NORA ATESWA NA MATAPELI
![](http://api.ning.com:80/files/pVOWqi0dq18Kmi4uAEdClwq11yB7YhvPRlJMpS76HMB2bFG9NM*DSHVhm-IH3KC9jhANrAvoYNjczo5XmOHvotRwp9GKPhia/nora.jpg?width=650)
Stori: Gladness Mallya MWIGIZAJI mkongwe Bongo, Nuru Nassoro ‘Nora’ amefunguka kuwa anakerwa na matapeli walioibuka ambao wanawatapeli wasanii wa kike wakiwadanganya kwamba wanawachezesha filamu kumbe ‘changa la macho’. Nuru Nassoro ‘Nora’. Akistorisha na paparazi wetu, Nora alisema hivi karibuni alikutwa na mkasa huo baada ya kupigiwa simu na wanaume wawili waliodai kwamba wana...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1zruj0PgXfgzDaIjLDjN5QqMAmfh2ygba6F95FZv85uQLZXbXfeW5hTC-0KkRBGUdy39hfXNHgD5LB7DEc60SAiHM15W*HMs/jb.jpg?width=650)
JB ATESWA NA MAJUNGU
Na Imelda Mtema
BABA la baba, Jacob Steven ‘JB’ amenyanyua kinywa chake na kutamka kuwa anateswa na majungu katika fani hivyo angekuwa na mbadala wa kazi, angechepuka. BABA la baba, Jacob Steven ‘JB’ Akistorisha na gazeti hili hivi karibuni, JB alisema licha ya umri wake mkubwa katika tasnia ya filamu lakini suala la majungu limekuwa likimtesa na mbaya zaidi ni ngumu kulidhibiti. “Kusema ukweli...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/79FAz6LP6HhLhdbeFsHx-2ENc9KweIr8k2lgLVCJuLQO5VONnv4E0tK7gIsFcFZ4WUke9KsZl5QEHOsdtSBdDX7CS-umNyNQ/shamsa.jpg?width=650)
SHAMSA ATESWA NA GENEVIEVE
 Na Nyemo Chilongani MUIGIZAJI wa Bongo Movies, Shamsa Ford amefunguka anaumia sana na mafanikio ya waigizaji wa Nigeria kama Genevieve kwani ndoto yake ni kufanya zaidi ya wao. Mwigizaji wa Bongo Movies, Shamsa Ford. Shamsha alifunguka hayo wiki iliyopita na kudai kila siku wasanii wa nyumbani wamekuwa wakishindwa kufika levo za mastaa hao kwa kutokuwa na mipango endelevu.… ...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/7KfVtj4CX6gOQzLPTBtEOy0GQC1Hq3KaQGLRqLrvWW4zg8Tua5YJOuHYKB4KfBytB8yYrAM1PXgEOCtO*MNE5YCvdlks5Af-/Mrembo.gif?width=650)
MREMBO ATESWA UARABUNI
Stori:imelda mtema MATESO! Ndivyo unavyoweza kusema kufuatia mrembo Sada Hussein, mkazi wa Tandale kwa Mtogole jijini Dar kupata mateso mazito baada ya kupelekwa Uarabuni nchini Oman kwa lengo la kufanya kazi za ndani, tofauti na matarajio, alijikuta akiteswa vibaya na muajiri wake. Mrembo Sada Hussein, mkazi wa Tandale kwa Mtogole anayedaiwa kuteswa uarabuni. Akizungumzia tukio hilo kwa uchungu, kaka wa msichana huyo...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/czF6wJsbSj2Mhd95G38x0-GPkRWVxbgB2h1C4Q-qpjz35gjBf2d7Tdzb1onFaqcoH2kfNgXbFdORBhuyddVqum7TGVnpQeQt/tiko.jpg?width=650)
TIKO ATESWA NA MKOROGO
Stori: Imelda Mtema MSANII wa Bongo Movies, Tiko Hassan amedaiwa kuteswa na madhara ya mkorogo kiasi cha kumfanya shindwe kutoka ndani. Msanii wa Bongo Muvi, Tiko Hassan katika pozi. Vyanzo makini vimedai, staa huyo amekuwa na weusi usoni kutokana na matumizi ya mkorogo. Alipoulizwa kuhusu ishu hiyo, Tiko alijibu: “Kweli nimejifungia ndani sana siku hizi yawezekana ndiyo sababu ya kuwa na weusi lakini si… ...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XnAxcylq3iihD*oTzTMA1WzKo6AxGXbsq*BmoeKcVvmurfTt6FvdrN*1qmsqNkHCjQClzHUA3Hs3l0JPq*j9jC-aj1IzVW*B/gfhshj.jpg?width=650)
CATHY ATESWA NA UPWEKE!
