Matapeli Wamlostisha Snura
Staa wa Bongo Movies na Bongo Fleva, Snura Mushi ‘Mama wa Majanga’ amefunguka kwa kusema kuwa mtu aliyeteka namba yake ya simu na kuitumia akiomba fedha na kuitumia kama ni yeye amemfanye apate matatizo na usumbufu usio na manufaa zaidi ya kumkera katika shughuli zake.
“Aliyenifanyia ujinga wa kuharibu namba yangu ya simu na kuanza kuitumia yeye kama mimi si siri amenitia umaskini kwa wakati ule kwani baadhi ya wateja wa kazi zangu walikuwa wakitumia kwa mawasiliano na mimi, lakini...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi04 Jan
Matapeli 15 wa viwanja wadakwa
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pVOWqi0dq18Kmi4uAEdClwq11yB7YhvPRlJMpS76HMB2bFG9NM*DSHVhm-IH3KC9jhANrAvoYNjczo5XmOHvotRwp9GKPhia/nora.jpg?width=650)
NORA ATESWA NA MATAPELI
10 years ago
Tanzania Daima23 Sep
Matapeli hawa wasakwe
MOJA ya habari zilizimo kwenye Gazeti hili leo, inazungumzia kuibuka kwa kundi la matapeli linaloliza watu mamilioni ya fedha kwa kisingizio kwamba wanaweza kuwasaidia kupata ajira katika baadhi ya idara...
9 years ago
Habarileo02 Sep
Tasaf yadhibiti matapeli
MFUKO wa Maendeleo ya Jamii (Tasaf) katika Manispaa ya Kigoma umesema umeweza kudhibiti udanyanganyifu wa majina ya watu ambao hawapaswi kuhudumiwa na mfuko huo katika mpango wa kusaidia kaya masikini.
11 years ago
Habarileo04 Apr
Matapeli ya mikopo waliza watu 10
WATU zaidi ya 10 wametapeliwa fedha, walizotuma kwa mtandao baada ya kurubuniwa kuwa wangepata mikopo katika taasisi, iliyojitambulisha kwa jina la Savings Foundation Loans na kudai ofisi zake ziko katika Jengo la Utumishi.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UZ8UQ2FXhhPh-ZvyarQ8z5zrYRZ0wW16*GfpbLTLsTzcTqiVeLCbQhjD9vqpT0t3VpKiqp5E0Kd4wl2YDIt45EzIaX6yQ6c5/tanzaniterings.jpg?width=650)
7. MATAPELI WANAVYOIBA KUPITIA MAHAUSIGELI
11 years ago
Tanzania Daima11 Apr
Matapeli wa kuunganisha umeme waibuka
SHIRIKA la Umeme nchini (Tanesco) limewataka wananchi kuwa makini na utapeli unaofanywa na baadhi ya watu ambao wanawarubuni wanaotaka kufungiwa umeme katika makazi yao kwa kuwadanganya kwamba wanaweza kuwasaidia kwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UeiAtiGk5fnIczkO*AJBaQtvqz4BiG5dKjMPfUgnzmDk8tAJ1hY7bZ86YZHV*bQ5zID1cGvHtG9n9pfxSm5pN1ZzT60GsaT4/dude.jpg)
MATAPELI WAMTUMIA DAVINA FACEBOOK
11 years ago
Dewji Blog10 Jul
Halima Mdee: Jihadharini na Matapeli
Na Mwandishi wetu
Mbunge wa Kawe jijini Dar es Salaam, Halima Mdee (pichani) amewatahadharisha wananchi juu ya utapeli unaofanywa na baadhi ya watu wasiojulikana katika mitandao ya kijamii kwa kutumia jina lake kwa kudai kuwa anatoa mikopo bila riba.
siku za hivi karibuni kumekuwapo na matukio ambayo yamekuwa yakiwakuta baadhi ya viongozi wakiwemo Mbunge wa Kigoma Kaskazini Zitto Kabwe na Mbuge wa Monduli Edward Lowassa.
kwa mujibu wa Mdee ni kuwa wakati muhafaka kwa Jeshi la Polisi...