Matapeli wa kuunganisha umeme waibuka
SHIRIKA la Umeme nchini (Tanesco) limewataka wananchi kuwa makini na utapeli unaofanywa na baadhi ya watu ambao wanawarubuni wanaotaka kufungiwa umeme katika makazi yao kwa kuwadanganya kwamba wanaweza kuwasaidia kwa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo19 Jan
Tanesco waagizwa kuunganisha umeme ndani ya siku 7
WAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo ameitaka Bodi mpya ya Shirika la Umeme Nchini (TANESCO) kuliongoza shirika hilo kwa ufanisi na kuhakikisha kuwa mteja mpya anapoomba umeme anafungiwa ndani ya wiki moja.
11 years ago
Mwananchi02 Feb
Serikali yashusha gharama za kuunganisha umeme vijijini
11 years ago
Mwananchi02 Feb
Serikali yashusha gharama za kuunganisha umeme vijijini
10 years ago
Habarileo06 Oct
Tanesco waagizwa kuunganisha umeme siku moja
SERIKALI imelitaka Shirika la Umeme nchini (Tanesco) kuunganishia wateja umeme ndani ya siku kama watalipa kabla ya saa nne asubuhi. Agizo hilo lilitolewa jana na Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Kitwanga wakati akizungumza na menejimenti ya Tanesco mkoa wa Mwanza katika ziara yake ya kukagua miradi ya umeme.
10 years ago
Habarileo08 Mar
‘Msidanganywe, gharama za kuunganisha umeme ni 177,000/-’
MWENYEKITI wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini, Richard Ndassa amewaambia wakazi wa kata ya Ibihwa iliyopo Bahi mkoani Dodoma kuwa gharama za kuunganishiwa huduma ya umeme zimeshuka hadi Sh 177,000.
10 years ago
MichuziWaziri wa Nishati na Madini azindua rasmi Bodi ya Tanesco Asisitiza siku za kuunganisha umeme kupungua
10 years ago
VijimamboTUCTA WAIBUKA WASEMA LIWALO NA LIWE WAMECHOKA, UFISADI WA ESROW,TUCTA WAIBUKA WASEMA LIWALO NA LIWE WAMECHOKA SEMA HAPA KUJUA
Pichani ni Rais wa mpya chama cha Wafanyakazi nchi TUCTA Gration Mukoba picha na Maktaba
Na karoli Vinsent
CHAMA cha Wafanya kazi nchini (TUCTA) nao wamejitosa Kwa mara ya Kwanza kwenye sakata la Ufisadi wa zaidi ya bilioni 400 za kitanzania kwenye Akaunti ya Escrow na kusema chama hicho hakiwezi kukubaliana na ufisadi huo na kuitaka serikali kuwachukulia hatua kali ya watu wote waliohusika na wizi.
Na kama endapo Bunge pamoja na serikali hawatawachukulia hatua zozote Viongozi...
10 years ago
Tanzania Daima18 Oct
‘Majeshi yatakiwa kuunganisha nguvu’
SERIKALI imeshauriwa kuunganisha nguvu za majeshi yote katika mapambano dhidi ya maadui wa ndani wapya watano ambao ni hatari kwa mustakabali wa Taifa. Akizungumza na Tanzania Daima kwa niaba ya...