IMELDA MTEMA MSANII mkongwe kwenye tasnia ya filamu Bongo, Sabrina Rupia ‘Cathy’ amesema kuwa kwa sasa yupo katika kipindi kigumu cha upweke kutokana na mume wake kuhamishiwa Kisiwani Unguja kikazi. MSANII mkongwe kwenye tasnia ya filamu Bongo, Sabrina Rupia ‘Cathy’. Akizungumza na mwandishi wetu, Cathy alisema kuwa hakuna kitu kigumu na kinachomtesa kama kutenganishwa na mtu ambaye anampenda...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OmzXdzxeBqwKM35vVRob-DlJwV1VPUi7xU4T6KmtKnbvtHw8ns1EmdfQM7FkTHVJWErOfrRzE9BJhLAuzd-kkTIcg-fCB9t7/wolper.jpg?width=650)
WOLPER ATESWA MTANDAONI
STORI: Erick Evarist STAA wa sinema za Kibongo, Jacqueline Wolper amefunguka kuwa anaumizwa na mashabiki wanaomshushia lawama kwa kila anachofanya. Staa wa sinema za Kibongo, Jacqueline Wolper. Akizungumza na paparazi wetu, Wolper alisema wakati mwingine na yeye ni binadamu lakini kila anachokifanya, wafuasi wa mitandao ya kijamii wamekuwa wakimporomoshea lawama. “Nashangaa kabisa kuna watu hata ufanye jema wao ni lawama,...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8l--NuzR*jGYR4zuUF8tb5lxKtF*VBQBRTQF0GjAnQaO00SZoBteuzTkQiUBl3cIrWXRgv4FY4DAQoCxZvkD3ep8WWHlcVQX/wolper.jpg?width=650)
WOLPER ATESWA NA USAGAJI
Stori: Mayasa Mariwata
MWIGIZAJI Jacqueline Wolper, amesema anaumizwa sana na tetesi zinazozagaa kama moto wa kifuu kitaani kuwa anajihusisha na vitendo vya usagaji. Jacqueline Wolper. Akizungumza na paparazi wetu kuhusiana na skendo hiyo, mwanadada huyo alisema, akiwa kama mwanamke anayejitambua na kumtukuza vyema Mungu wake jambo hilo limekuwa likimuumiza. “Roho inaniuma sana kuhusiana na hizo taarifa sijui niongee...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tBTKCkFUMvM6fZZON6KezVj0iU42N4aSOSyldOXuQHTE4AqKp0iflE*OUDEMUuKYWw-WAkYzwWh1mfWVqeHXmmTwjLra1PL9/kajala.jpg)
NORA AMCHANA KAJALA
Stori: Mwandishi wetu
MWIGIZAJI kiwango enzi hizo Bongo, Nuru Nassoro ‘Nora’ aliyepotea kwa muda, ameibukia kwenye Runinga ya EATV na kumbutua staa wa mwenzake, Kajala Masanja kwamba, anatumia nafasi ya kuonekana kwenye filamu kujipatia wanaume kama si mabwana! Staa wa filamu Bongo, Kajala Masanja. Akizungumza kupitia Kipindi cha Mkasi kinachoratibiwa na Mtangazaji Salama Jabir, Jumatatu iliyopita, Nora alisema...
10 years ago
Vijimambo23 Sep
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania