CWT Ngorongoro wamlalamikia Mkurugenzi
CHAMA Cha Walimu Nchini (CWT), wilayani Ngorongoro kimemlalamikia Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya hiyo, John Mgalula kwa kukataa kuunda Baraza la Wafanyakazi. Imedaiwa kuwa hali hiyo imepunguza ari ya watumishi...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
StarTV27 Aug
CWT Mwanza chatishia mgogoro na mkurugenzi wa jiji
Chama cha Walimu Tanzania CWT wilaya ya Nyamagana mkoani Mwanza kimesema kitatangaza mgogoro na mkurugenzi wa jiji la Mwanza kwa madai ya kushindwa kulipa stahiki za walimu wilayani humo jumla ya shilingi milioni 707.
Kwa mujibu wa mwenyekiti wa CWT wilaya ya Nyamagana, hatua hiyo inatokana na mkurugenzi wa jiji la Mwanza kushindwa kujibu barua yao ya madai hayo yanayohusisha fedha za nauli ya likizo, malimbikizo ya mishahara na uhamisho. Projestus Binamungu ameandaa taarifa ifuatayo:
Katika...
5 years ago
Michuzi
UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO NDANI YA HIFADHI YA ENEO LA NGORONGORO SASA WAHAMISHIWA HALMASHAURI YA WILAYA YA NGORONGORO
Taarifa iliyotolewa leo kwa vyombo vya habari imeeleza mkutano huo wa siku tatu ulikuwa ukiongozwa na Waziri wa Maliasili na Utalii Dk.Hamis Kigwangala na moja ya majadiliano yalikuwa ni kuangalia utaratibu wa Usimamizi wa fedha zinazotolewa na Mamlaka ya Hifadhi ya eneo la Ngorongoro kwa ajili ya Baraza la...
11 years ago
Tanzania Daima24 Feb
Wafugaji wamlalamikia diwani
WAFUGAJI wa Kata ya Kwamatuku, Wilaya ya Handeni, mkoani Tanga, wamemlalamikia diwani wa kata hiyo, Mustaph Beleko, kuwa anatumia vibaya agizo la Mkuu wa Wilaya hiyo, Muhingo Rweyemamu la kupunguza ...
11 years ago
Tanzania Daima12 Oct
TAWOMA wamlalamikia Waziri Muhongo
MWENYEKITI wa Chama cha Wachimbaji Madini Wanawake (TAWOMA), Eunice Negele, amelalamikia Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo kwamba ana mpango wa kukiua chama hicho. Sambamba na hilo, Mwenyekiti...
10 years ago
Tanzania Daima24 Nov
Wakazi Loliondo wamlalamikia Waziri Nyalandu
WAKAZI wa Tarafa ya Loliondo, wamemlalamikia Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu kwa nia ya kutaka kuvichukua tena vijiji nane vya eneo lao ili kuvigeuza kuwa hifadhi. Waziri Nyalandu...
11 years ago
GPL
MAJIRANI WAMLALAMIKIA JIDE KWA UCHAFU
10 years ago
Michuzi
BAADA YA KUFUNGWA 2-0 NA MAHASIMU WAO YANGA, SIMBA WAMLALAMIKIA REFA

Mkuu wa habari wa Simba leo jijini Dar es salaamTarehe 26-9-2015 jana jumamosi kulifanyika mechi ya ligi kuu ya vodacom Tanzania bara baina y a klabu yetu ya Simba na timu ya Yanga. Kwenye mchezo huo timu yetu imepoteza mchezo huo kwa kufungwa goli mbili kwa bila.
Tumeanza kuandika hvyo hapo juu kwa maksudi kuonyesha sisi Simba tumeyakubali matokeo hayo ya dakika tisini za mchezo na tutumie nafasi hii kiungwana kabisa kuwapongeza watani wetu wa jadi kwa ushindi huo...
10 years ago
MichuziMKURUGENZI WA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA WA MAMBO YA NJE AAGANA NA ALIYEKUWA MKURUGENZI WA UNDP NCHINI
10 years ago
Dewji Blog15 May
Masahihisho katika taarifa ya Uteuzi wa Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai na Mkurugenzi wa Intelijensia katika Jeshi la Polisi
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Kamishna wa Polisi (CP) Diwani Athumani Msuya, kuwa Mkurugenzi wa Upelelezi wa makosa ya Jinai (Director of Criminal Investigation).
Kabla ya uteuzi huu CP Msuya alikuwa Kaimu Kamishna wa Kamisheni ya Intelijensia ya Jinai. CP Msuya anachukua nafasi iliyoachwa wazi na Ndugu Isaya J. Mngulu ambaye amestaafu kwa mujibu wa Sheria.
Rais Kikwete pia amemteua Naibu Kamishna wa Polisi (DCP) Valentino Mlowola...