu wa Wilaya ya Musoma, Zelothe Stephen ameamuru kutiwa mbaroni Ofisa Afya wa Kata ya Mkendo, Desideri Rwegoshora kwa kushindwa kusimamia usafi katika maeneo ya kata yake.

 

11 years ago

Mwananchi

TFDA yafunga machinjio kwa uchafu Mbeya

Zikiwa zimebakia siku chache kusherehekea Sikukuu za Krismasi na Mwaka Mpya, Mamlaka ya Chakula na Dawa Tanzania (TFDA) imefunga Machinjio ya Mbalizi Mbeya Vijijini na Uyole, yanayomilikiwa na Jiji la Mbeya kwa madai ya kukithiri kwa uchafu.

 

10 years ago

GPL

WAKAZI WA BUGURUNI WALALAMIKIA KUONGEZEKA KWA UCHAFU

Mwenyekiti wa serikali za mitaa Buguruni-Madenge, Mwishehe Mbegete akizungumza na wanahabari (hawapo pichani). Rundo la uchafu pembeni mwa nyumba.…

 

11 years ago

Habarileo

Bilioni 301/- zapotea kwa uchafu wa mazingira

TANZANIA inapoteza jumla ya shilingi bilioni 301 kila mwaka kama gharama ya kukabiliana na madhara ya uchafu wa mazingira.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wafugaji wamlalamikia diwani

WAFUGAJI  wa  Kata  ya  Kwamatuku, Wilaya ya Handeni, mkoani Tanga, wamemlalamikia diwani  wa  kata  hiyo, Mustaph  Beleko,  kuwa  anatumia vibaya agizo la Mkuu wa Wilaya hiyo, Muhingo  Rweyemamu  la kupunguza ...

 

11 years ago

GPL

MSASANI BONDE LA MPUNGA DAR YATISHA KWA UCHAFU

Biashara inaendelea licha ya  kuwepo dimbwi lenye maji taka katika moja ya mitaa ya Msasani. Eneo hili limegeuka dampo kwa wakazi wa Bonde la Mpunga Msasani.…

 

10 years ago

Tanzania Daima

CWT Ngorongoro wamlalamikia Mkurugenzi

CHAMA Cha Walimu Nchini (CWT), wilayani Ngorongoro kimemlalamikia Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya hiyo, John Mgalula kwa kukataa kuunda Baraza la Wafanyakazi. Imedaiwa kuwa hali hiyo imepunguza ari ya watumishi...

 

10 years ago

Tanzania Daima

TAWOMA wamlalamikia Waziri Muhongo

MWENYEKITI wa Chama cha Wachimbaji Madini Wanawake (TAWOMA), Eunice Negele, amelalamikia Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo kwamba ana mpango wa kukiua chama hicho. Sambamba na hilo, Mwenyekiti...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wakazi Loliondo wamlalamikia Waziri Nyalandu

WAKAZI wa Tarafa ya Loliondo, wamemlalamikia Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu kwa nia ya kutaka kuvichukua tena vijiji nane vya eneo lao ili kuvigeuza kuwa hifadhi. Waziri Nyalandu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani