NORA AMCHANA KAJALA
![](http://api.ning.com:80/files/tBTKCkFUMvM6fZZON6KezVj0iU42N4aSOSyldOXuQHTE4AqKp0iflE*OUDEMUuKYWw-WAkYzwWh1mfWVqeHXmmTwjLra1PL9/kajala.jpg)
Stori: Mwandishi wetu MWIGIZAJI kiwango enzi hizo Bongo, Nuru Nassoro ‘Nora’ aliyepotea kwa muda, ameibukia kwenye Runinga ya EATV na kumbutua staa wa mwenzake, Kajala Masanja kwamba, anatumia nafasi ya kuonekana kwenye filamu kujipatia wanaume kama si mabwana! Staa wa filamu Bongo, Kajala Masanja. Akizungumza kupitia Kipindi cha Mkasi kinachoratibiwa na Mtangazaji Salama Jabir, Jumatatu iliyopita, Nora alisema...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies19 Sep
Uwiii! Eti, eti, Kajala anatumia nafasi ya kuonekana kwenye TV "kuvutia mabwana", Nora huyo karopoka
Muigizaji maarufu nchini aliyetamba mwanzoni mwa miaka ya 2000 Nora Nuru Nassoro aliyepotea kwa muda, ameibukia kwenye Runinga ya EATV na kumbutua staa mwenzake, Kajala Masanja kwamba, anatumia nafasi ya kuonekana kwenye filamu kujipatia wanaume kama si mabwana!
Akizungumza kupitia Kipindi cha Mkasi kinachoratibiwa na Mtangazaji Salama Jabir, Jumatatu iliyopita, Nora alisema fani ya uigizaji imevamiwa kwa sasa kwani kuna watu ambao wanaingia kwenye gemu ili wauze sura na kuonekana na...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/Cmufrv6JsXU/default.jpg)
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EDr-zswlq3NxNgRoPBo1UV6RSg5oWfwnh7NqQu6Tie1NmU16SfDxVbJvIRpTRLMqbpakAHDODA1cMzqJ*UhD44UttjuabDym/Wolper.gif?width=650)
WOLPER AMCHANA CHUCHU!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/U4nVIpmxyNO5pwzVeEumIMb0hiJ9B6Xg4x7kkU7iDcA54keV8X-oufzUnMedu2RzpMEIUZ70fR7BK4pboqInTWlZ3rD1kTOs/Davina.jpg?width=650)
MUME AMCHANA LIVE DAVINA
10 years ago
Mwananchi08 Aug
Maalim Seif ‘amchana’ Profesa Lipumba
11 years ago
Bongo Movies19 Jul
Baada ya Kajala kudai Wema ni mnafiki,Wema aamua kujibu mapigo. 'Amlipua' vibaya Kajala
Ikiwa ni siku chache zimepita baada ya mwigizaji Kajala kudai kuwa mrembo Wema Sepeteu ni Mnafiki, hatimaye Mwanadada Wema Sepetu , amemlipua aliyekuwa shosti wake, Kajala Masanja ‘K’ ambaye wiki iliyopita alimwita mnafiki, habari ambayo ilisambaa katika mitandao mbalimbali ya kijamii.
Katika habari hiyo, Kajala alikaririwa akisema kwamba licha ya watu wengi kuamini wamepatana, hakuna ukweli kwani rafiki yake huyo ni mnafiki kufuatia kutomthamini na kutokuwa karibu naye kama zamani...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
OLE MEDEYE AMCHANA LEMA, ADAI AMEKULIA GHETO
9 years ago
Bongo505 Jan
Future amchana Ciara, adai anapenda kutawala wanaume
![rs_560x415-140903152311-1024.future-ciara-reconcile-090314](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2016/01/rs_560x415-140903152311-1024.future-ciara-reconcile-090314-300x194.jpg)
Future amemchana baby mama wake, Ciara kwa kudai kuwa muimbaji huyo amekuwa na tabia za kutaka kutawala wenzake na amekuwa akimzuia kumuona mtoto wao wa kiume mwenye mwaka mmoja.
Rapper huyo ametumia Twitter kutoa malalamiko yake ambako anadai amekuwa akitoa $15,000 kwaajili ya matunzo ya mtoto.
Amedai kuwa amekuwa mkimya kwa mwaka mzika na kwamba sasa uvumilivu umemshinda na anamtaka mwanae.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili...